Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tafuta muda uje hapa twende line kwa line, si upo vizuri?Mbona ni kipengele
Huyu kafukua comment ya kipindi kile[emoji23][emoji23][emoji23] ana nia nzuri kweli??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekutag mara mbili, utafute uzi wa Joannah unaitwa zai na nongwa zake mwisho wa uzi utaona nimekutag
Njoo wewe, au wewe haupo vizuri?Hahahahha mchane KENGE 01
Siku hii nilikua nna hasira nae, Ila baada ya hapo ziliishaInaweza kua ni ujinga Ila mpangilio wake ni wa kibabe (punchline) kikubwa mmalize Tu bifu lenu [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]Basi siingilii tena ugomvi wenu nimegundua mnapendana Sana na MPO hapa kutuzuga....
Wapendanao wakipigana shika jembe ukalime [emoji2957][emoji1787]
Huyu kafukua comment ya kipindi kile[emoji23][emoji23][emoji23] ana nia nzuri kweli??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
Siku hii nilikua nna hasira nae, Ila baada ya hapo ziliisha
Mi ndo king wa freestyle hapa jf utapotea ohooNjoo wewe, au wewe haupo vizuri?
Alafu huwezi amini sikukumbuka kama Kuna hii kitu huku, ningejua ningeshafutaAlikuwa anacheka kuona ulivyonichana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wala hana nia mbaya ndiomana kasema najua mnapendana nyie
Mwambie aje, uwe refa. But aseme muda gani na lini, maana mm muda upo too limitedMi ndo king wa freestyle hapa jf utapotea ohoo
Mi ndo king wa freestyle hapa jf utapotea ohoo
Nimeona huyu jamaa afanyiwe counselling [emoji1787]
Alafu huwezi amini sikukumbuka kama Kuna hii kitu huku, ningejua ningeshafuta
Ona uyu fala,ulimi kama ndala//Nishasmoke huku Nadrive wakahisi garimoshi,
Unasaka anaenizidi Kwanza saka tochi,
Sijioneshi kuwa nna Hela niite mi satoshi,
Naomben condom XXL za kawaida hazinitoshi.
Oya wahuni vipi? Miki Rasta vipi?
Cheki Misitu inaisha jinsi mnavyowasha njiti,
Flow Za maangamizi chini chini ka nyambizi,
Madem wanahisi mi mhaya navowapa ndizi,
Mauwezo hayafichiki kama gonjwa hatarishi
Hip-hop inahitaji lifti mwambie rapa Ako aache Siti,
Marapa wengi show mbovu wapeni asali mbichi,
Washangaa nna magenge mengi kama Soko kuu,
Mashabiki Wana maswali wakiniona ote mikono juu,
Mi Ni kocha mwenye mbinu nyingi Zaidi ya fo fo Two,
Nachukua kombe wapinzani wako fofofo tu,
Mkipata hata Sare ntamfukuza kocha,
nna mtandao mpana ila siwezi kuuza vocha,
Nipo kama water, Nafloo kama ghorofa,
Flows nnazo nyingi kama mjini nimeijaza posta,
Sitakuja kuchuja nshaweka kiapo,
Na Muda Ni yuda afu Pesa pilato,
Vijiko tumetupa tutakula Kwa jasho,
Cheki wanavyotapa WaPo kama mfamaji
Anaepanga Ni mola msijifanye wajuaji
Shetani ndo mwenye nyumba japo Mungu ndo mpangaji
Na faida ya hasara Ni utashiba Kula mtaji