INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

wakati wa mvua nyingi miche midogo hupata ukungu, hivyo ni muhimu kupiga dawa.

Karibuni wateja wetu kwa huduma na elimu bora
 
Wapendwa kwanza niombe radhi kwa kuwa kimya kwa kipindi cha mwezi mzima.Niliibiwa simu,hii imepelekea kupoteza contacts za wateja wangu wote.
Lakini pia niombe radhi kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine wamepata changamoto kupitia namba yangu ya Whatsapp,kwa kutumiwa ujumbe wenye maudhui kitapeli.
Sync contacts zako na gmail

In case umeibiwa au sinu imeharibika unazirudisha kwenye simu mpya
 
karibu sana tuwahudumie miche ya papai,kwa sh 3500 kila mche
 
tuna miche ya papai aina 2
Malkia F1 na Calfornia
 
Cocoa hustawi vizuri katika mikoa ifuatayo
Morogoro,Mbeya,Tanga,Kigoma

kwa space ya 3*3m utahitaji miche 544/eka
Kwa space ya 4*4m utahitaji miche 306/eka
 
korosho inastawi vizuri ukanda wa Pwani haya ni maeneo yenye sifa ya kutunza yenye unyevu,joto kiasi na kiwango cha mvua za wastani
 
Kuna mbegu ya miembe mizuri itayokubali mikoa ya baridi ? Mbeya, Njombe Iringa?
 
Huwa mna miche ya kahawa, na niombe kujua kama ukanda wa dar na bagamoyo kahawa inakubali?
 
Huwa mna miche ya kahawa, na niombe kujua kama ukanda wa dar na bagamoyo kahawa inakubali?
Kwenye kitengo chetu kahawa hatuna boss,nina amini miche itakuwa inapatikana kitengo cha Agriculture hapa hapa SUA.

Kuhusu kahawa Dar na Bagamoyo haina matokeo mazuri,kahawa inastawi zaidi mikoa au maeneo yenye baridi,mvua za kutosha,kiwango kidogo cha joto,maeneo yenye asili ya miinuko.

Mikoa au maeneo ambayo migomba,parachichi zinastawi basi kahawa pia inakubali

Mikoa inayofanya vizuri kwenye kahawa ni Kilimanjaro,Arusha,Tanga(Lushoto),Mbeya,Kagera etc
 
Kwenye kitengo chetu kahawa hatuna boss,nina amini miche itakuwa inapatikana kitengo cha Agriculture hapa hapa SUA.

Kuhusu kahawa Dar na Bagamoyo haina matokeo mazuri,kahawa inastawi zaidi mikoa au maeneo yenye baridi,mvua za kutosha,kiwango kidogo cha joto,maeneo yenye asili ya miinuko.

Mikoa au maeneo ambayo migomba,parachichi zinastawi basi kahawa pia inakubali

Mikoa inayofanya vizuri kwenye kahawa ni Kilimanjaro,Arusha,Tanga(Lushoto),Mbeya,Kagera etc
Asante sana kwa ufafanuzi, nitakaribia kwa miche mingine ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom