Michano/Hiphop/Freestyle

Michano/Hiphop/Freestyle

Kila story ushoga/ nidhamu ya uoga/ au unatangaza soko/

Tujue unatoga/ mtoto ni mboga/ ile Kiarabu koko/

Acha soga/ umeshaniroga/ nikupige kimoko/

Si utaoga/ na ukishanipa boga/ sitafanya unoko/

Umeweka maji wazi tunanawa bila ganzi mtoto wali nazi nakupanda kama ngazi/

Usitangaze ubazazi naonekana ustadhi utanishusha hadhi wakijua wazi nimekupakua mbaazi/

Imeshakuwa ndefu meku nipe mambo yetu peku kama Mpoto/

Nakudeku unavyo 'repu' mwanakwetu unataka moto/

Game imekupuuza, stanza sio kuvaa wigi/

Ni wazi unajichuuza, kujaribu hii ligi/

Wanasema Mvumbo punguza, konokono hawezi hii speed/

Sasa badala ya kujifunza, unaleta mdomo kama Gigy/
Haya ni mauaji ya kimbari
 
Vichwa nazi niliwasaga kama juice..|
Iko wazi kwa hizi tungo, ukimtoa Mvumbo sioni wakunidhibiti..|

Ukigusa huu mziki, jiandae kuwa maiti..|
Wabana pua siwapi laik, nawalipua kama kijiti..|

Nikipewa maiki ni vurugu, utasema chizi kapewa lungu..|
Mautundu kama mzungu, hamwezi kunipiku (bora) mumwachie mungu..|
 
Kila story ushoga/ nidhamu ya uoga/ au unatangaza soko/

Tujue unatoga/ mtoto ni mboga/ ile Kiarabu koko/

Acha soga/ umeshaniroga/ nikupige kimoko/

Si utaoga/ na ukishanipa boga/ sitafanya unoko/

Umeweka maji wazi tunanawa bila ganzi mtoto wali nazi nakupanda kama ngazi/

Usitangaze ubazazi naonekana ustadhi utanishusha hadhi wakijua wazi nimekupakua mbaazi/

Imeshakuwa ndefu meku nipe mambo yetu peku kama Mpoto/

Nakudeku unavyo 'repu' mwanakwetu unataka moto/

Game imekupuuza, stanza sio kuvaa wigi/

Ni wazi unajichuuza, kujaribu hii ligi/

Wanasema Mvumbo punguza, konokono hawezi hii speed/

Sasa badala ya kujifunza, unaleta mdomo kama Gigy/
wanaosema mvumbo punguza ni watoto mwenzio/
muhuni nashusha tungo we unaleta pambio/
mixer kucheza cheza kwanza kaza mtandio/
sasa tikisa vema tikisa tena kalio/

naona sasa umepagawa kwa nguvu unataka manundu/
chagua kugeuka chawa ama kuvumilia machungu/
real torturer sina wema ata ukinilia kwa Mungu/
na usije kuyanawa tena haya ni maji ya gundu/
 
Wanajiuliza huyu ni pasta kwan..|
Mbona tuna mdis, ila bado yuko peace kama rastaman..|
Halaf hana uoga, utasema anaishi na dizasta ndani..|
 
Hakupenda dem aliye single/ zaidi ya ma shem kwenye lindo/

Ukimkuta sehem ni windo/ anapenda chem chem kama Mandingo/

Macho nyatu nyatu alibakisha tu wakusoma/

Ila wake za watu aliwainamisha mbuzi kagoma/

Kisa alikuwa na Aftatu za kubadilisha nyama choma/

Tulimkanya ila katu alibisha na kujiona yeye noma/

Alisema wake za watu watamu na wasafi/
Kitu tight kibantu maana hawaliwi ki ulafi/

