Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

Ilikua Mida ya saa Tisa baada ya saa nane kupita

Nko Geto nacheki picha movie Kali ya Lupita

Mara simu ikaita nkacheki Nani anapiga

Kumbe rose binti mpole kwenye kwaya ya kanisa

Daily hufanya visa eti kisa nilimtongoza

Anasema hataki kabisa mapenzi yashamponza

Anakumbuka alivokonda

Bado ajapona kidonda

Penzi la nguvu ya soda

Utapeli lengo ni uroda

Hataki tena kusikia mapenzi labda iwe ndoa

Hayafichiki ni kama kikohozi ni lazima tu utakohoa

Akadai ni long time kitambo ananizimia

Sema anaogopa kua chambo samaki atawavutia

Kwamwambia hata usijali kubali mi nije kwenu

Nilete posa kisha mahali harusi tupige menu

Basi mtoto akanielewa akaja tupange yetu

Mahaba yalituelemea nikajikuta nimepiga peku

Baada ya wiki Tatu akaanza kuhisi kichefu chefu

Ama kweli kila Maria hua hakosi josefu

Nami sikumkimbia sikutaka kua mkosefu

Sahivi ye ndo wife na kunalea mimba yetu....
 
Mtaani mapenzi noti, lazima uvunje kibubu/

Uwe mfupi kama Joti, bora tu uwe na njugu/

Utavalishwa koti, utanyolewa masharubu/

Ila empty itakukost, rabda uowe ndugu/

Atakuona tu shost, hata uvae jeans ya Fubu/

Watu watanyoosha goti, na usifanye vurugu/

Habari njema wameipost, na limeshaanza vuguvugu/

Kwamba yanakuja Robot, na hayatakuwa na gubu/

Kitandani yapo hot, na hazijaota kabisa sugu/

Ukimuacha unamkuta soft, haina kuchinjana kibudu/

Code kwa remote, sio umalaya kama dubu/

Mambo yetu hachoki, hata ukojoe magugu/

Kwa wengine hashoboki, hata kama wanajimudu/

Kabisa U.t.i huiokoti, hii wahuni kwetu ududu/
 
cute wife sio mzuri, amejaa tamaa na kiburi/

Akiongea mvua ya mate, lazima utumie mwamvuli/

Maneno magumu yasiyo na busara, mwili ameugeuza biashara/

Sio muoga hajui kuoga, ukimlipa popote analala/

kifuani ndala, maarufu ambiance, sewa bar kimboka na ilala/

Kwenye pesa hana masihara, anaingiza nyingi kuliko wenye mshahara/

Mfupi kama mwala, hana tako alafu anajiita kajala/

Ukimtongoza hakatai, anasaula hata chupi havai/

Madeni mengi kwake hakai, barabarani kujimwambafai/

Nimemsema sana na kumkejeli, kigamboni mzungu kamtapeli/

hakatai mtu, uwe kwa miguu gari boda hata baiskeli/

Amini nawaambia ukweli, kila anachofanya amefeli/

Aliishi kwa tabu hana viatu, wala kandambili/

Jina halisi anaitwa pili, kwangu ameshakiri, natoboa hii siri/

Sisemi hana akili, msipagawe na huo mwili/

Uwezo mdogo wa kufikiri, single maza ana watoto wawili/

Lazima tukae tumjadili, watatu yupo njiani natabiri/

Haujui uzazi wa mpango, anafanya bila kiwango/

Tumsaidie mchango, arudi kwao tumkatie bus shekilango/

Kwao mbali huko kijijini, hana ndugu hapa mjini/

Ameharibu sana uswahilini, wasije mfunga kiroba mumuokote baharini/

Namsaidia wala simfitini, kwa pamoja tuwe makini/

Tumsaidie kupambana na life, nilipomshauri zaidi cute wife akanipiga knife/

Chorus: Maua Sama
........…..............................................................

Thanks kwa walioanzisha hii thread nimemchana Cute Wife, roho yangu imeridhika. Baada ya hapa nazika uadui na tofauti zetu rasmi. Sina tena hasira nae, [emoji120]
 
