Pole kwa hiyo changamoto mkuu.Nina heka mbili zipo dar es salaam kijiji cha mwasonga ni bondeni kidogo ardhi yake hua inajaa sana maji kipindi cha mvua na ua ni kavu kipindi cha kiangazi ni mtunda au zao la namna gani naweza kupanda?nimejaribu mara kadhaa bamia zinakutana na mvua chali
Miche hiyo(embe, limao na ndimu) itafaa kwasababu mizizi yake inakwenda mbali hivyo itastahimili nguvu ya maji lakini pia wingi wa maji hautaadhiri mche sababu ni stable ukilinganisha na bamia .KaribuNina heka mbili zipo dar es salaam kijiji cha mwasonga ni bondeni kidogo ardhi yake hua inajaa sana maji kipindi cha mvua na ua ni kavu kipindi cha kiangazi ni mtunda au zao la namna gani naweza kupanda?nimejaribu mara kadhaa bamia zinakutana na mvua chali
hizi ni mbegu za GMO??Hali ya hewa ni rafiki kabisa kwa kilimo cha miche ya muda mfupi.
Miezi 6 unaanza kula Papai na Embe
Miaka 2 unaanza kula Chungwa
Mwaka 1 na nusu unaanza kula Mapera
Miaka 2 na nusu unaanza kula parachichi
Miaka 3 (Mbegu ya pemba) na miaka 8(africantall) unaanza kuvuna nazi.
Karibuni sana
maan mfano, hiyo minazi ya muda mfupi, kuna mahala nilitaste madafu yake,hayana ladha kabisa.Hapana boss.Hata serikali imepiga marufuku GMO
Ukwaju unachukua muda gani mpaka kuvuna?Nyongeza:
Ukwaju 2000/=
Balungi 2000/=
Embe(Alphonso,Kent,Tomyy,Dodo,red indian)@ 2000/
Apple 2000/=
Seedless oranges(Zimetuishia kwasasa ila tunapandikiza nyingine ) bei 2000/=
Karibuni na asante kwa wote wanaendelea kutuamini katika kuwapatia huduma nzuri.
shamba langu ukichimba kwenda chini futi moja na nusu mpaka futi mbili unakutana na miamba , ni aina gani ya miti ya matunda inafaa hapo?Miche hiyo(embe, limao na ndimu) itafaa kwasababu mizizi yake inakwenda mbali hivyo itastahimili nguvu ya maji lakini pia wingi wa maji hautaadhiri mche sababu ni stable ukilinganisha na bamia .Karibu
Hapo ninakushauri upande miche ya parachichi,fenesi sababu mizizi yake ina enda chini na ina uwezo kujipenyeza hata kwenye miamba.Lakini pia unaweza kuotesha starwberry na passion maana mizizi yake ni mifupi haiendi chini ila ni kama inasambaa.Karibushamba langu ukichimba kwenda chini futi moja na nusu mpaka futi mbili unakutana na miamba , ni aina gani ya miti ya matunda inafaa hapo?
Vip kuhusu na ukwaju unatumia muda gani?Hapo ninakushauri upande miche ya parachichi,fenesi sababu mizizi yake ina enda chini na ina uwezo kujipenyeza hata kwenye miamba.Lakini pia unaweza kuotesha starwberry na passion maana mizizi yake ni mifupi haiendi chini ila ni kama inasambaa.Karibu
Ahsanteukwaju miaka 7 mpaka 8.Hii ni miche ya kienyeji,hatuna ya kisasa