Bora nyambuda kuliko ibirisi/bro mm najaribu usijesema nakudisi/ntawatafuna maini niwabakishe filigisi /mm mzimu wa cado nondoMbona mapozi mengi kama mdada,,,
kaa kijanja mana tuko nje ya muda,,
ushaanza pigo kuleta za kikuda,,
tuliza wenge usifanyiwe unyambuda,,
mana haujatulia kama kufuri la kimada,,
level ya beginner huna kidari cha kunidiss,,Bora nyambuda kuliko ibirisi/bro mm najaribu usijesema nakudisi/ntawatafuna maini niwabakishe filigisi /mm mzimu wa cado nondo
Ww si ndie Nikki mbishi/?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Usilete swaga zako za kitoto,mbele ya makuhani/Unauliza ni yupi, anaefanya dem wako anashindwa hema/
Nina mkuki kwenye chupi, zaidi ya ugoko wa Wema/
Heshima yangu sikupi, mna utoto na unyangema/
Mvumbo jina fupi, ila moto natema/
Nitakachokufanya hutaamini, utajiona umetoa boko/Usilete swaga zako za kitoto,mbele ya makuhani/
Demu wako unamhonga 'mnyoto',sie tunamla kilaini/
Tunamnyonya mpk uroto,we komaa na sabuni/
Unajisifu unamkuki kwa chupi,wakati we ni shabiki wa kiba 100%/
Kwani demu wako Ni yupi?, Au yule wanaemparamia/
Umechokoza mzinga wa nyuki, hapa utapakimbia/ REPECT...