Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nikichana ngumu naishia kuskika geto, mabishoo wanalaumu mistari imewazidi uwezo.../
Mara Scars acha ndumu ufanye commercial, ili uweze kudumu kwenye soko la kesho.../
Njia imejaa visiki na vigingi, ukiwa peku haupiti.../
hata hao wabana pua mtaani hawana shilingi, hali tight nishafanya utafiti.../
Bongo bila kiki mziki hauskiki, kubali kuitwa chawa kwa celebreties uta hit.../
Nakomaa na game, wala sitaki inilipe../
Mi ni rapper sitaki fame, na kwenye magazeti ikibidi msiniandike.../
Mara Scars acha ndumu ufanye commercial, ili uweze kudumu kwenye soko la kesho.../
Njia imejaa visiki na vigingi, ukiwa peku haupiti.../
hata hao wabana pua mtaani hawana shilingi, hali tight nishafanya utafiti.../
Bongo bila kiki mziki hauskiki, kubali kuitwa chawa kwa celebreties uta hit.../
Nakomaa na game, wala sitaki inilipe../
Mi ni rapper sitaki fame, na kwenye magazeti ikibidi msiniandike.../