Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ninachokiiona nikwamba, huyo binti anakuhitaji sana wewe kuliko wewe unavyomuhitaji, pia ile hali yakumuhudumia kama mke wako nayo nichangamoto.Tatizo Naweza muachia afu binti na akawa hajampenda, pale kwake nako kaegesha TU...
Msamehe bhana na maisha yaendelee, usiweke vinyongo mkuu[emoji4]Ndio hivyo tena baada ya muda waliachana na bint alitaka tuludiane ila mwamba nikakaza japo mpaka leo ananitafutaga ananambia anajutia makosa yake ila sioni sababu ya kumpa nafasi tena kwangu. Nilitaka ajutie makosa yake
Ha ha ha.....sidhan mkuu, labda wake wachukue TU idea free of charge[emoji4]Bongo movie! Uza scripts hizi mzee!
Umenena vema kabisa mkuu, binti bado wamoto Sana uyu kufanya nae commitment ukzngatia kijana mwenzie nae Ni mwanafunz bado.Hapo ninachokiiona nikwamba, huyo binti anakuhitaji sana wewe kuliko wewe unavyomuhitaji, pia ile hali yakumuhudumia kama mke wako nayo nichangamoto.., mbaya zaidi huyo kijana wa kiume aliyeenda kumtambulisha ndipo alipofeli mapenzi ya chuo yanahitaji uwe smart sana kwa vijana wanasoma..., madem wengi wa chuo ni malaya aka wadangaji tuu
Ni 2% pekee ya mahusiano ya chuo kufikia kuwa ndoaUmenena vema kabisa mkuu,
binti bado wamoto Sana uyu kufanya nae commitment ukzngatia kijana mwenzie nae Ni mwanafunz bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀unajitoa kwa watu wote au kwa wale unaowadinyuaHa ha ha ...mahela yatoke wapi mkuu,
ela ya kula na kunywa tu IPO ili watu wasife
Ila sio Ela ambayo Unaweza kaa kwa watu ukasema unahela watu wakakuelewa.
Kikubwa Ni ule moyo wa kujitoa TU, mtu anaweza kukutafsiti unahela Sana kumbe sio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zaid Zaid ni Kwa ambao nna maslahi nao[emoji4][emoji3][emoji3][emoji3]unajitoa kwa watu wote au kwa wale unaowadinyua
Permanent kwa mamaJ,sasa we unajiposition kama nani kwa mama J na mdogo wake mama J [emoji3]
Hongera
Me naona uendelee, na huyo jamaa anaendelea kwa wakati wake. Atakaebanwa na kiatu atakivuaNtajaribu kuifupisha Sana hii kadiri ya uwezo wangu[emoji116]
NI HIVI,
Bila shaka mnamkumbuka yule Mchepuko Wangu anaesoma chuo kikuu ambae ni mdg wake na mamaJ...
Ndio asubuli tu wa level yake ... Haiwezekan mahusiano ya week ety ampende kias hko hadi kulia.....inashangaza sanaHa ha ha ...hakika dada angu,
kijana apambane TU na Hali yake, akifanikiwa kumtuliza binti Mimi POA tu nitakaa pembeni nimuachie
Alishindwa asubirie TU wa levo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah we jamaa kama vile unanizungumzia Mimi, mtoto wa kirangi alinipeleka kama gari bovu nikaambulia div iii form 6, huku mzee wa madini (mererani) anamrudisha huyo manzi na gari anampa laki wakati huo hata elfu 10 nashindwa kumpa.Hiyo issue broo iliwahi kunikuta nikiwa form six mpaka bint alijulikana home na me pia walinijua kwao ila kilichofuata ni kama jamaa angu hapo majonzi kama yote.
Kwakumalizia niliponea chupuchupu kufeli
[emoji16][emoji16] aiseeYah! Picha inaweza kua kubwa kuliko uhalisia
Kuna jamaa humu aliwai nifata pm akinitusi sana et kaona mtu wake kazidisha mazoea Sana na mm kwenye nyuzi zangu, eti nipunguze kujidai Sana.
Nikamuuliza wapi nmejinadi, eti mtu wake keshaona mm nna Ela Sana. Nisije haribu mawmhusiano nae.
Nmemuuliza Ni Nani kamtaja, nikaja mfata pm mwanamke nikagundua ni mke wake kabisa wa ndoa na wote wako humu humu jf.
Aisee,
Nilisikitika Sana, mwanamke pia alimshangaa jamaa yake wivu ule. Ila akaniomba radhi nimvumilie ndivyo alivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nmejivuna kwny Uzi huu mkuu[emoji848]Nimekuwa nikisoma unavyoviandika kuhusu wewe mwenyewe, pengine nikuambie jambo kuhusu hili. Kama unahisi unaweza kumpata huyu mshikaji, mtafute kaa naye kiume muelekeze kuhusu kilichotokea na namna huyo dem asivyokuwa na adabu in a very friendly way.
Ikibidi, mfanye awe rafiki yako na jaribu kumuwezesha kiuchumi(mfanyie mpango kwa wanao apate kazi aweze kujimudu kiuchumi). Ninaamini una kitu ambacho kinaweza kumuokoa huyu jamaa. Punguza majivuno ya kipumbavu ambayo umekuwa ukijivuna nayo.