DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #201
Naam mtani wangu Watu8 karibu Sana[emoji4][emoji109]Episode nyingine tena ya DeepPond
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam mtani wangu Watu8 karibu Sana[emoji4][emoji109]Episode nyingine tena ya DeepPond
Namuachaje sasa kwa mfano[emoji4]Usimwache mama J.
Leo nakusapoti[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa namsimlia Tinsley
Hapo juu kuwa kuna mabnti wenye nyota sana ukiwa nao yaani
naam Ni Mchaka mchaka patashika nguo kuchanika[emoji4]Hahah, mzee kichwa yako muda wote ipo race...[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nakumbuka niikupinga sana jamaa angu
Nakumbuka vizur,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nakumbuka niikupinga sana jamaa angu
Unakera sometimes,, Sasa huruma unayomuonea huyo kijana Ni ya Nini,, km sio unafiki tu,, bhana eeh maisha ni yako na michepuko ni yakoMkuu,
1. Uyu kijana kanikuta tayar Niko nae uyu binti.
2. Uyu binti anakana kabisa kwamba Hana mahusiano nae uyu kijana.
3. Uyu kijana hajaja kuniomba kwamba nimuachie uyu binti kwamba anamalengo nae.
4. Nikiangalia kitabia, kimalengo na kimahusiano uyu binti na kijana hawaendani . Binti bado damu inachemka Sana.
Naanzaje Sasa kujifanya nna kiherehere kupatanisha mahusiano yao ambapo wote Hamna yeyote anaenipa ushirikiano?
Kwann nisiache kijana apambane TU mwnyw kwa jasho lake amtukize binti?
Je Kama nikiforce afu binti hamtaki? SI ntakua nmefanya kazi bure dada angu[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeh sababu sampul ya mwanamke kilaza kama mama J mimi huwa simo huko[emoji28][emoji28]
Hizo hajui, ila siku ya kwanza anaenda Kupanga pale alipohana just mama j Alikua anajua.Daaah ndo kwa mdogo ake baba J [emoji3][emoji3]ko saizi mama J anajua kuwa umempangia chumba mdogo wake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unakera sometimes,, Sasa huruma unayomuonea huyo kijana Ni ya Nini,, km sio unafiki tu,, bhana eeh maisha ni yako na michepuko ni yako
Chaga bahili wewe sijui ni Machame?[emoji38][emoji38]Sijui sababu gani ila Sijawahi dumu na mchepuko hata awe mzuri vipi...!! Akianza kero za mara tuzae sijui vizinga vingi hanisikii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujinga sana me mwenyewe wife katimia sema tamaa tuu...Chaga bahili wewe sijui ni Machame?[emoji38][emoji38]
Nionyeshe makasiriko yalipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona makasiriko mtu wangu?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huku ndio anapumua mkuu mwache tu...unajua kuna watu wapo wazi sanaHahah, huyu kamanda yupo race sana...muda wote kichwa imejaa mitkasi za kuwatafuna tu
Umeongea kwa ukali sana[emoji1787][emoji1787]Nionyeshe makasiriko yalipo
Yaan wee rikiboy mzee wa kimasihara hunaga Mambo mengi, ukishaloweka tu huna muda Tena[emoji4]Sijui sababu gani ila Sijawahi dumu na mchepuko hata awe mzuri vipi...!! Akianza kero za mara tuzae sijui vizinga vingi hanisikii