Karibu tuwasiliane kupitia namba hizi ili kupata maelekezo zaidiNahitaji miche 50 ya migomba, kimalindi ndefu, nipo marangu, moshi. Kama una miche mingine ya migomba inayozaa mikungu mikubwa na mirefu, nijulishe pia.
Nitumie gharama ya kununua na kusafirisha hadi njia panda ya himo
OkKaribu tuwasiliane kupitia namba hizi ili kupata maelekezo zaidi
0719527062
0757056472
Machungwa na maembe yenye miti mifupi unaanza kufaidi matunda kuanzia linii??Ndio boss, Korosho unaanza kuvuna kuanzia miaka 2-3. Bei ya mche ni 2000 Ila ukichukua kuanzia miche 50 bei ya mche ni 1500. Karibu
Naomba ufafanuzi kidogo! GIANT PASSION inatofautianaje na za kawaida?View attachment 1592355
Miche ya Giant passion ,mmoja sh 5000
Ndio boss.Naomba ufafanuzi kidogo! GIANT PASSION inatofautianaje na za kawaida?
Embe uzao wa kwanza ni baada ya miezi 7,ingawa uzao huu hauna matunda mengi,unaweza pata matunda 2-5.Machungwa na maembe yenye miti mifupi unaanza kufaidi matunda kuanzia linii??
Utajuaje kama mche ni dume au jike?View attachment 1685715
Huu ni mrejesho wa member mmoja wapo hapa jukwaani.Nilimuuzia hii miche Nov/2020.Huu mrejesho amenitumia Tar 4/Jan/2021
πππPia kwenye post za nyuma kidogo uzi huu huu nime ambatanisha picha kadhaa za passion za kawaid na giant passion.
Hiyo huduma inapatikana wapi? Shamba lipo Kakonko.Ukitaka lab results only wengi wanafanya wastani wa 30,000 kwa sample 1. Ukitaka analytical report ni kuanzia 50,000 kwa kila sample
Hiyo huduma inapatikana wapi? Shamba lipo Kakonko.Ukitaka lab results only wengi wanafanya wastani wa 30,000 kwa sample 1. Ukitaka analytical report ni kuanzia 50,000 kwa kila sample
Kuhusu kujua kama mche wako ni dume au jike at early stage ni ngumu,sababuUtajuaje kama mche ni dume au jike?
Kuna mtu aliniuzia jijini Mwanza, lakini katika miche zaidi ya hamsini, mijike haikufika hata kumi.
Utajuaje?
Uwepo wa miche dume shambani husaidia uchavushaji,ingawa idadi ikizidi ni hasara na kero,pole Sana mkuuUtajuaje kama mche ni dume au jike?
Kuna mtu aliniuzia jijini Mwanza, lakini katika miche zaidi ya hamsini, mijike haikufika hata kumi.
Utajuaje?
Apple inaweza kukubali kwa mkoa wa Kigoma?cocoa
miche 544
space 4*4m
eneo ukubwa wa eka 1
bei ya mche 2000
mikoa /wilsya zinazofaa ni,Morogoro,Tanga,Kyela,Rungwe,Kigoma
Nifanyeje ili kuepuka hilo kujirudia? Nataka nioteshe tena michache.Kuhusu kujua kama mche wako ni dume au jike at early stage ni ngumu,sababu
1.Kwa muonekano mbegu zote(jike na dume) zinafanana
2. miche pia inafanana
lakini pale mche utakapo fikia hatua ya kutoa maua ndipo utagundua tofauti.
β πKwa Upande wangu nimerecord audio ambayo inamaelekezo yote muhimu
Hivyo kila mteja anaponunua miche lazima nimtumie.
Pili lazima nifanye follow up kwa wateja wote kila inapofika mwisho wa mwezi(Walionunua miche kwangu watakuwa ni mashahidi katika hili maana ni jana tu nimewasiliana nao mmoja baada ya mwingine) Lengo kujua maendeleo na changamoto wanazokutana nazo ili kuzitatua.
Pia kwa upande wetu tunahakikisha tunafanya uchaguzi uliosahihi wa mche wa kufanyia graffting na budding.
Sababu zote hizi zinaniweka upande salama hakuna mteja alienunua miche kwetu ambae aliewahi kupata changamoto uliyotaja.
Hongera Lily Tony. Unajua unachokifanya.boss apple zinastawi vizuri kwenye mikoa yenye joto kiasi,kiwango kikubwa cha mvua na baridi.
Mikoa kama Mbeya,Arusha,Iringa etc apple zinastawi vizuri.
Masasi ni pwani ,hutapata matokeo mazuri sana hasa kama unalima kibiashara
Asante mkuu kwa kunitia moyo,ujumbe kama huu unanipa nguvu zaidi.Umebariki moyo wangu hakika.Hongera Lily Tony. Unajua unachokifanya.
Kwa kuwa umetanguliza huduma mbele badala ya hela, hutakaa ukose hela.
Hongera sana! Keep it upπ