Michae Maluwe kumbe na wewe hujui Kingereza?

Michae Maluwe kumbe na wewe hujui Kingereza?

Basi tufanye somo la English lifutwe tu mashuleni.
Mbona watoto wetu wanaosoma english medium hawakosei ovyo,sisi kizazi cha rika fulani kuna shida tusijipe moyo.kujua kugha hasa English ni jambo jema na hakiepukiki.uliona juzi Tulia Ackson akiwafokea wazungu jwa English moaka raha,sasa angewafokea kwa kiswahili ujumbe wake ungefika ukiwa hauna nguvu
Angewafokea kwa kiswahili wangedhani anawarushia majini. Kawachamba kwa lugha yao, ikabidi wabaki wapole tu.

Kujua lugha kama Kingreza ni muhimu sana, tena ukijue vile inavyopaswa, siyo ili useme sentensi mpaka ulitoe neno kwa kiswahili ulipeleke kwa kilugha chenu halafu ndo uanze kutafuta neno mbadala la kingreza lilipo.
 
Alieleweka ila makosa hayo kwa mtu kama yeye ni aibu,hata mtoto wa primary hawezi kukosea kama alivyokoses,pata picha mtoto wake anaangalia TV
Wakati Mwingine Inatakiwa Tufiche Ujinga Wetu Mbele ya WATU, Sasa Wewe Mtu Mzima na Akili Yako, Umekaa Unamfuatilia Maojiano ya Maiko Maluwe ili Uje Umkosoe humu Jamvini, Aisee Mtoto wa kiume Acha Ushakunaku, Aipendezi Ata kidogo
 
Wakati Mwingine Inatakiwa Tufiche Ujinga Wetu Mbele ya WATU, Sasa Wewe Mtu Mzima na Akili Yako, Umekaa Unamfuatilia Maojiano ya Maiko Maluwe ili Uje Umkosoe humu Jamvini, Aisee Mtoto wa kiume Acha Ushakunaku, Aipendezi Ata kidogo
Mimi ni bilingual naumia sana mtu mzima kushindwa kuelewa lugha aliyoisoma darasani miaka zaidi ya kumi
 
Mbona jana Lamine Yamal kashidwa hicho hicho kiingereza na wala haikuwa inshu
Usitoke nje ya mada .
Umri wa Lamine bado ndogo,ana nafasi ya kujifunza bado.
Elimu ya Yamal vd ya Maluwe?
Je English inaingeklwa katika nchi sliyozaliwa au kukulia
Je shuleni alijifunza hiiyo lugha kwa muda gani?.

Footballers wengi wanamudu lugha nyingo sababu maisha yao wanazunguka nchi nyingi kucheza mpira,oia hukutana na wachezaji toka nchi tofauti.
Ronaldo anaongea kireno,kispaniola,kingereza,kiarabu nk na hakwenda shule
Huyo Yamal mpaka akimaliza career yake ya mpira atakuwa anaongea lugha nyingi sana kiufasaha
 
Kipindi nipo masomoni nje ya nchi kuna dogo mmja wa nchi ya malawi akasem watanzania hawajui ngeri nikasem kula lugha yetu ni kiswahili ko ngeri tunajifunza ukubwani na darasani lakin sio haba tunaongea tunasikilizana na unajua natak na unatak nini dogo akasem wew muongo
Tanzania mna lugha mbili english na kiswahili nilimchukua makofi bila kuuliza 😆😆
 
Kipindi nipo masomoni nje ya nchi kuna dogo mmja wa nchi ya malawi akasem watanzania hawajui ngeri nikasem kula lugha yetu ni kiswahili ko ngeri tunajifunza ukubwani na darasani lakin sio haba tunaongea tunasikilizana na unajua natak na unatak nini dogo akasem wew muongo
Tanzania mna lugha mbili english na kiswahili nilimchukua makofi bila kuuliza 😆😆
Malawi wanaongea english nzuri sana
 
Vipi ingekuwa "You have created some chances"...
Kwa nini? Ni muda mfupi uliopita.
Hiyo pia iko njema ila inategemea na muendekezo wa hiyo sentensi.

You created some chances but you have failed to ......
Mlitengeneza nafasi lakini mmeshondwa .......
 
Mechi ya KenGold inaisha
Mtangazaji Michael Maluwe anamuuliza kocha mzungu
""You create the chance.......
Badala ya ''you created some chances.....

Kweli lugha ngumu

Huu ni ulimbukeni wetu tu, wenzetu wanaamini katika lugha yako ya kwanza/lugha mama. Angekosea Kiswahili kama lugha yake ya kwanza ambayo pia inaweza kuwa ni ya pili ningeelewa vyema.

Kingereza kama lugha ya pili au tau siyo suala la kutengenezea ujumbe wa kumsimanga mtu kwani kujua lugha husika si kuwa maarifa husika kwenye fani.

Wachina, Wajapani, Wakorea nk. wako hapa hawajui Kingereza pia Kiswahili wanahangaika navyo wala hakuna anaewashangaa. Ila wanajua lugha zao za kwanza.

Hata hiyo uliyotoa wewe kama kilchitakiwa wajuvi wa mambo wanaweza kutohoa ukajikuta bado uko mbali na ukweli.
 
Back
Top Bottom