Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

Ona uyu fala,ulimi kama ndala//

Flow za kishamba,zinanuka kama jalala//

Vipi haujala,Au jana hukulala//

Kusmoke sio ujanja,kichwa kama embe//

Hata mimi nakula unga,ila ni dona na sembe//

Mistari haieleweki,au dogo unakithembe//

Mwembamba kama wembe,Kenge nakuachia kimbembe//

Sauti yako laini, kaza kama Edo kumwembe

Kidume unaitwa kwini,Tutakuvisha bikini//

Tukule mpaka maini,Kuwa makini....

Mcqueenen
Una mistari ya kitoto kama ae iou,
Ataeona una uwezo lazma awe kipofu,
Tena kipofu kilaza, mathe awe below 2
Mi nachana ngumu afu we bishoo 2

Mi naitwa rungu, nikipulizwa ni kifo Cha mende
We unaitwa mk**du, mwli mzima hauna makende
Mimi sio Mungu, hiyo nmejuaje? Kwasababu unaitwa kenge
Na sifa ya kenge ni mtundu, ila hajui mahindi ndo sembe
Hajui wahindi sio wazembe
Hajui TP ndio Mazembe

Hajui ukimuita Manala sope haji
Halafu kenge sifa kuu ni mjuaji
Akiona mvua anajikinga ndan ya maji
We kipofu ila eti unajiita mtafutaji.
Huwezi nizidi bars kichwa hujakichaji
ila usije ukakiplagi maana we ni ritadi
Huchelewi kufanya jambo bila kulijaji

Una tabia za kike umekosa tu sketi
Af unajikojolea kitandan kwako siketi
Kichwa chako kinazidiwa akili na tikiti
Uliloshindwa kupanda kisa huna tiketi
 
Una mistari ya kitoto kama ae iou,
Ataeona una uwezo lazma awe kipofu,
Tena kipofu kilaza, mathe awe below 2
Mi nachana ngumu afu we bishoo 2

Mi naitwa rungu, nikipulizwa ni kifo Cha mende
We unaitwa mk**du, mwli mzima hauna makende
Mimi sio Mungu, hiyo nmejuaje? Kwasababu unaitwa kenge
Na sifa ya kenge ni mtundu, ila hajui mahindi ndo sembe
Hajui wahindi sio wazembe
Hajui TP ndio Mazembe

Hajui ukimuita Manala sope haji
Halafu kenge sifa kuu ni mjuaji
Akiona mvua anajikinga ndan ya maji
We kipofu ila eti unajiita mtafutaji.
Huwezi nizidi bars kichwa hujakichaji
ila usije ukakiplagi maana we ni ritadi
Huchelewi kufanya jambo bila kulijaji

Una tabia za kike umekosa tu sketi
Af unajikojolea kitandan kwako siketi
Kichwa chako kinazidiwa akili na tikiti
Uliloshindwa kupanda kisa huna tiketi

Flow
hazisomeki,Vina havieleweki//
Unajiita mgumu,wakati mlaini kama Keki//
Punguza hasira,jazba ona sasa umeshapanic//
Hujui freestyle,labda uvae kanga za kaniki//
Vyangu Vina vinaelewaka,kama pilau la iriki//


Wadau wanakuchora,kina eriki na sadiki//
Wanakuona mkora,Domo kama Azizi Ki//
Majirani wamekuchoka,pigo zako hazieleweki//
Mods wanakuchora,acha matusi na kiki//
Member wanauliza,"Au we sio riziki"//
Bado haifahamiki,Ni kama mlio wa pikipiki//
 
Flow
hazisomeki,Vina havieleweki//
Unajiita mgumu,wakati mlaini kama Keki//
Punguza hasira,jazba ona sasa umeshapanic//
Hujui freestyle,labda uvae kanga za kaniki//
Vyangu Vina vinaelewaka,kama pilau la iriki//


Wadau wanakuchora,kina eriki na sadiki//
Wanakuona mkora,Domo kama Azizi Ki//
Majirani wamekuchoka,pigo zako hazieleweki//
Mods wanakuchora,acha matusi na kiki//
Member wanauliza,"Au we sio riziki"//
Bado haifahamiki,Ni kama mlio wa pikipiki//
Niishie hapa nikiendelea najiaibisha
Hii ni kama Tyson Vs. Bint Aisha
Hii ni kama Newton Vs. Kindergarten
Hii ni kama Yutong Vs. Mkokoten

