Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,214
Ooh thank youKama nakuelewa vile[emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh thank youKama nakuelewa vile[emoji28][emoji28][emoji28]
Muda kweli wakati nipo mtoto ndo nilikuwa mcha Mungu kweli .Wewe umewahi kuwa mcha Mungu mzuri ebu njoo nikwambie[emoji28]
Unapaswa urudi sasa bhanaMuda kweli wakati nipo mtoto ndo nilikuwa mcha Mungu kweli .
Najitahidi hivyo hivyo ..Unapaswa urudi sasa bhana
Huu ndio wkati uliokubalika mremboNajitahidi hivyo hivyo ..
Ipo siku nitarudi kuwa vile
Kweli kabisa upo sahihiNjoo unieleze ulipitia changamotio gani ujarudi nyuma?
Mke mcha Mungu ni hazina sana
AmenHuu ndio wkati uliokubalika mrembo
Hilo lipo kabisa, sipingiAisee watu wana nyota.
Hii nimeisikia sana kwa watu ukiwa naye mambo yanaenda sawa .
Umecheka Tinsley. ?Hahahaha [emoji23]
Pm hapana rafiki ..Ni pm dada mcha Mungu
Tuongelee ya Mungu wetu jmn
Hahaha umejikinga mwenyewe .
Waulize wenye namba yangu ya Simu ya tigo humu, Yuko profile kabisa ukiingia wasap yangu[emoji4]Mama mjengo kumbe kisu balaa
Acha zako Wewe,Yaa
Yaaani ni danga zuri[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya binti SayuniPm hapana rafiki ..
I'm sorry .
Aisee itakuwa ni mzuri huyo .Waulize wenye namba yangu ya Simu ya tigo humu, Yuko profile kabisa ukiingia wasap yangu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya binti Sayuni
Ha ha ha ...mahela yatoke wapi mkuu,Yaaan DeepPond anaonekana ni mbaba mmoja hivi simple ana mahela [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama haendeshi harrier sijui
Ajiongezeje sasa[emoji4]Hii mechi itatoka sare ni swala la muda tu kijana inabidi ajiongeze
Kinga Ni Bora kuliko tiba,Hahaha umejikinga mwenyewe .
Kwa vistory hivi kuna watu wamejijengea picha kuubwa[emoji1787][emoji1787]Ha ha ha ...mahela yatoke wapi mkuu,
ela ya kula na kunywa tu IPO ili watu wasife
Ila sio Ela ambayo Unaweza kaa kwa watu ukasema unahela watu wakakuelewa.
Kikubwa Ni ule moyo wa kujitoa TU, mtu anaweza kukutafsiti unahela Sana kumbe sio.
Sent using Jamii Forums mobile app