The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Kama nmna utaratibu wa kusaidiana sio mbaya.
Msiba usikie kwa jirani
Msiba usikie kwa jirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda huwa unatoa jerojero kwenye ile misiba ya mitaani. Usiombe ukutane na misiba yenye bajeti ghali maji utayaita maKama hutaki pesa zako zitumike kwenye misiba ya watu wengine hakikisha akaunti yako iwe fixed na uweke pesa za kutosha na uwaachie ndugu zako maelekezo ukifa watumie vipi.
Sijawahi kuona kutoa rambirambi kama ni mzigo.
Mkuu,Dah! Mleta uzi inaonekana unakereka sana watu wanavyofiwa. Kama hutaki kuchangia hata msiba wewe ni mtu wa hovyo. Pia kulikuwa hakuna haja ya kuleta huu uzi wa kipumbavu hapa... ukiona grupu linakuboa unajitoa tu. Mimi nilijitoa magrupu yote ya watsapp hadi la familia. Ila niliwaambia mkinihitaji nipo mnicheki.
Ingawa nimesoma juu juu, nivyojua hivi vya kijamii husani misiba, siyo lazima, kinachofnyika ni kujiweka karibu na jamii, husani kwa mtu mwenye familia.Hivi mtu akikataa kuchangia inakuwaje?
UmasikiniMimi najua michango ya misiba anayestahili kuchangiwa ni mtu aliyefiwa na baba, mama, mke au mme na mtoto Sasa inakuaje kile au hata mtu akifiwa na mdogoake na shemeji anaitisha michango?
Duuu yaani mtu hata akifiwa na kakaake na wifi yake anaitisha michango Si aibu hiiUmasikini
Haujaelewa hata kidogo mleta mada anaongelea tatizo gani. Hajasema kwamba kutoa rambirambi au kuchangia harusi ni jambo baya. Ila tatizo siku hizi ni kama watu hawana utaratibu mzuri katika kuomba hii michango.Kama hutaki pesa zako zitumike kwenye misiba ya watu wengine hakikisha akaunti yako iwe fixed na uweke pesa za kutosha na uwaachie ndugu zako maelekezo ukifa watumie vipi.
Sijawahi kuona kutoa rambirambi kama ni mzigo.
duh hii ya balozi kupitisha bakuli la rambirambi ni mpya. bila shaka itakuwa ni maporini ndanindani huko au uswazini labda maana kwa town hlf ushuani mbona ngumu hii.Vipi kuhusu michango ya harusi na sherehe zingine za anasa na ufahari ipo kwenye makundi hayo? Afadhali huko kwenye whatsaap, hapa mtaani balozi kachosha kukusanya hela za rambirambi kila mara. Hata kama haupo umesafiri ukirudi tu atakuambia kuna misiba mitano ilitokea mtaani unatakiwa utoe rambirambi kila msiba ni elfu moja na kuendelea ukimpa tu hapeleki kulikotokea msiba anachikichia mwenyewe. Mbaya zaidi kumbe mchango ni mia tano yeye huongeza kwa hila tu anakula cha juu. Wakati mwingine huongeza idadi ya misiba ambayo haikutokea anajua hutahoji ni wapi ulipo msiba na hutafuatilia kwa kuwa mjini kuna watu wengi na huwajui wote zaidi ya majirani tu. Cha ajabu ni kama unalazimika uchangie msiba usiokugusa na humjui kabisa marehemu wala wafiwa
Watakuonaje?? Hahaha yaani utaonekana mchawiHivi mtu akikataa kuchangia inakuwaje?
BIMA nyingi za kibongo ni ubabaishaji. Unaweza jiunga ukapatwa Jambo usilipwe instantly ikawa tabu tupuKuweka list ya wasiotoa michango, kuishi maisha ya kutegemea michango, ni kuendekeza umasikini.
Kila mtu anatakiwa kuwa na bima ya maisha si tu kuweza kukidhi gharama za mazishi, bali pia hata kuacha kiasi fulani kwa familia.
Na hata vikundi vinavyochangishana vinaweza kununua bima za maisha za vikundi ambazo zitakuwa na gharama rahisi zaidi, zinazotabirika zaidi na zenye ufanisi zaidi.