Unasema unafloo vizuri, kumbe wameshazibua mtaro/
Ukiona peni unainama kama mwandiko wa mlalo/
Unajiona bahari kumbe uko very shallow/
Inabidi kuniamkia we kenge una mkia Mimi Niko KIA kilimanjaro/

Dogo kajipange, leo umeingia mkenge,
Kama kuingia rumande, huku mfukon umejaza bange,
Huku kwetu wew sio haram, tunakula mpaka kenge
Kwahyo we ni mboga tam, na leo umenikuta nna nenge
 
Flow za kishamba,Bora urudi shamba//

Uwezi kutamba,huu ndo ukweli,Sikupigi kamba//

Usipoelewa utajilamba na ukikaa vibaya Utalambwa//

Usijitie ujuaji,Ukawa kama Haji,tukamfukuza Simba//

Unaulizia bei ya ford,wakati hata bando uwezi afford//

Dogo piga kitabu komaa,usiwaze kina Shamsa Ford//

Ukileta mzaa,tutakutoa Day tukupeleke board//

Ukifaulu vizuri,Babaako nakupeleka Abroad//

Sasa ongeza Juhudi,Kwa uvumba au udi..//

Nasema uongo wanabodi??
Mtoto unae jigamba, ngoja nikukate wenge/

Hapa wameshindwa Mamba, utanipa kesi kenge/

Hii ngoma mi ndo nimeiwamba, bora uvae vitenge/

Ukate viuno sambamba, kisha tukunyoe denge/

Kwenye fasi mi ni Mwamba, nachana kama wembe/

Panga vina sio mbambamba, mistari ya kisen*ge/

Japokuwa umeuramba, nakushauri hii safari usiende/

Hujaiva mtoto mchanga, tutakukata tu make*de/

Mgumu/ nahudum/ kitambo nipo humu/ nadumu/ kwenye gurudumu/ kama soda ya Coka/

Ukinihukumu/ naku zoom/ halafu natema ngumu/ kama nipo room/ ya kupika sumu/ ya nyoka/
 
Hii freestyle nimeiandika leo kwenye uzi wa mdau mmoja jukwaa la MMU unaweza ukausoma hapa

Nimeamua kuiandika hii baada ya kuona imegusa circle ya maisha yangu maana mkasa kama huo uliwahi kumtokea rafiki yangu.

***************

Sikujua ni rahisi kuchizika, unapozama kwenye upendo.../

Hata dili ziliponipita, sikujali kuwa nyuma ya malengo.../

Kitandani ulikuwa kama TANESCO kwa jinsi ulivyokuwa unakatika, pipi ilinyonywa kiufundi kama mdomoni una mapengo.../

Unakumbuka zile nyakati tukiwa katikati ya pilika, speed kali barabara mbovu na hatupunguzi mwendo?.../

Achana na hayo leo nina kitu nataka nikuambie, hakiwezi kuwa kizuri sijui ka umejipanga bibie?.../

Ni kitu ambacho kutwa nzima kimenifanya nilie, lakini ulivyokuwa mnafki ukitoka hapa lazima ukashangilie.../

Najua kuwa unanisaliti, Najua kuwa tupo wanaume wengi uliotupanga kwenye list.../

Najua kwenye chumba cha moyo wako Scars sina siti, najua kuwa unapoaga kwenda home huwa haufiki.../

Najua vingi najua unafiki, najua namba ya mwanaume uliyemsevu vick.../

We ni muongo we ni yuda, najuta kuwa nawe umenimepotezea muda.../

Nilifanya kosa kupanda mbigili nikitegemea itazaa tunda, nimelipwa mateke baada ya kumfadhili punda.../

Najuta kwanini kukuacha nilichelewa, endelea kudanganywa na urembo ukidhani ukitoka hapa utaolewa.../

Usione wanakupenda kisa zawadi ulizoletewa, wanataka kula tunda wasepe hata posa haitatolewa.../
 
Simba Club kubwa dunia nzima inatambua, mwakani ubingwa tutauchukua cha msingi dua.../

