Kula mzigo kama kawa/ kisha kula kona/ usipende kizungu/Mvumbo mademu wa siku hiz niku hit then una run,ukifwata mkumbo watakuchuna pesa hadi utalani/
shida yao nikushibisha matumbo na mapenzi kwao kama utani/ ukiwa na pesa watakuonyesha upendo usio na kifani/
ila hawana true love wengi wao ni makahaba, bila ela hupewi kitu zaidi ya mabusu tu labda/
Misokoto inafanya watoto mnapagawa/Mbona kimya, mbona Kama mnajinyima,
Ma Mc's wote deki au mmeishiwa vina,
Nagaagaa na upwa ndio maana sili wali mkavu,
Ni Nani Kama mmanaeweza stand above,
Tangu nimetoswa na zuwena, mademu sina hamu nao tena/Kula mzigo kama kawa/ kisha kula kona/ usipende kizungu/
Hawakawii kukufanya dawa/ wakishapona/ wanasema ni chungu/
Wachache wapo sawa/ ukiwapata mbona/ hawatakupa machungu/
Ila wengi wameshapagawa/ na wamenona/ nyuma wana nundu/
Oa ujinyonge/ wahonge/ unyang'anywe tonge/ ufanywe mnyonge/ wamgonge/
Unajitamba unamjali, mpaka kwa mabest/
Kumbe watu wanaramba asali, kama Government/
Hapo kati ume flow kam JCB Makala.Nimepiga jiwe mgodi noti imepiga hodi/
Namshukuru God silipi kodi navimba road/
Sisukumi Bm wala Verossa/ liwanza Gadem kuna kitu nitakosa/
Nikaagiza kichwa cha Semi/ nikaki pimp full utemi/
Muziki mnene na mwendo hatudemi/
Namwaga mapene madem hawasemi/
Jicho jekundu kama Remmy/ tunakunywa za kizungu minazi hatugemi/
Kuna siku nipo Club akaja babu/akanipa salamu ya kiarabu/
Akasema anaishi maisha ya tabu/ nimsaidie akanunue japo kababu/ hali mbaya njaa ndio sababu/
Nikamwambia mzee huna ustaarabu/ huu ni muda wa pombe na makushabu/
Unaniletea michongo ya ajabu/
Utavishwa nikabu/ kama kina Maajabu/
Akaniambia sina adabu/ atanipa adhabu kisha akasepa kwa ghadhabu/
Siku kadhaa nyani akatema bungo/
Mali na chapaa TRA wakapiga mtungo/
Madem vifaa wakasema nanuka uvundo/
Sasa hivi jamaa napiga debe Ubungo/
Dume limesuka, chini viatu vya kimamaNatoka shamba nishapiga noti za mahindi/
Naingia Dar kutamba kutumia shilingi/
Kila kona wameuramba sijui yupi Queen yupi King/
Na wote wanachamba eti wanaupiga mwingi/
Dume limesuka, chini viatu vya kina mama/
Suruali inaanguka, ukiuliza anasema ni unyama/
Hana kazi wala duka, anashinda skani na wana/
Jioni anasukuma chupa, na meza inajaa sana/
Ukishindana nae utakufa njaa, hujui pesa anatoa wapi/
Ila haina kushangaa, inazingatiwa itifaki/
Watoto wanaotembea tembea, ni wa kufinya na kukanya/
Huku wanaogopewa, Road wanaitwa Panya/
mkuu we ni mbayaaaaaaaaaaaa salute [emoji119]Usiulize mi ni nani..|
Mi ndio yule naepinga muafrika kuitwa nyani..|
Duniani hakuna amani, popote unapotimba hakikisha kiunoni upo na gun..|
Maisha mafupi kama suti ya zakayo..|
Ukiona mjini nuksi, mfwate goerge bush mlime mazao..|
Sikurupuki uwezo ninao..|
Haters wanaleta chuki, bada ya kuona nimevaa buti za cowboy..|
Pamoja man.mkuu we ni mbayaaaaaaaaaaaa salute [emoji119]
Usiulize mi ni nani..|
Mi ndio yule naepinga muafrika kuitwa nyani..|
Duniani hakuna amani, popote unapotimba hakikisha kiunoni upo na gun..|
Maisha mafupi kama suti ya zakayo..|
Ukiona mjini nuksi, mfwate goerge bush mlime mazao..|
Sikurupuki uwezo ninao..|
Haters wanaleta chuki, bada ya kuona nimevaa buti za cowboy..|