Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Una mistari ya kitoto kama ae iou,Ona uyu fala,ulimi kama ndala//
Flow za kishamba,zinanuka kama jalala//
Vipi haujala,Au jana hukulala//
Kusmoke sio ujanja,kichwa kama embe//
Hata mimi nakula unga,ila ni dona na sembe//
Mistari haieleweki,au dogo unakithembe//
Mwembamba kama wembe,Kenge nakuachia kimbembe//
Sauti yako laini, kaza kama Edo kumwembe
Kidume unaitwa kwini,Tutakuvisha bikini//
Tukule mpaka maini,Kuwa makini....
Mcqueenen
Ataeona una uwezo lazma awe kipofu,
Tena kipofu kilaza, mathe awe below 2
Mi nachana ngumu afu we bishoo 2
Mi naitwa rungu, nikipulizwa ni kifo Cha mende
We unaitwa mk**du, mwli mzima hauna makende
Mimi sio Mungu, hiyo nmejuaje? Kwasababu unaitwa kenge
Na sifa ya kenge ni mtundu, ila hajui mahindi ndo sembe
Hajui wahindi sio wazembe
Hajui TP ndio Mazembe
Hajui ukimuita Manala sope haji
Halafu kenge sifa kuu ni mjuaji
Akiona mvua anajikinga ndan ya maji
We kipofu ila eti unajiita mtafutaji.
Huwezi nizidi bars kichwa hujakichaji
ila usije ukakiplagi maana we ni ritadi
Huchelewi kufanya jambo bila kulijaji
Una tabia za kike umekosa tu sketi
Af unajikojolea kitandan kwako siketi
Kichwa chako kinazidiwa akili na tikiti
Uliloshindwa kupanda kisa huna tiketi