cute wife sio mzuri, amejaa tamaa na kiburi/

Akiongea mvua ya mate, lazima utumie mwamvuli/

Maneno magumu yasiyo na busara, mwili ameugeuza biashara/

Sio muoga hajui kuoga, ukimlipa popote analala/

kifuani ndala, maarufu ambiance, sewa bar kimboka na ilala/

Kwenye pesa hana masihara, anaingiza nyingi kuliko wenye mshahara/

Mfupi kama mwala, hana tako alafu anajiita kajala/

Ukimtongoza hakatai, anasaula hata chupi havai/

Madeni mengi kwake hakai, barabarani kujimwambafai/

Nimemsema sana na kumkejeli, kigamboni mzungu kamtapeli/

hakatai mtu, uwe kwa miguu gari boda hata baiskeli/

Amini nawaambia ukweli, kila anachofanya amefeli/

Aliishi kwa tabu hana viatu, wala kandambili/

Jina halisi anaitwa pili, kwangu ameshakiri, natoboa hii siri/

Sisemi hana akili, msipagawe na huo mwili/

Uwezo mdogo wa kufikiri, single maza ana watoto wawili/

Lazima tukae tumjadili, watatu yupo njiani natabiri/

Haujui uzazi wa mpango, anafanya bila kiwango/

Tumsaidie mchango, arudi kwao tumkatie bus shekilango/

Kwao mbali huko kijijini, hana ndugu hapa mjini/

Ameharibu sana uswahilini, wasije mfunga kiroba mumuokote baharini/

Namsaidia wala simfitini, kwa pamoja tuwe makini/

Tumsaidie kupambana na life, nilipomshauri zaidi cute wife akanipiga knife/

Chorus: Maua Sama
........…..............................................................

Thanks kwa walioanzisha hii thread nimemchana Cute Wife, roho yangu imeridhika. Baada ya hapa nazika uadui na tofauti zetu rasmi. Sina tena hasira nae, [emoji120]

Kweli umenielewa mpk umeamua kunitungia mistari, sema nini wewe unawashwa sana na mimi huwezi kutulia labda ufe wakuzike!

Kingine wewe mgonjwa wa akili km uliweka mpododo wa mama baya uliotoka kumshave sembuse hayo maneno yako ya kwenye khanga nakuona punguani tu!
 
Kweli umenielewa mpk umeamua kunitungia mistari, sema nini wewe unawashwa sana na mimi huwezi kutulia labda ufe wakuzike!

Kingine wewe mgonjwa wa akili km uliweka mpododo wa mama baya uliotoka kumshave sembuse hayo maneno yako ya kwenye khanga nakuona punguani tu!
Hiyo picha unayozungumzia ilikua ya mfano tu wala haikia picha inayohusu mtu wangu yoyote.

Hata hivyo nimemaliza beef, amani ikae juu. Ahsante[emoji120]
 
Kuwapaka sihofii maana hii sasa ni complain/

Mikono yao haitulii kama wanapiga masturbation/

Wanasimamisha hii ile wameacha pembeni/

Na ukionyesha kuwatii ndio watakudai kama deni/

Ni mandata wa road/ wanaokagua engine na bodi/

Chombo kama inadaiwa kodi/ iwe Toyota au Ford/

Ajabu wanatafuta sababu wapate za ulabu na ukipanga tabu wanaandika kosa/

Kwako iwe adhabu na ukitaka jawabu ipi sababu ni majibu ya taarabu Khadija Kopa/
 
Bado natoa somo, kwa maujuzi ya ajabu/

Na sihitaji promo, kama mtunzi wa kitabu/

Wakipiga domo, nawakaba kama nikabu/

Uwezo hauna kikomo, ka' mkataba wa Mwarabu/

Mkali zaidi ya Skanka, sio glass ya pombe/

Kwenye thread ukinisaka, mwana usikonde/

Mvumbo nipo hapa, kwenye mistari konde/

Nalinda hii Calture, kama mzee wa Kimakonde/
 
Africa duru/ bado hatupo huru/ Mkoloni mikono mvululu/ vibaraka wanapewa Ikulu/

Kwa malipo ya dhahabu na Lulu/ Mwananchi hana nuru/ analazimishwa kushukuru/

Ķwenye mikopo inayo mdhuru/ inayoliwa kwa kufuru/ kisha alipe mpaka atoke puru/

Siasa za Kaburu/ ahadi msururu/ utamu sukari guru/ ila wakishafaulu/ maisha ni tanuru/

