Michepuko hii, kuna muda unajikuta umemkosea mwanaume mwenzako bila kujua

Michepuko hii, kuna muda unajikuta umemkosea mwanaume mwenzako bila kujua

Kwa hiyo unakula mtu na dadake, pond kama pond mzee baba uko next level![emoji39]
Huu Uzi wa zaman Sana ulikupita?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu Uzi wa zaman Sana ulikupita?


Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda niliusoma sikuweka kumbukumbu.
 
Sio kampenda pond,pond anatoa huduma,kijana inaonyesha hana pesa ya kutosha.wanawake wana tamaa hivyo anaona awe na pond ili maisha yawe nafuu.
Sema kakijana kapole,angekuta kijana mkorofi kingeeleweka. Mapenzi hayana mbabe.
Ujue mkuu,
Uyu Binti ningekua serious nae Kama nilivoserious Sana kwa mamaJ MDA mwingi tuko pamoja.

Hata asingefika uko kwny commitment za ajabu mpk kufikishana kwa wazaz,kupima na kutambulishana.

Ni Mimi TU kukosa mwamko ule hasa wa kumbana hasa uyu binti, nmemuacha free Sana ujue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi , binti huyo ndo ana shida kwa upande mwingine na vile bado ni mdogo haelewi .
Sahii kabisa,
20yrs sio umri wa binti wa mjini tena wa chuoni kua na serious commitment na mwanafunz mwenzie Kwny mahusiano.

Yaan nachukulia bado Ni umri wake wa kuruka ruka tu Kama maharage mabichi kwny sufuria.

Ukizingatia ndo Kaingia jijini hana MDA sana akitokea mkoani, ulimbukeni nao bado upo upo mwingi TU kujiona keshafika mjini[emoji4]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahii kabisa,
20yrs sio umri wa binti wa mjini tena wa chuoni kua na serious commitment na mwanafunz mwenzie Kwny mahusiano.

Yaan nachukulia bado Ni umri wake wa kuruka ruka tu Kama maharage mabichi kwny sufuria.

Ukizingatia ndo Kaingia jijini hana MDA sana akitokea mkoani, ulimbukeni nao bado upo upo mwingi TU kujiona keshafika mjini[emoji4]


Sent using Jamii Forums mobile app


Huyu ni binti cousin wa mama J ,au tumbo moja ?

Ushamba ni mzigo aisee
Ila wengine huwa wanafunga ndoa wakiwa chuo ...kama jamaa yupo humble hivyo ,binti huyo hamfai .
 
Kijana mweupe ww Dem kakupendea kwakua unamwezesha lkn akimpata Alie single mwezie anaye jiweza anakukataa[emoji23][emoji23][emoji1373]
Mi ndo nikipaswa kumkataa maana nilimtaka bahat mbaya Kama dharura TU.

Nikagundua nikichotegemea sicho, nae chenga TU.

Hata Hapa niliponae namsitiri asije chukulia nilikua nae ili kumuonja tu nimuache,

ukizingatia bado Ni binamu yangu na Mchepuko Wangu ambae Ni dada ake, kwaiyo ukaribu wangu na yeye bado haukwepeki[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una namba ya huyo kijana fanya kumpigia then najua hukosi la kuongea nae ili kuweka mambo sawa.
 
Huyu ni binti cousin wa mama J ,au tumbo moja ?

Ushamba ni mzigo aisee
Ila wengine huwa wanafunga ndoa wakiwa chuo ...kama jamaa yupo humble hivyo ,binti huyo hamfai .
Wanaukoo mmoja kwaupande wa mama ake mamaJ.
Naskia Ni mtoto dada ake na MKE wa mjomba wake.

Wana kiji-ukoo, ila kwa mbalimbali sana[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom