Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli Kijana yule anaonekana kuumia Sana,Baba G
Pond himself again
Mkuu hongera kwa kuonyesha ukomavu mbele ya dogo
Binti hawez kukutosa wala kumtosa mwamba hapa saizi wanabembelezana huko
Pia wwe kwake ni sponsor ndio mwenye kisu kikali 4 now
Wwe kama tuu muda utasema mkuu
Asante sana mkuu, Ushaur wako nmeupokea kwa mikono miwili[emoji120][emoji4]Yeah!
Inabidi apate somo kwa vitendo.
Kwahiyo kausha, endelea kujichapia.
Sio kweli bhana,Umewaza Kama Mimi
Alafu majuto yake ni makubwa mno
Kwa ninavoona malalamiko ya humu kuhus michepuko inaonesha pia ubovu wa akili zao kiwango Cha akili Cha michepuko yao kilivo Cha ovyo ndo kilivyo Cha kwao
Mnasema mwanamke mmoja hatoshi na pia Wanaume wengi wanachepuka huo ndo ukweli lkn unachepuka kwa misingi ipi je huyo unachepuka nae anaweza kukurespect anajali afya yake ili hata siku ukiamua uongeze awe mke anakidhi vigezo lkn wanaokota okota tu stress tupu
Asije akala kitanziKiukweli Kijana yule anaonekana kuumia Sana,
Nadhan tayar alishajikabidhi vyote vya mwilini mwake Moyo,maini,figo firigisi na bandama kwa binti husika bila kujua binti mwnyw Ni fedhuli tu wengine mpk tumemfanya wa kupozea TU nyege zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwnyw nampenda nnapokua na dharura zangu mkuu[emoji4]DeepPond Huyo Demu Anakupenda kwA Sababu Una Hela
Nataman angepata kijana fedhuli na mjanja mjanja matoe tongotongo kua anakojikabidhi hapako kama anavofikiriAsije akala kitanzi
Manake umri huo hauna reasoning kubwa
Bado sana mpaka apigwe tukio kubwaNataman angepata kijana fedhuli na mjanja mjanja matoe tongotongo kua anakojikabidhi hapako kama anavofikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kampenda pond,pond anatoa huduma,kijana inaonyesha hana pesa ya kutosha.wanawake wana tamaa hivyo anaona awe na pond ili maisha yawe nafuu.Kumwambia hapana .. wanaume nyie mna pride
Kwa nini usimpange huyu mchepuko mdogo ?
Usikute na yeye kafall in love kwako ndo maana hamuelewi huyo kijana [emoji23].
Mambo yako na michepuko yako yananiachaga hoi..
Kweli MkuuSio kampenda pond,pond anatoa huduma,kijana inaonyesha hata pesa ya kutosha.wanawake wana tamaa hivyo anaona awe na pond ili maisha yawe nafuu.
Sema kakijana kapole,angekuta kijana mkorofi kingeeleweka. Mapenzi hayana mbabe.