Kuliko walioko singo unaelea mtalimbo/
Rabda uingize shingo ili ufikie ukingo/

Akasema tusidanganywe na sura/
Maana chini kumesha kongoroka/

Na akasema tusidanganywe na chura/
Huko hawajabakisha tayari kipa katoka/

Alibadili wake za watu mimba akawapatia/

Akashikwa na Chafu tatu hii video angalia/

 
huwa naanza na jamiiforum/kila nanapowasha data/ inanifanya vitu vingi nifahamu/na habari nyingi kuzipata/ jamiiforums ni zaidi ya utamu/unaoupata kwenye kashata/ yaani mpaka sizisikii salamu/za majirani zangu wanaonipita/ wanahisi labda sina nidhamu/pengine nimeshaanza kunata/ kumbe jambo wasilofahamu/kuna madini mengi ninayapata/ mpaka nakosa kabisa hamu/muda wa chakula unanipita/ kwaleo acha nishushe kalamu/nikaperuzi kidogo na insta/ japokua mistari haipo timamu/wala sishindwi kuweka nukta/
 
huwa naanza na jamiiforum/kila nanapowasha data inanifanya vitu vingi nifahamu/na habari nyingi kuzipata jamiiforums ni zaidi ya utamu/unaoupata kwenye kashata yaani mpaka sizisikii salamu/za majirani zangu wanaonipita wanahisi labda sina nidhamu/pengine nimeshaanza kunata kumbe jambo wasilofahamu/kuna madini mengi ninayapata mpaka nakosa kabisa hamu/muda wa chakula unanipita kwaleo acha nishushe kalamu/nikaperuzi kidogo na insta japokua mistari haipo timamu/wala sishindwi kuweka nukta
Ni zaidi ya utamu unaopata kwenye kashata👊
 
#Miss valentine challenge

Hapendi pombe, ingawa anaguu la bia..|
Bonge la shombe, anajua kujitupia..|
Hahitaji wapambe, mahitaji yote namtimizia..|

Hataki niwe mnyonge, yuko radhi agongwe ili nivuke njia..|

Sina wenge, na magenge yanayomvizia..|
Moyo kaugeza ngome, mi mfalme yeye ndio malkia..|

Penzi lake tamu, haikati hamu/ napenda kuona lake tabasamu..|
Mambo ya umbea hayapi taimu, anajua kukosea ni tabia ya binadamu..|

Ananipa denda, ili niache kupenda sigara..|
Nikikosea tunayajenga, hanaga papara..|
Kutuachanisha, ni kupanda mchicha kwenye jangwa la sahara..|
maji ya gundu Mvumbo Scars
 
Mwinda pole hula nyama, ilo nakataa..|
Nishawinda pole na sikukuta nyama wala dagaa..|
Mi ndo big star ambaye sishi dar..|
Hata nikikosa bar, siingidaa bora ninywe chang'aa..|
 
#Miss valentine challenge

Hapendi pombe, ingawa anaguu la bia..|
Bonge la shombe, anajua kujitupia..|
Hahitaji wapambe, mahitaji yote namtimizia..|

Hataki niwe mnyonge, yuko radhi agongwe ili nivuke njia..|

Sina wenge, na magenge yanayomvizia..|
Moyo kaugeza ngome, mi mfalme yeye ndio malkia..|

Penzi lake tamu, haikati hamu/ napenda kuona lake tabasamu..|
Mambo ya umbea hayapi taimu, anajua kukosea ni tabia ya binadamu..|

Ananipa denda, ili niache kupenda sigara..|
Nikikosea tunayajenga, hanaga papara..|
Kutuachanisha, ni kupanda mchicha kwenye jangwa la sahara..|
maji ya gundu Mvumbo Scars
Anajua napenda chini, kama magurudumu/

