Michango ya harusi imekua kero kwangu, mbona mimi sikuchangisha mtu ata senti moja

Baada ya somo na bado hukutoa vile vile mkuu hahaa
 
Mi hapa Nina kadi 14 na ni kwahii oct mpaka dec, hata sijui nafanyaje..shida ni watu wa karibu mno hata pakuchomokea hupaoni!
Wee ndo tunaelewana sasa ni watu mnaheshimiana huwezi kuwakazia kibandidu

πŸ˜‚πŸ˜‚ sema 14 kazi unayo mkuu
Mnaogopa nini kumuambia mtu hauko vizuri? Ukitoa Tshs. 100k kwa watu 14 ni Tshs. 1.4M ndani ya miezi miwili, hii ni pesa nyingi sana hata kama una mfuko mpana kui-flush toilet just for sake of social conformity. Binafsi huwa sichangii shughuli za sherehe kama harusi.
 
Piga chini. Nmeenda kikao cha harusi familia imepnaga budget milion 25 halafu eti wao wanatoa milion 2 kama familia.
Vijana wanaenda teketeza hyo pesa wakati anayeoa anapanga chumba kimoja
 
Mimi binafsi kwa vila najiwezi angalau natoa kwa sababu hata kama sipendi , kuna ile leo na kesho ...Kama unach obasi toa maana bado tunawasiliana na marafiki zetu ambao tulikuwa na nyakati nzuri huko nyuma .

Utafutaji wa maisha unakutana na watu wengi sana , kuanzia shule ya msingi mpaka chuo ..
 
Unakua muweka hazina, muhasibu, MC mdogo wako basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…