Michepuko mnazingua!!!

Michepuko mnazingua!!!

Aiseee

Ndio maana na humu ukaingia kimya kwa ubizi wa huyo sijui hao..

Haya weeee
 
Aiseee

Ndio maana na humu ukaingia kimya kwa ubizi wa huyo sijui hao..

Haya weeee
 
Hi aunt ake keagan teh

Ha ha haaaaaa hujatulia..
Nasubiria mualiko humu nami nikamuone jamani baby Keagan..

Ila unajua tena hawa viongozi hawatutambui sie mashabiki wa JF.. hawaoni mengi tunayofanya humu.. eeeeh nitaonea minuso kwenye mitandao tu kama kawa
 
Kuna mmoja,mke ya ustaadh,natafakari kumpiga duduz,maana jamaa ni wa moro,nisije nasa ikawa gumzo,ila dem kakolea kinoma anataka nimpe mimba maana jamaa wana 3 years dem hajaanza kula malimao mpaka leo
 
Evelyn Salt nukuu hii imeni-impress sana ''We piga miti inatosha, awe anajua hajui niachie mie hayo''.
Ni moja ya terms of reference (ToR) matata sana katika anga hizi!
 
Kuna mmoja,mke ya ustaadh,natafakari kumpiga duduz,maana jamaa ni wa moro,nisije nasa ikawa gumzo,ila dem kakolea kinoma anataka nimpe mimba maana jamaa wana 3 years dem hajaanza kula malimao mpaka leo
Unajuaje kama ustadhi ndo tatizo labda huyo bibie ndo shida, au sperm zako zina uwezo wa kulitafuta yai kokote liliko!!!
Piga miti tu usimpe mimba
 
Back
Top Bottom