Michepuko hii, kuna muda unajikuta umemkosea mwanaume mwenzako bila kujua

Kwanini sasaa...!!!!

Hana kiwi na wewe tena....???!


Ile shaukwa na kuwa na wewe irudiweee banaaa.

Mpigie mwambie shemeji twende tukapate kinywaji.....

Halafu usifanye kosa tena.
Mi mwnyw mambo meng, nmemsahau.
Nkipata nafas ntamtext nimwambie weekend Hii wapi nikampe bia niskie atasemaje semaje[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usisahau , usisahau kuleta mrejesho namna utakavyomcounsel dogo najua utamsaidia tu kwa namna moja au nyingine

Usikute dogo anataka kujitundika huko, au kubwia vidonge[emoji28][emoji119][emoji28][emoji28]
Tatizo kijana nae simwelewi,
Anataka kusaidiwa au vipi.

Maana hata kunitafta kunielekeza hisia zake kwa Dogo nimuachie haji, nimsaidieje Sasa[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usisahau , usisahau kuleta mrejesho namna utakavyomcounsel dogo najua utamsaidia tu kwa namna moja au nyingine

Usikute dogo anataka kujitundika huko, au kubwia vidonge[emoji28][emoji119][emoji28][emoji28]
Bomu linakuja
 
Story zako ni michepuko tu.inawezekana hata demu wakuzugia Huna 😜🤣🤣
 
Msaidie kijana huyo maana hauna mpango na mchepuko mdogo muachie tu .
Serious kabisa,
Sina mpango nae nmeegesha TU pale.

Sasa namsaidiaje kijana, nimfate Mimi nimwambie nmemuachia?

Aaah iyo hapana mbona, itakua dharau kubwa Sana iyo[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani baba J huogopi mama J akija kujua 😀😀😀sema we ni mchepuko mzuri unaprivide vizuri tu mpaka raha😅
 
Kwamba wewe una bahati sana ya kuwafumania michepuko yako?. Au inajiachia sana. Au unatuleteaga chai we njemba?. Maana kila wanachokifanya against you unakinyaka. Huyo mmekubariana kukutana siku hiyo iweje tena siku hiyo hiyo tena masaa yasiyo mengi ya kukusubiria wewe avute mchepuko mwingine?. Kwamba mipango yao iko less au ni vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…