Midahalo ya wagombea urais kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Membe mtoe hapo maana atamwunga mkono TAL! UNG'ENG'E haiwezekani sisi wengine siyo lugha yetu!

Baba wa Taifa Mwl. Nyerere(RIP) aliwahi kusema, "KIINGEREZA NDIYO KISWAHILI CHA DUNIA LAZIMA TUJIFUNZE"
Huwezi kuwasiliana na Dunia usipojua UNG'ENG'E la sivyo utapata Taabu sana kama Rais Magufuli anavopata taabu sahivi. Haiwezekani Rais ukae Ikulu miaka yote 5 hujawahi kanyaga hata nji 1 ya kigeni...!!Huu Ni udhaifu mkubwa sana kwa Kiongozi yeyote wa Kitaifa duniani...!!!Tusirudie makosa.
 
Salaam.
Ombi limepokelewa.

1. Video za Mdahalo zipo, na video za matangazo yoyote yanayorushwa na TV zote, miaka yote, zipo. Kila kinachotangazwa na TV kinahifadhiwa katika Mifumo miwili ya on air na off air. Anayerekodi on air ni TCRA na makampuni ya monitoring kama Steadman, na wanaorekodi off Air ni TV zilizotusha.
2. Changamoto ya 1 kwa on air recordings ni to find out nani alirekodi besides TCRA?.
3. Changamoto ya pili ni ya kitekinolojia. Ile 1995 Tanzania tulikuwa bado kwenye mfumo wa analogue hivyo kipindi kilirekodiwa kwenye tapes za analogue na whoever mwenye kipindi kimehifadhiwa kwe analogue, kwanza kukipata tuu na kukiona ni issue.
4. Changamoto ya tatu ni jee bado zipo au walifuta. Kama zipo, we can do something, kama hazipo, there is nothing we can do.
5. Ikitokea nikakipata kitakuwa kwenye format ya beta cam SP, kukitransfer into digital format ili kiwe uploaded ni muziki mwingine.
6. Kwa vile nothing is impossible under the sun, let me take up this challenge halafu nita toa progress report from time to time.

Thanks again for thinking of me that I can do this.
P
 
Shukran tena Pascal.

Kama tapes zipo, basi kuzihamishia kwenye mfumo wa kidijitali si shida. Inawezekana.

Naamini unaukumbuka ule mkutano wa Mwalimu Nyerere na Press Club uliofanyika mwaka huo huo wa ‘95.

Kama sijakosea, huo mkutano ulifanyika Kilimanjaro hotel.

Ukiingia YouTube video za huo mkutano zipo. Kuanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho.

Kama video za huo mkutano wa Nyerere zipo huko YouTube, basi naamini kabisa hata za mdahalo zikipatikana, zinaweza kabisa kuwa formatted kidijitali.

 
Subutuuuu. Sisi tunatoa orders. Tena mje mtubane na maswali zenyu !!
 
Asante Paskali. Ukiweza kuupata basi utakuwa umetupa zawadi nzuri sana.
 
Ule mdahalo ulimwangusha kwa kiasi kikubwa Mrema. Hakuweza kujenga hoja zozote. BTW midahalo kama huo kila uchaguzi unapofika CCM ndiyo wanakataa kushiriki. Nakumbuka wakati Kikwete anagombea mara zote yalikuwepo mapendekezo ya mdahalo lakini CCM wakakataa. Labda ni wakati wa kuingiza hili jambo kwenye sheria ili kila anayegombea urais asikwepe mdahalo, japo najua litapata upinzani mkubwa kutoka CCM. Mdahalo ni moja ya njia nzuri sana ya kumpima mgombea. Sitaki kufikiria kama kungekuwa na sheria ya kulazimisha mdahalo ufanyike jinsi ambavyo ungekuwa na mvuto wa kipekee kipindi hiki. Na kama ungefanyika kwa kiingereza naweza kuona mtu mmoja ambaye angeshangaza watu sana. Labda kama mdahalo ungekuwa wa kuulizwa swali moja tu la ''what is catalyst?''.
 
CCM hawawezi kukubali presidential debate...Magu atakuwa amejimaliza siku hiyo...maswli kama ya mzee Tido anaweza kutukana kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu Mdahalo wa mwaka 2015, Chief Lutayosa Yemba aliuweza vyema. Sijui sasa yupo wapi na sijui kama anaendelea na harakati za kisiasa.
 
Huu Mdahalo wa mwaka 2015, Chief Lutayosa Yemba aliuweza vyema. Sijui sasa yupo wapi na sijui kama anaendelea na harakati za kisiasa.
Itapendeza pia hata kama mgombea wa CCM hatoshiriki mdahalo [endapo utakuwepo], wagombea wengine wote washiriki na kumzodoa huyo mgombea wa CCM kwa kuogopa kushiriki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…