TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

Huyu jamaa alikuwa ni hatari na nusu anamiliki maize flour,5% shares za i&m bank ambayo ndio one of largest bank in Kenya naipo Tanzania pia ana rombo millers anauza kahawa na matunda ulaya,maktau safari lodge ipo tarekea,shares tbl,sanlam insurance, tol,shamba kubwa la kahawa na vitenga uchumi kibao across east africa.
 
Ujinga na umaskini vinakusumbua
 
Well said mkuu! Hongera kwa kuwa na financial discipline
 
Thubutu, mengi kwa jack hakupindua mzee
 
Mtu akishauza hisa za kampuni Kwa watu wengine...hawi tena 'mmiliki"..anabaki kuwa founder...kichwa kingepaswa kusema "muasisi wa Precision air"..
Hana tena majority shares..
He hold 51% vs. 49% holdings by KQ. Therefore he still exercise control on decision making. In this regard he is still the major shareholder, hence the owner.
 
Thubutu, mengi kwa jack hakupindua mzee
Hahaha Mkuu. Daah ndiyo akapinduliwa jumla. Tumepata fundisho kuwa age differences matter a lot. Tusidanganyane age just a number. Not practical kwa mambo mengine so it can't be a universal set but rather a union.
 
Well said mkuu! Hongera kwa kuwa na financial discipline
Sure mkuu. Yaani ninatumaini Sana ujanani tuanze kuwaza maisha ya uzee na unforeseen kwa Afya na uhai. Yaani hapo tungewekeza Sana. Ikifika 40s unakuwa financially stable. Yaani kuna pesa iko mahali haitumiki kwa Jambo lolote lile zaidi ya kuzalisha. Lakini tunapoteza Sana rasilimali fedha na muda ujanani.
 
Matajiri wengi tu wameanzia chini hata huyo marehemu kwahio usiwadharau bruh
Mimi nilianza na Fixed Account ya Sh. 600 nikiwa form One miaka hiyo (over 50 years). Nikawa naongeza kila June nkifunga shule. Je nilijifunzia wapi? Ni maoni na matokeo ya zile hesabu za Darasa la Saba za Principal na interest. Hahaha. Yaani mambo ya fixed and compounded interests. Froma a very poor family I made it. Hivyo waliojitajidi waheshimiwe na mali zao ziheshimiwe. Na kifupi sijawahi kuiba hata kipindi nimeajiriwa nilikuwa narudisha excess Imprest Ofisini na kila Mtu alikuwa anashangaa. Mafanikio yanawezekana bila wizi. Ni kuamua na kuweka jitihada tu. I am not a billionaire but I supper live a financially stress free life. Hicho ndiyo cha misingi.
 
Unavutia kukufatilia, naweza kukuona ama kuwasiliana na wewe kwa private message?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…