DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #101
Duh! Mbona unantisha Sasa[emoji44]Haki shetani atakua na nyomi motoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Mbona unantisha Sasa[emoji44]Haki shetani atakua na nyomi motoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sahii kabisaMabinti wa siku hizi wanajali sana mkate/ pesa kuliko future zao...so sad
Mtafute umweleze kwamba Rose hajakuwrka wazi kuhusu mahusiano yao na unahitaji ujue ukweli, kwa jinsi atakavyokueleza itakusaidia kufanya maamuzi ila usikae kimya huyo kijana ana wakati mgumu sanaSerious kabisa,
Sina mpango nae nmeegesha TU pale.
Sasa namsaidiaje kijana, nimfate Mimi nimwambie nmemuachia?
Aaah iyo hapana mbona, itakua dharau kubwa Sana iyo[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro wewe fanya yako kwani huyo hajielewi kama dadake tu
Kumtafuta Mimi, Kuongea nae Ni ngumu sana.Kama una namba ya huyo kijana fanya kumpigia then najua hukosi la kuongea nae ili kuweka mambo sawa.
Nadhani haujui mnyambuliko wa series zako mkuu na kwanini ulianza kumdunga huyu wakati ni ndg na mchepuko Mama JWanaukoo mmoja kwaupande wa mama ake mamaJ.
Naskia Ni mtoto dada ake na MKE wa mjomba wake.
Wana kiji-ukoo, ila kwa mbalimbali sana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Naweza muachia afu binti na akawa hajampenda, pale kwake nako kaegesha TU.Mtafute umweleze kwamba Rose hajakuwrka wazi kuhusu mahusiano yao na unahitaji ujue ukweli, kwa jinsi atakavyokueleza itakusaidia kufanya maamuzi ila usikae kimya huyo kijana ana wakati mgumu sana
Ni bora huyo kijana aumie kwa muda ili apate mtu sahihi.Mtafute umweleze kwamba Rose hajakuwrka wazi kuhusu mahusiano yao na unahitaji ujue ukweli, kwa jinsi atakavyokueleza itakusaidia kufanya maamuzi ila usikae kimya huyo kijana ana wakati mgumu sana
Ooh okayWanaukoo mmoja kwaupande wa mama ake mamaJ.
Naskia Ni mtoto dada ake na MKE wa mjomba wake.
Wana kiji-ukoo, ila kwa mbalimbali sana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan Kuna Uzi ulikupita,Nadhani haujui mnyambuliko wa series zako mkuu na kwanini ulianza kumdunga huyu wakati ni ndg na mchepuko Mama J
Mkuu mimi najua bali nilikuwa namsemea huyo binti aliyeulizaNadhan Kuna Uzi ulikupita,
Nilishawahi kuleta kiss chake humu mbona.
Ni kwmaba mamaj alianza kuonesha viashiria vya kutaka kuniacha kwa mbebwe, nami nikaona nijiandae kwa backup ya kisasi Cha Nguvu kitakachopatikana nafs yake.
Ndo nikaamua kutembea na mdg wake kusudi, ili MDA wwt akimwaga mboga namm nimwage ugali.
Bahat nzur ule mzozo uliisha nikajikuta siwez Tena kumuacha uyu, na tayar tushaanza kulana vya kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyu nmeanza kutembea nae akiishi nyumba moja na mamaJ. Anatoka pale anaenda chuoni kusoma.Ooh okay
Ila ana moyo aisee .
Daaah ndo kwa mdogo ake baba J 😀😀ko saizi mama J anajua kuwa umempangia chumba mdogo wakeUjue uyu nilikua nae TU bahat mbaya,
Ilkua Kama kumkomoa mamaJ maana tulikua na ugomvi flan hivi anajimwambafai Sana mamaJ
Ndo hivo tukajikuta kwny mahusiano ya kulana kiwiziwiz TU.
Binti mwnyw anajua anamuibia dada ake, ndo maana Yuko very careful
Sent using Jamii Forums mobile app
MmmmmhUyu nmeanza kutembea nae akiishi nyumba moja na mamaJ. Anatoka pale anaenda chuoni kusoma.
Ila nikimhitaji tunaenda lodge ya mbali Tunafanya, baadae ndo akaamua ahamie chuon kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiangalia kwa makini,Ni bora huyo kijana aumie kwa muda ili apate mtu sahihi.
Mimi ukinikana usitegemee nikurudie kamwe.
Okay[emoji4]Mkuu mimi najua bali nilikuwa namsemea huyo binti aliyeuliza
Na hayo ndio maamuzi ya kiume, imagine mwanamke umeshampeleka hadi kwenu lakini anaanacheat hadi mbele yako tena kwa dharau kubwa namna hiyoNi bora huyo kijana aumie kwa muda ili apate mtu sahihi.
Mimi ukinikana usitegemee nikurudie kamwe.
Yaaani baba j atakua muhaya labda 😀😀😀Kweli kabisa, Baba J anajua kuhudumia
Mtu anasahau kama yeye ni mchepuko kabisa .
sema kama ni kweli jamaa ana mihela mingi au ni smart ana gari kali kama range hivi.....tutafute hela kwakweli au basiJamani baba J huogopi mama J akija kujua 😀😀😀sema we ni mchepuko mzuri unaprivide vizuri tu mpaka raha😅