Michelle Obama; America's Most Photographed 1st Lady!

Michelle Obama; America's Most Photographed 1st Lady!

kikwete+20.JPG
Wetu analipa zaidi, kashiba shiba ana real estate ya pa kubusu na kukumbatia, sio scrawny arse Michelle
kikwete+20.JPG

kikwete+20.JPG

I co-sign....
 
Taratibu ndugu...siku comment on Mma Salma.I just commented on Michelle!!!
Manyama uzembe hata mimi ninayo sana hivyo siwezi kujitukana mwenye ( sic!)....Usikurupuke

nadhani wewendio umekurupuka kujibu hoja ya salma isiyokuhusu....jibu hoja zinazokuhusu
mix with yours
 
Nilivyoona hiyo topic nikajua tu huyu atakuwa "The Teacher". Wallah kama Obama asingekuwa public person angekupa restraining order usiende within 50 feet ya mkewe na fam 🙂

Hata kwa copy paste tu!
 
First lady under fire for her glitzy Spanish vacation

<cite id="yn-author"></cite>
<!-- end .byline -->
michelle-spain.jpg
 
... I tell you I'am sickened by this wanton obsession with US presidency. Its time to exalt ours



homeboy's girl is premium next to Baraka's by hundreds of orders of magnitude​
kikwete+20.JPG

I agree with you Taso🙂
 
Jamani hawa people wanaboa sana na Comment zao nimeona kwenye website moja jisnsi wanavyowaponddea eti wanatumia vibaya pesa walifanya makosa kuwachagua baadhi yao naona wanachuki kubwa sana na family ya Obama
 
Jamani hawa people wanaboa sana na Comment zao baadhi yao naona wanachuki kubwa sana na family ya Obama
:help::disapointed:
hakuna hapo chuki First Lady1 hata wewe ukiweka Avatar yako ya uchi tutaisema tu kusema ukweli ndio kuna chuki na Obama? Kwanini tuwe nae chuki wakati kwanza ni Rais wa mwanzo huko Amerika kuwa mtu mweusi.Tunajivunia sisi Watu weusi kuwa na Rais mweusi Bara la amerika. Tunachosema ni kweli tupu Mkuu First Lady1
 
hakuna hapo chuki First Lady1 hata wewe ukiweka Avatar yako ya uchi tutaisema tu kusema ukweli ndio kuna chuki na Obama? Kwanini tuwe nae chuki wakati kwanza ni Rais wa mwanzo huko Amerika kuwa mtu mweusi.Tunajivunia sisi Watu weusi kuwa na Rais mweusi Bara la amerika. Tunachosema ni kweli tupu Mkuu First Lady1
Mzizimkavu nimejaribu kuweka hiyo Link hapa imekataa sijui kwa nn..zomment zimeniacha hoi kabisaaaaaa
 
Kama Obama aliwai kutandika dope, sasa mkewe hajawahi kweli? Kama wana-exceed bajeti yao lazima watu waseme, lakini kama matumizi yako within the bajeti shida hakuna huo utakuwa ni wivu tu!!! Ila kwa mwendo huu utupu huko jirani na yawezekana wamevunja rekodi kwa kuwa wa kwanza kujadili mambo ya Iraq au Afghanistan ndani ya White House mara tu baada ya kuwa rais!!!!!

Kwani siku hizi amekuwa model?!!
 
Kama Obama aliwai kutandika dope, sasa mkewe hajawahi kweli? Kama wana-exceed bajeti yao lazima watu waseme, lakini kama matumizi yako within the bajeti shida hakuna huo utakuwa ni wivu tu!!! Ila kwa mwendo huu utupu huko jirani na yawezekana wamevunja rekodi kwa kuwa wa kwanza kujadili mambo ya Iraq au Afghanistan ndani ya White House mara tu baada ya kuwa rais!!!!!

Kwani siku hizi amekuwa model?!!


Duh ngoja tuone hili sakata linaendaje maana naona kama ni dalili za sakata endelevu...
 
...Huenda anataka tuone vimisuli vyake sijui anafanya mazoezi ya goju-ryuu huu mama! ilitakiwa na shemeji yetu Salma apate ushauri sidhani kama kuna mazoezi yoyote anayofanya yule bibie anajinenepea tu!!:rant::rant:

Shemeji yetu yeye ana Bantu figure
 
sasa huyu mama Obama ni w kawaida....halafu hiyo nguo si ni ya kawaida tuu? I'm sure I would look hotter in that outfit!!! sijisifii ila mhhhh
 
Back
Top Bottom