Utopolo hamna chenu safari hii mnajisumbua, goli 5 kwa vibonde ni kurusha bomu mochwari nakujisifu umeua.../

Tuko bize saizi hatukaliki, tunaenda Zambia tukirudi ni supaligi.../

Mnajiita wa kimataifa sijui kwa sokalipi? Bigirimana kaenda FIFA hela zake hamumlipi.../

Hauwezi kuwa bora hasilani, baki kwenye level moja na hao hao Zalan.../

Usinune kutoshiriki supaligi mtani, hupawezi huku hakuna timu zinazoshuka ligi mtani.../
 
Leo naona bora mvua
Kesho naona bora jua
Uko wapi dr mwenzio ugonjwa utaniua

Kwenye joto siwezi Kaa
Baridi ndio balaa
Khaaa
Siwezi kula
Ingawa nahisi njaa


Sina hela ka wenzangu ila kusaka naweza
Nachpatanamshukuru bora siku naisogeza
Unanipa wakati mgumu akili naenda
Slow sloo
Haunipi ushauri km ilivyokuwa before befooo


#Chiku K
 
Life ni kubattle/na usiogope kuishi gheto/ogopa watoto warito/ufunge ndoa na punyeto/usijeishia kula msoto/usijifanye we mnato/na usiogope changamoto/ujana maji ya moto/piga kazi isiwe majuto.
Umetisha mkuu😆😆
 
Kwanza nawapa salamu, nazingatia itifaki/
Nadhani Mvumbo mnamfahamu, kwenye mistari mimi ndiye chaki/
Naandika zaidi ya kalamu, mwana Hip hop kindaki ndaki/
Ma mc's wa Jamii Forums, karibuni nyuma msibaki/
Leo mitandaoni ukisema usome, habari zimejaa ukakasi/
Huku Kiba anasema UNIKOME, huku Idriss akaripoti Polisi/
Huku Kigwa kavunja ngome, Le M'bebez kapiga pasi/
Haya yasikufanye ulale ukorome, pambana watoto wasile nyasi.
nchini tumevamiwa afuu kuliko sharrif Majini

Bandari zote zimechukuliwa za Mto na majini.
vijana tuwe makini tusije angukia shimoni,


Dada epuka
kuchomoa pesa za wanaume utakuja chomoa mimba bure/

Fanya kazi jenga nyumba, acha tumia pesa kulewa./

Chorus.......
Dpw huna huruma, ardhi yetu tuachie
Tanganyika tunaipenda×2/
 
Jf habari ni gani
Iong time hatuonani
Nilikuwa na watoto laini
Nangata mithiri ya maini
Bado najiuliza ni kwa Nini
Uzi umejaa flow laiiini
 
Leo naona bora mvua
Kesho naona bora jua
Uko wapi dr mwenzio ugonjwa utaniua

Kwenye joto siwezi Kaa
Baridi ndio balaa
Khaaa
Siwezi kula
Ingawa nahisi njaa


Sina hela ka wenzangu ila kusaka naweza
Nachpatanamshukuru bora siku naisogeza
Unanipa wakati mgumu akili naenda
Slow sloo
Haunipi ushauri km ilivyokuwa before befooo


#Chiku K
Hilo goma nalikubali sana.
 
Kwanza nawapa salamu, nazingatia itifaki/
Nadhani Mvumbo mnamfahamu, kwenye mistari mimi ndiye chaki/
Naandika zaidi ya kalamu, mwana Hip hop kindaki ndaki/
Ma mc's wa Jamii Forums, karibuni nyuma msibaki/
Leo mitandaoni ukisema usome, habari zimejaa ukakasi/
Huku Kiba anasema UNIKOME, huku Idriss akaripoti Polisi/
Huku Kigwa kavunja ngome, Le M'bebez kapiga pasi/
Haya yasikufanye ulale ukorome, pambana watoto wasile nyasi.
Da umenikumbusha Mbali sana , Kipind naimba mziki/
N'likuwa best kwa kuchana,Na mitaa ikanibariki/
Niliandika kwa mapana,Sio notepad ilikuwa biki/
Japo sikujulkana,Ila nilizoa mashabiki/
So sasa ni uhumi mtupu, Na tumejigeuza kondoo,/
Waguse wakupe upupu, Hawashauriki ka jogoo,/
Na wengi ustaa wa loop, Hiphop hawaiwezi noo,/
We Mvumbo karibu supu,maana umenikosha rohoo(roo)/
Nilikuwa pozi tu kitambo,Kabla sijakimbia majuu,/
Enzi hizo mkali bambo,na anachana Mr two (tuu)/
Shida za mama wa kambo,kabla haijafutwa tambuu,/
Taarabu mziki wa Tambo, Kidogo nasma n' mama zuu,/

