DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #81
Huu Uzi wa zaman Sana ulikupita?Kwa hiyo unakula mtu na dadake, pond kama pond mzee baba uko next level![emoji39]
Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?
Nakumbuka mwaka Jana February niliwai leta kisa humu Cha kumchapa makofi mchepuko wangu. https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/38182399 Ebana eeh, Yule mchepuko mwezi machi katikati tulikuja rudiana bhana, Mazingira ya kurudiana ilkua baada ya mwezi hivi wa ukimya baina yetu Udhaifu wangu...
Sent using Jamii Forums mobile app