Michepuko hii, kuna muda unajikuta umemkosea mwanaume mwenzako bila kujua

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujinga sana me mwenyewe wife katimia sema tamaa tuu...
Ha ha ha ....
Afu wachepukaji wengi wake zetu wazur Sana.

Binafs nikimuangalia wife angu na michepuko yangu Ni mbingu na ardhi Kenny suala zima la urembo.

Sema Basi TU tamaa mbele zinatuzidia[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ....
Afu wachepukaji wengi wake zetu wazur Sana.

Binafs nikimuangalia wife angu na michepuko yangu Ni mbingu na ardhi Kenny suala zima la urembo.

Sema Basi TU tamaa mbele zinatuzidia[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ufala mkuu yani uache main chik imezidi mchepuko...mchepu mbovu wa nini sasa?
Ungeniambia mchepu mkali kupita main angalau una sababu
 
Huu ni ufala mkuu yani uache main chik imezidi mchepuko...mchepu mbovu wa nini sasa?
Ungeniambia mchepu mkali kupita main angalau una sababu
Sio wabovu, Ila Ni wakawaida Sana.
Mchepuko mwnyw analijua Hilo, wife nae pia anajua kamzidi urembo.

Ndo maana Kuna kipind tulikua na migogoro tukafikishana polisi akawa anasema Kuna Mahal kaskia askal wanasema kwangu kafata nn mbona wife mzur kamzidi kila kitu.

Hilo Wala halifichiki,
Hii pia imenisaidia michepuko yangu isijione special Sana nnapokua nae maana picha ya wife na mwanamgu always iko profile kwny Simu yangu.

Akiiona Lazima ajitahimini Mara mbili mbili Kama ananini Cha ziada kumzidi wife[emoji4]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndo upunguze tamaa kaka
Mchawi kile kitobo mkuu,
Wanawake wengine usoni Ni wakawaida ,ila vidudu Ni vizur balaa.

Uyu mama j Wang laiti kile kidudu chake kingelikua kinakaa usoni, wallah foleni yake isingekua ya nchi hii kwa wanaomtaka wakamle[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mkeo anamfahamu mchepu?
 
Ndugu yangu , tafadhali usisahau huyo kijana ashakujua na kiume hapo anajua kila kitu ila after all huyo kijana hana uwezo wa kumtunza na kumuhudumia binti hivyo , plz msaidie kijana mwenzetu endelea na binti kijana apite kushoto akazane na masomo , vilivyonona vina wenyewe .

Kuendelea na binti utakuwa umemsaidia sana kijana ajitafakari na arudi shule kwanza , mapenzi yapo atayakuta.
 
MamaJ anamfahamu mkuu,
Kuna kipindi lilitokea bonge la seke seke home, mamaj anataka alazimishe atambuliwe Kama MKE mdg kwa wife. Ndo akamjua[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa kubwa la kiufundi mkuu.

Wanawake hawajui kusamehe bali hufunika kombe mwanaharamu apite.

Kazi unayo ni suala la muda.
 
Hakika umenena mkuu,
Hawa wanawake wanapita.
Uyu binti sio levo yake kabisa kijana.
Atulie akazane na masomo mapenz atayakuta.


Suala la kumuachia labda anifate yeye mwenyewe TU[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…