Michael Jackson special thread....

Michael Jackson special thread....

Hivi ni kwa mini MJ hakutunukiwa shahada ya udaktari wa heshima (Phd) kwa mengi aliyoufanyia music? Kwa maana mpaka Leo wasanii wakubwa duniani wanajitahidi kuiga mambo yake mengi ambayo MJ aliyafanya na yakaufanya music uwe music.
 
Trump na MJ
B03dyQZIQAEG2VH.jpg
 
ghost""

smooth criminal

who is t

Liberian girl

stranger in the Moscow

scream

man in the Miroor

cry

human nature

health song""

who is bad

dangerous

blood in the dancing floor

dirt Diana

I'll be there

you will be there

heal the word

you rock my world

jam

they dont care about us ""

acha kabisaaa huyo mtu ..hana mfano
 
U rock my world,ndio ulikuwa wimbo wake wa mwisho kuhit kama sikosei.Ila Liberian girl,naupenda sana.Alitenda haki!
 
Asee nimeufuatilia huu Uzi kimya kimya tangia mwanzo na sikutaka kuchangia chochote but nimejikuta nalazimika tu.

Anyways, nianze kwa kutangaza interests zangu kwamba Mimi Shabiki mkubwa wa wote hawa hivyo sitegemei maandishi kuwa na upendeleo wa upande wowote.

Nikianza na MJ who was considered to be "The instrument of the world" in case of entertainment.. mj alikuwa the best entertainer to ever walk in this world...alikuwa anajua kucompose mziki wa kuburudisha na kuinspire watu kwa namna ya ajabu sana. Michael Jackson is truly definition of a musical genius..anajua kucheza, anajua kuimba, anajua kuprovoke hisia za hadhira yake ndio maana akiwa mtoto kabisa alikweza kuwa star wa band ya nyumbani kwao ya Jackson 5, Kuna kitu hatuwezi kumnyanganya Michael he was a musical genius and natural talented.. aliekulia Kwenye spotlight na platform kubwa, world class music facilities, great producers and directors akina Quincy Jones e.t.c kutoboa kwake kulikuwa hakuepukiki.

But Bob Marley was beyond musical genius, alikuwa na kipawa cha unabii ndani yake kama nyongeza yake..mazingira aliyozaliwa na kukulia walikuwa magumu na hatari..alizaliwa baada ya mama yake kubakwa na mkoloni mzungu Sinclair Marley then akatelekeza yeye na mama yake pale Kingston Jamaica wasijue la kufanya hapa ndipo "No woman no cry" ikatengenezewa.. He was born fatherless. Akawa Fundi welding na baadae msoma viganja vya watu then akaachana navyo na kujiunga na Peter tosh na Bunny wailer kufanya music then yaliyofuata ni history tamu ya kazi nzuri zisizosahaulika milele.

Bob alikuwa na charismatic ya kuongea jambo likapokelewa kwa nguvu ya ajabu na watu..rejea aliweza kusimamisha vita iliyokuwa inataka kuibuka Jamaica then akaitisha concert ya one love maadui wa kisiasa wakawambia wafuasi wao waweke silaha chini wakaja pamoja jukwaani na kuanza safari mpya ya amani na Upendo..likapigwa riddim la love and prosperity all day long.. That's was huge success ya reggae na Marley kwa ujumla.

Nyimbo ya Bob natural mystic ilipewa tuzo ya kuwa song of the century kutokana na mashairi yake kutabiri ujio wa ugonjwa wa ajabu utakaotesa watu na kuua mamilion Duniani soon baada ya ngoma kutoka Ukimwi ukagundulika Afrika na kuanza kuua maelfu ya watu. Nitajadili nyimbo hii kwenye reply inayofuata hapo chini.

Then nyimbo zake nyingi zinatumika katika vyuo mbalimbali kucites cross cutting ishu za philosophy and musicology.