Na bado ananiamini, kimwana hanihukumu/

Popote yupo na mimi, kama pusha na ndumu/

Ndio maana wafitini, wanakwenda kumwaga sumu/

Moyoni muhimu/mweupe zaidi ya rim/ na shepu ya stim/ napata wazimu/

Bed ni mwalimu/ hanikim/ na kila saa simu/ na nikitia timu/ ni vitu adim/

Ya nini nimuhonge gari, na atakapo namfikisha/

Siogopi kutoa mahari, acha nimvute kama Shisha/
 
Mvumbo ni Singe, nawachoma kwa midadi/

Nawakilisha vilinge, kama mganga wa Jadi/

Wanatamani nisinge, zaliwa ilimradi/

Watawale hawa upinde, wajione 'inchaji'/

Hip Hop naibeba kama ng'ombe na nundu/

Nasikia wanakwenda Leba maana wanasikia uchungu/

Life sio Yeba ingawa tunashukuru Mungu/

Na kwa malikia wa Sheba bado tunatembeza rungu/

Juzi na jana sio kesho, japo kesho inaweza kutushangaza/

Ninamaana haiji special, zaidi ya kile moyo ulichoujaza/
 
Anajua napenda chini, kama magurudumu/

Na bado ananiamini, kimwana hanihukumu/

Popote yupo na mimi, kama pusha na ndumu/

Ndio maana wafitini, wanakwenda kumwaga sumu/

Moyoni muhimu/mweupe zaidi ya rim/ na shepu ya stim/ napata wazimu/

Bed ni mwalimu/ hanikim/ na kila saa simu/ na nikitia timu/ ni vitu adim/

Ya nini nimuhonge gari, na atakapo namfikisha/

Siogopi kutoa mahari, acha nimvute kama Shisha/
Haha noma sana
Ya nini nimhonge gari, na atako namfikisha.
Siogopi kutoa mahari, acha nimvute kama shisha..|
 
Jf sio mtandao wa mchongo..|
Jiunge usome nondo, uchangamshe ubongo..|
Japo kuna memba waongo..|
Uchawi wanaita chai na wamezaliwa loliondo..|

Wengine waviziaji wa mademu..|
Wana fake wanamitaji, kumbe wanalelewa na mashemu..|
 
Ni mtoto mkali Jf anacomment kimombo/

Pm nikatema asali kidume anipe uhondo/

Akashindwa kukubali eti sina michongo/

Nyuzi za ujasiriamali sionekani kutema nondo/

Huenda ni waya mkali akazidi tema nyongo/

Eti sijadili magari kama wakina RRONDO/

Nipo nyuzi za kamari na Odds za uongo/

Na uzi wa Freestyle nikipigana tu madongo/

Sina issue/ jasho sina tishu/ vipi niopoe kisu/

Hawezi sema I miss U/ dah! aminikifu/ moyoni risasi kama Lissu/

Karata zake amezipanga vibaya/ Mvumbo kwenye noti madogo nawa Inspire/

Fuba haionyeshwi kama Kwaya/ na ukiiabudu tunakuona malaya/
 
Ni mtoto mkali Jf anacomment kimombo/

Pm nikatema asali kidume anipe uhondo/

Akashindwa kukubali eti sina michongo/

Nyuzi za ujasiriamali sionekani kutema nondo/

Huenda ni waya mkali akazidi tema nyongo/

Eti sijadili magari kama wakina RRONDO/

Nipo nyuzi za kamari na Odds za uongo/

Na uzi wa Freestyle nikipigana tu madongo/

Sina issue/ jasho sina tishu/ vipi niopoe kisu/

Hawezi sema I miss U/ dah! aminikifu/ moyoni risasi kama Lissu/

Karata zake amezipanga vibaya/ Mvumbo kwenye noti madogo nawa Inspire/

Fuba haionyeshwi kama Kwaya/ na ukiiabudu tunakuona malaya/
Hahaha nani huyo
 
Pakatae chini
Maana nayasema haya baada ya kuendekeza chini sasa leo naishi kwa dozi/

Huku baba yangu kwa ubishi wake Juu Askari kanzu kakataa kutupa chini Cha ukucha Hadi kakamatwa na sasa yupo cerntral analala chini/

Na mwisho wa Malaya wote Ni chini .

Uwa nacheka hapa JF watoto wadogo waliopata urithi wa ulozi wanapotushauri ndoa

Je hawajui ndoa ni ndoano

Kataa ndoa na huku ukienzi bao Bora la maradona.
 
Mbona kimya, mbona Kama mnajinyima,

Ma Mc's wote deki au mmeishiwa vina,

Mwamba nimerudi ukitaka pima,

Mi ni Mali ya taifa nikitema wanahifadhi hazina,

Nagaagaa na upwa ndio maana sili wali mkavu,

Lifestyle ya kibabe watoto nawapa tabu,

We dada usiuze chini njoo nikupe shavu,

Ni Nani Kama mm anaeweza stand above,
 
Mwinda pole hula nyama, ilo nakataa..|
Nishawinda pole na sikukuta nyama wala dagaa..|
Mi ndo big star ambaye sishi dar..|
Hata nikikosa bar, siingidaa bora ninywe chang'aa..|
Mambo ya ring on da finger ni baadae,

Sina cash na nnavimba na hakatai,

Akiwa nami cops kutimba hashaangai,

About weed na kuyumba ni nai nai,

She said boy u know umenijaa kwa roho full,

Take ma love and take ma Dow chukua,

She wants ma body she wants ma love tuu,

She swears to GOD she'll be ma one and true,
 
Back
Top Bottom