INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Niko pwani ya kibiti Je matunda ya Mlimao,Ndimu,Chungwa parachichi na embe unaweza kustawi na kupata matokeo mazuri?
Ndio boss.Miche hiyo inastawi vizuri kabisa na kuleta matokeo mazuri
 
Niko pwani ya kibiti Je matunda ya Mlimao,Ndimu,Chungwa parachichi na embe unaweza kustawi na kupata matokeo mazuri?
Kigezo cha kwanza ni tunafanya uchunguzi ,Mfano Embe,tunaangalia kama miche ya asali/kienyeji ya embe inastawi eneo/mkoa huo.Kama inastawi na kuleta matokeo basi hata mche wa kisasa pia utaleta matokeo
 
Ndio boss.Miche hiyo inastawi vizuri kabisa na kuleta matokeo mazuri
Kaka nachukua namba yako manake ndio maana kusafisha msitu hekali 30 kbt nitaanza kupanda mwezi wa 2 kama una group la whatsap la kilimo cha matnda niunge.
 
Niwahi kununua miche ya embe ambayo niliambiwa ni ya kisasa mwaka 2012 mpaka leo bado haijatoa maua.
 
Kaka nachukua namba yako manake ndio maana kusafisha msitu hekali 30 kbt nitaanza kupanda mwezi wa 2 kama una group la whatsap la kilimo cha matnda niunge.
Sawa mkuu chukua namba tuzidi kuwasiliana.Karibu sana.
Ila mimi ni dada mkuu😊
 
kabla ya kupanda ulipewa maelekezo ya jinsi ya kupanda miche kitaalamu? sababu hii miche kuna jinsi ya kuipanda
sikumbuki,ila ninachokumbuka nilinunua na kwenda kupanda.baada ya muda naona miembe inakwenda juu tuu wala haitoi maua.baadhi niliikata baada ya mika 6 ili kupanda vitu vingine maana niliona naharibu ardhi yangu.hata ile iliyobaki bado haijatoa hata maua
 
sikumbuki,ila ninachokumbuka nilinunua na kwenda kupanda.baada ya muda naona miembe inakwenda juu tuu wala haitoi maua.baadhi niliikata baada ya mika 6 ili kupanda vitu vingine maana niliona naharibu ardhi yangu.hata ile iliyobaki bado haijatoa hata maua
Pole mkuu.Yapo maelekezo/muongozo wa namna ya kuotesha miche hii ya muda na kushindwa kufanya hivyo mmea unaweza kukaa miaka 10 bila kuleta matokeo uliyotarajia.
 
IMG-20200831-WA0007.jpg
 
Ninawashukuru wote mnaondelea kuniamini na kupata huduma kwangu.Asanteni sana.
Karibuni
 
Miche hiyo(embe, limao na ndimu) itafaa kwasababu mizizi yake inakwenda mbali hivyo itastahimili nguvu ya maji lakini pia wingi wa maji hautaadhiri mche sababu ni stable ukilinganisha na bamia .Karibu
Limao uchukua muda gani mbaka inapokua tayari kuvunwa?
 
Back
Top Bottom