Mwl Nyerere alishawai kumdharau Bob kutokana na muonekano wake kama sisi tunavyomdharau hapa ila Kwenye tamasha la Uhuru wa Zimbabwe Bob alipopanda jukwaani kufanya Sanaa zake Mwl alimwomba aje Tanzania maana kuna Mengi alikuwa anataka kuyasema lakini alikuwa hana lugha nyepesi na ya kueleweka kirahisi kwa watu ila Bob alikuwa anajua hii namna then na kipindi hicho agenda kuu ya Nyerere, Nkurumah, Kaunda e.t.c na afrika yote ilikuwa ni "Africa unite" na Bob ndio ilikuwa dhumuni lake...siku hiyo Mwl Nyerere alishangaa hadi akaenda kumsimulia mwanae makongoro na akaanza kuwa anakula reggae tu za Marley akiwa magogoni..but sina hakika kama alikuwa anakula na sacrament ya akina Marley.. (Weed)...sina hakika.

Bob ana mengi sana tutajaza serve za Max bure.

But wote ni musical genius in their own way but Bob Marley alikuwa na some touch za unabii anaongea jambo then linatokea na amefanya mziki katika mazingira magumu sana ya kutaka kuuwawa na CIA because he was musical powerful. Na walifanikiwa kumpachika cancer kidoleni na aliemuua alikiri last month nadhani akiwa death bed kwamba I killed Bob Marley.

Bob and MJ are truly definition of musical genius
 

Attachments

  • Edward-Seaga-and-Michael-Manley.jpg
    Edward-Seaga-and-Michael-Manley.jpg
    12.3 KB · Views: 55
Bob Marley Lyrics

"Natural Mystic"

There's a natural mystic blowing through the air;
If you listen carefully now you will hear.
This could be the first trumpet, might as well be the last:
Many more will have to suffer,
Many more will have to die - don't ask me why.

Things are not the way they used to be,
I won't tell no lie;
One and all have to face reality now.
'Though I've tried to find the answer to all the questions they ask.
'Though I know it's impossible to go livin' through the past -
Don't tell no lie.

There's a natural mystic blowing through the air -
Can't keep them down -
If you listen carefully now you will hear.

There's a natural mystic blowing through the air.

"This could be the first trumpet, might as well be the last:
Many more will have to suffer,
Many more will have to die - don't ask me why." Hapa anakwambia hili linaweza kuwa parapanda la kwanza na la mwisho.. Jinsi tutakavyoteseka..jinsi tutakavyokufa..usiniulize ni kwanini" soon baada ya hii verse ngoma ikaanza kuua watu afrika vibaya.

There's a natural mystic blowing through the air -
I won't tell no lie;
If you listen carefully now you will hear:
There's a natural mystic blowing through the air.
Such a natural mystic blowing through the air;
There's a natural mystic blowing through the air;
Such a natural mystic blowing through the air;
Such a natural mystic blowing through the air;
Such a natural mystic blowing through the air.

Tafuta hii ngoma uisikilize kwa umaskini ndo utajua bob alikuwa anaimba maneno yenye unabii wa kimafunuo ndani yake.

Huyu mvuta bangi mwacheni tu jamani...he was so much underrated for so long.
 
Mi bado najiuliza,
Hivi kuna Binadamu mwengine anaeweza ku-bend front kwa angle ya 45 Degree kama alivyokua akifanya huyu jamaa?
 
Nyimbo Za Mj Of All Time

1. Billie Jean
2.Human Nature
3.Smooth Criminal
4.The Way You Make Me Feel
5.Liberian Girl
6.Will You Be There
7.Man In The Mirror
8.Thiller
10.Dangerous

Za Kucheza
1.Bad
2.Smooth Criminal
3.Don't Stop Till You Get Enough
4.Billie Jean
5.Dangerous
6.Blood On The Dance Floor
7.Off The Wall
8. Thriller
9. Speed Demon
10. The Way you make me feel

Emotional
1.She's Out Of My Life
2.Man In The Mirror
3.I'll Be There
4.Heal The World
5.Heaven Can Wait
6.Will You B There
7.Billie Jean
8.Lost Children
9.You're Not Alone
10.Break Of Down
Mkuu nakupa big up your smart
 
Back
Top Bottom