Tunapenda mifumo ya kijima tu ya kuchangishana kwa tukio hata kama kuna mifumo mipya yenye ufanisi zaidi.
ni mjini mitaa ya uswahilini, balozi anatembea na daftari nyumba kwa nyumba anakusanya rambirambi. Mchango ni bukubuku, akiona unachekacheka anakuambia mchango umepanda sio buku ni buku mbili utoe, unatoa anakuandika jina, anakula cha juu buku akijua hutahojiduh hii ya balozi kupitisha bakuli la rambirambi ni mpya. bila shaka itakuwa ni maporini ndanindani huko au uswazini labda maana kwa town hlf ushuani mbona ngumu hii.
mimi michango ya alumni nilishaikataa kitambo maana watu mpo sehem mbalimbali ni ngumu hata kupata uhakika wa hiyo misiba yenyewe kama ni ya kweli au ni sanaa hlf unakuta mpo wengi mno unaweza kuta unachanga kila siku.
wkt flani kuna jamaa alinyooka (alikufa) kitaani kwetu sasa yeye hakuwepo kwenye magrupu ya kuchangishana ya pale mtaani.
uzuri jamaa kumbe alikuwa ameajiliwa kwaiyo mwajili wake akaendesha shoo mwanzo mambo yote sijui misosi usafiri ikaenda sawa mwanzo mwisho adi msiba ukaisha bila kwere yyote yaani.
Kuna group nilikuwepo hadi wanaslogani chuna uchuniwe😂. Jamaa sijui wanamradi, rambirambi ina hamasishwa hatari. Mwisho wa siku wanakutoa kwenye group.Hivi mtu akikataa kuchangia inakuwaje?
Shida kubwa sana ya watanzania hii. Angewachangisha tu kisa hizo hela siku ya harusi akawaambia tu tena mbele ya kamati ya hiko kijiji 😂😂Mimi huwa nachangia lakini nataka kuweza kuishi bila kuchangiwa.
Na sipendi harusi wala misiba inayonihusu kufanyiwa some big production.
Ila, jambo la ajabu, ukiwaambia watu hutaki mchango napo unaweza kuwakwaza.
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaoa, akawaambia watu kuwa hatahitaji mchango wa mtu, kama kuna mtu anaona haja ya kumchangia atume mchango wake kwenye kijiji kimoja cha uMasaini huko (hata si kwao, alichagua kijiji tu) ambacho kinahitaji msaada kwenye miradi ya maji.
Alifikiri anawaondolea watu mzigo wa kuchangia harusi.
Ila kuna watu walikuwa wanamsema kwamba huyu bwana anajidai sana, anajiona anaweza kufanya harusi yake bila kuhitaji mchango wa mtu.
😀Kuna group lilianzishwa miaka ya 2017 la members wa hapa JF lilikuwa na members 75 kama sijasahau, ila kila siku huku kwenye group kila member kafiwa anahitaji mchango, sasa nani atamchangia mwingine? Baadae tukaamua kuweka utaratibu wa kuchanga 10k kila mwezi kuwe na shida kusiwe na shida. Baada ya miezi kama mitano admin akadelete group lile la whatsapp na hela zetu kamega. Ukija huku jukwaani JF anajifanya great thinker sana. Baada ya kuopoa kimwana humu kapotea jukwaani na iD kaitelekeza, kumbe alienda unganishwa kwenye gridi ya taifa bila kujijua. Saivi anashinda huko X ana kazi ya kuretweet maneno ya biblia. Hela za rambi rambi sio za kuzila. 😏
[emoji16][emoji16][emoji16]watu hawataki kuendana na nyakatiKuweka list ya wasiotoa michango, kuishi maisha ya kutegemea michango, ni kuendekeza umasikini.
Kila mtu anatakiwa kuwa na bima ya maisha si tu kuweza kukidhi gharama za mazishi, bali pia hata kuacha kiasi fulani kwa familia.
Na hata vikundi vinavyochangishana vinaweza kununua bima za maisha za vikundi ambazo zitakuwa na gharama rahisi zaidi, zinazotabirika zaidi na zenye ufanisi zaidi.
Tunapenda mifumo ya kijima tu ya kuchangishana kwa tukio hata kama kuna mifumo mipya yenye ufanisi zaidi.
[emoji1]Kuna group nilikuwepo hadi wanaslogani chuna uchuniwe[emoji23]. Jamaa sijui wanamradi, rambirambi ina hamasishwa hatari. Mwisho wa siku wanakutoa kwenye group.
Mpo watu karibia 200, misiba kila mwezi imo tena hamjuani kbs na members wengine.
Kuna group tuliamua hakuna kuweka mambo ya michango, ila tutapeana taarifa tu za matukio. Ukiona poa unamchek mshikaji inbox maisha yanaendelea.