Nani wa kupiga nduru/ ndani apigwe sururu/ himayani wanacho amuru/ yaani ficha bawa kunguru/
 
cute wife sio mzuri, amejaa tamaa na kiburi/

Akiongea mvua ya mate, lazima utumie mwamvuli/

Maneno magumu yasiyo na busara, mwili ameugeuza biashara/

Sio muoga hajui kuoga, ukimlipa popote analala/

kifuani ndala, maarufu ambiance, sewa bar kimboka na ilala/

Kwenye pesa hana masihara, anaingiza nyingi kuliko wenye mshahara/

Mfupi kama mwala, hana tako alafu anajiita kajala/

Ukimtongoza hakatai, anasaula hata chupi havai/

Madeni mengi kwake hakai, barabarani kujimwambafai/

Nimemsema sana na kumkejeli, kigamboni mzungu kamtapeli/

hakatai mtu, uwe kwa miguu gari boda hata baiskeli/

Amini nawaambia ukweli, kila anachofanya amefeli/

Aliishi kwa tabu hana viatu, wala kandambili/

Jina halisi anaitwa pili, kwangu ameshakiri, natoboa hii siri/

Sisemi hana akili, msipagawe na huo mwili/

Uwezo mdogo wa kufikiri, single maza ana watoto wawili/

Lazima tukae tumjadili, watatu yupo njiani natabiri/

Haujui uzazi wa mpango, anafanya bila kiwango/

Tumsaidie mchango, arudi kwao tumkatie bus shekilango/

Kwao mbali huko kijijini, hana ndugu hapa mjini/

Ameharibu sana uswahilini, wasije mfunga kiroba mumuokote baharini/

Namsaidia wala simfitini, kwa pamoja tuwe makini/

Tumsaidie kupambana na life, nilipomshauri zaidi cute wife akanipiga knife/

Chorus: Maua Sama
........…..............................................................

Thanks kwa walioanzisha hii thread nimemchana Cute Wife, roho yangu imeridhika. Baada ya hapa nazika uadui na tofauti zetu rasmi. Sina tena hasira nae, [emoji120]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] bonge la diss track
 
Inaweza kua ni ujinga Ila mpangilio wake ni wa kibabe (punchline) kikubwa mmalize Tu bifu lenu [emoji1787][emoji1787]
Mwambie aje na mingine mikali zaidi ya hii nimpeleke studio 🤣🤣🤣🤣
Bifu haliwezi kuisha mpk tudundane
 
Mwambie aje na mingine mikali zaidi ya hii nimpeleke studio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bifu haliwezi kuisha mpk tudundane
Basi siingilii tena ugomvi wenu nimegundua mnapendana Sana na MPO hapa kutuzuga....
Wapendanao wakipigana shika jembe ukalime [emoji2957][emoji1787]
 
Naanza kuwachana,waiteni kina mshana//

Mods wanatazamana,Member wanaulizana//

Kenge naflow,mpaka watu wanapoteana//

Kwenye huu Uzi,Mimi Kenge ndo mkufunzi//

Wanaofata wapuuzi,wengi bado wanafunzi//

Wanaflow za kipuuzi,i,Na mistari ya kindezi//

Wanazingua washenzi,natamani niwatembezee makonzi//

Kuna Mods ni mdwazi,Kichwa kama andazi//

Kazi hawezi,kutupiga BAN anaona ndio kazi//

Wanajamvi nao wanawaza utelezi//

Wengine ni watoto,wengine ni wazazi//

Cocastic punguza mapozi,reply zako mbona zakichokozi//

Baharia wanaomba,uwaweke wazi,uwapunguzie kazi//

Wewe ni kidume,au ladies na una utelezi?//


Niishie hapa,Amniwezii,kwanza nilale nahisi usingizi//
 
Kuwapaka sihofii maana hii sasa ni complain/

Mikono yao haitulii kama wanapiga masturbation/

Wanasimamisha hii ile wameacha pembeni/

Na ukionyesha kuwatii ndio watakudai kama deni/

Ni mandata wa road/ wanaokagua engine na bodi/

Chombo kama inadaiwa kodi/ iwe Toyota au Ford/

Ajabu wanatafuta sababu wapate za ulabu na ukipanga tabu wanaandika kosa/

Kwako iwe adhabu na ukitaka jawabu ipi sababu ni majibu ya taarabu Khadija Kopa/
Flow za kishamba,Bora urudi shamba//

Uwezi kutamba,huu ndo ukweli,Sikupigi kamba//

Usipoelewa utajilamba na ukikaa vibaya Utalambwa//

Usijitie ujuaji,Ukawa kama Haji,tukamfukuza Simba//

Unaulizia bei ya ford,wakati hata bando uwezi afford//

Dogo piga kitabu komaa,usiwaze kina Shamsa Ford//

Ukileta mzaa,tutakutoa Day tukupeleke board//

Ukifaulu vizuri,Babaako nakupeleka Abroad//

Sasa ongeza Juhudi,Kwa uvumba au udi..//

Nasema uongo wanabodi??
 
Back
Top Bottom