Michael Jackson special thread....

Michael Jackson special thread....

Baada ya Robert Nesta Marley nadhani anafatia huyu kwa ubora.
ubora kwenye nini.

Mj kumbuka ndiye alichukua tuzo ya artist of the century mbele ya kina Bob na na wengineo
 
ubora kwenye nini.

Mj kumbuka ndiye alichukua tuzo ya artist of the century mbele ya kina Bob na na wengineo
Hizo ni siasa tuu..Bob anakaribia level za manabii. Kwa mashairi yake mazito ametatua shida/vita na kupatia hamasa wanyonge wengi duniani. Tafuta lile tukio la Michael Manley na Edward Seaga wale mahasimu wakuu wa kisiasa Jamaica alivyowapatanisha nchi ikatulia, nchi ilikuwa iingie vitani.
 
Michael Jackson Ni Super Human In The Music Industry.

Ikipigwa Billie Jean Hata Niwe Msibani Nitanyanyuka Nicheze. This Song Never Get Old I Swear. Whenever I Hear This Song I Completely Went Insane Kwa Mpangilio Wa Instruments, Voice, Plus Message Ya Wimbo. In Short Mungu Alitoa Vipaji Nimeamini Kwa MJ.

Hichi Kipande Hichi.

"For Forty Days And Forty Nights
The Law Was On Her Side But Who Can Stand When She's In Demand Her Schemes And Plans" (Apo Anaweka Kisauti Fulani Cha Kionjo).

"Cause We Dance On The Floor In The Round Baby "

"People Always Told Me Be careful Of What You Do, Don't Go Round Breaking Young Girl's Heart, And Mother Always Told Me Be Careful Who You Love, Be Careful What You Do , Before The Lie Becomes The Truth"

Billie Jean *2.

Aisee Tangu Nizaliwe Sijawahi Kuwa Mesmerized Na Music Except Mj.

1.A Man In The Mirror.
2.She's Out Of My Life.

Emotional Song Mpaka Unalia.


Gone Too Soon Michael. R.I.P[emoji24] [emoji24] [emoji24]
usinilize please.."" mwaka 2009 ulikuwa mgumu sana kwangu baada ya kupokea taarifa za kifo cha huyo genius ....""" gone too soon Mj
 
Mpaka sasa sijaona msanii aliye na kipaji cha uimbaji kumfikia Michael Jackson, jamaa alikuwa na kipaji, nyota, mbunifu na kila kitu ambacho msanii alipaswa kuwa navyo.

Jamaa alisukwa haswa na Masonic, alisukwa kisawasawa, yaani alisukwa haswaaaaaaaa.
 
Bhado Ngoma Inaitwa "In The Closet" Ina Sound Effect Flani Lazima Udate. Hawa Bongo Flavor Mziki Wao Sijui Wanafanya Kwa Njaa. Ukiipenda Kazi Kama MJ Plus Uwe Creative Lazima Utoboe.
Mkuu kule music industry yao ...imejaa ma engineer wa music...hawafanyi tu "" vichochoroni...watu wameweka investment ya kutosha.... hebu angalia behind the scene ya black or white ..au ghost
 
Baada ya Robert Nesta Marley nadhani anafatia huyu kwa ubora.
acha masihara...na muheshimu Bob ...kutokana na nyimbo zake za " kuwahamasisha watu"" wapate kujitambua.. especially Africa...but kwa Mj naomba asubiri aiseee"""
 
Mpaka sasa sijaona msanii aliye na kipaji cha uimbaji kumfikia Michael Jackson, jamaa alikuwa na kipaji, nyota, mbunifu na kila kitu ambacho msanii alipaswa kuwa navyo.

Jamaa alisukwa haswa na Masonic, alisukwa kisawasawa, yaani alisukwa haswaaaaaaaa.
Naaam Jamaa alisukwa "" alisukwa haswaaa...sijui walimpeleka kuzimu ..maana ule mvuto aliokuwaga nao "" OMG sio mchezo ..lile ni balaa""
 
hahaa ..mkuu weee acha tu ..kama unavyojua huyu Jamaa alinifanya niwe na kichaa cha mahaba dhidi Yke "" kwakweli anaishi moyoni....


gone too soon MJ
Angekuwa hai ningemwomba akupe mwanae umuoe
 
wale walioimba nyuma yake kwenye man in the mirror hela waliyopewa waliiteendea haki kwakweli
 
Back
Top Bottom