Sasa hivi tambo mipasho,Kwa rap kama ushenzini,/
Wachache wanaitolea jasho,Ila amapiano iko enzini,/
Wengi wanaingia huku magasho,Ndo wanachoharibu scene,/
Hiphop inahitaji fusho, thanks Khali mwenye graph mjini,/
 
Da umenikumbusha Mbali sana , Kipind naimba mziki/
N'likuwa best kwa kuchana,Na mitaa ikanibariki/
Niliandika kwa mapana,Sio notepad ilikuwa biki/
Japo sikujulkana,Ila nilizoa mashabiki/
So sasa ni uhumi mtupu, Na tumejigeuza kondoo,/
Waguse wakupe upupu, Hawashauriki ka jogoo,/
Na wengi ustaa wa loop, Hiphop hawaiwezi noo,/
We Mvumbo karibu supu,maana umenikosha rohoo(roo)/
Nilikuwa pozi tu kitambo,Kabla sijakimbia majuu,/
Enzi hizo mkali bambo,na anachana Mr two (tuu)/
Shida za mama wa kambo,kabla haijafutwa tambuu,/
Taarabu mziki wa Tambo, Kidogo nasma n' mama zuu,/

Sasa hivi tambo mipasho,Kwa rap kama ushenzini,/
Wachache wanaitolea jasho,Ila amapiano iko enzini,/
Wengi wanaingia huku magasho,Ndo wanachoharibu scene,/
Hiphop inahitaji fusho, thanks Khali mwenye graph mjini,/
Hii iko poa Mkuu
 
Malizia kuichana
Kule anachana Chidi
Mwenzio napata tabu, Usiku kwangu ghadhabu,lonely/
Moyo hauna peace, umejawa ghadhabu,mornie ey/
Nikiamka Naweza toka na shuka na Daaatataa na jihisi si mimi au labda mzuka,mzuka,/
Pombe zinadunda, Kazini nayumba,/
Mchumba,rudi mwenzio upunguzie hili rumba/
Sitaki marafiki,Wala ndugu naona shiiid(a),/
We 'pkee ndo unafanya mpka pusha namfililiisi,/
We ndo mpenzi wangu,/
We ndo kioo changu,/
Nikipendeza mtaani we ndo designer wangu,/
Mshauri wangu,/
Wa nyendo zangu,/

Chia chia chiaaaaaa

Men lie,Woman lie but kwako sitatry,/
Yeah, you know men Ain't suppose to cry,/
Leo hauko nami jua kivipi naumia,/
Siwezi lia ukaniskia ila ndani nshajifia,/
Rhaaaraaaa

Nimemaliza kichaa wanguu Saint Anne
 
Chid kwenye one and 2 spitts some realy Sh#$**t
 
Nishaota sana manjozi
Namfuata pisi kali na Rose
Dar nzima na rolly
Nishaoata gari kali ramborgin
Naamia sinza ya molly
Mjengo unapigwa ulinzi na dog
Gym fit ma body
Siendi tena makundi ya jogging

Nakula mbuzu tunawabamba
Natoa pesa kama nagawa karata
Mabantu niachie my sitoacha
Na kuwa sponsor my zenu nang'ata
Ukiwa mnyonge don't try mabata
Upo na reseni ya mguu wa bata..


Hataree 🤣🤣
 
Hiki kichwa, kina mistari isiyohesabika/
Mziki ungekuwa vita, ningewaficha Kama Hitler/
Mpaka huku Mbabe nimefika/
So wabana pua, mbane mpak mbup kabisa/

longtime kwenye hizi Mambo/
Michano bila Tambo, na bado namwaga damu Kama Rambo/
 
Back
Top Bottom