Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
-
- #41
Sijakataa kuhusu mafuta kupanda beiMafuta yamepanda bei
Akiba ya dollar hakuna
Ajira hakuna
Huu uchumi umekua vipi
Sina sababu ya kufanya hivo... Sihitaji favor yoyote naridhika nilipo ndo maana unaona sijaweka namba ya simu, sijaweka jina langu na bado na enjoy kama hivi.Umesahau kuweka namba ya simu mkuu
Hahahahaaa... ndo jamii forum yetu mkuu... haters tumewazoea na tunaishi nao tu hakuna namna.
ThibitishaMleta mada ni taahira
ThibitishaMjinga.
Ni kweli mkuu, hili naona ni tatizo kubwa sana... watu wanaongozwa na migemko zaidi kuliko uhalisia wa mambo ulivo kwenye groundHongera kwa upembuzi yakinifu kwa takwimu. Tatizo ni kuwa chuki imetamalaki juu ya Dk Samia hutaona watu wakikosoa takwimu linganishi ulizotoa. Utaambulia kejeli kama tulivyoanza kuona kutokana na chuki kwa kiongozi aliyeko madarakani..purely pathetic!
Eeeka mekuu... tuko pamoja mkuu wangu... karibu MbengeeChamecha Naanto Mushi . Kwenye issue za kuchambua uchumi kwa takwimu najua hauna mpinzani. Asante kwa ufafamuzi murua
Umepost utumbo .Ukiona wewe sio mtu wa kusumbuka kusoma ujue hili jukwaa halikuhusu nenda MMU
Kwa negative mindset ya namna hii, halafu unajiita mnyonga tai, wewe lazima usugue benchi sana tu... Hata marekani ajira bado ni za kutafuta, usitegemee ajira ikufuate hata kama uchumi unakuwa... Fight harder...Uchumi wa Burkina Faso au uchumi huu unaoruhusu sisi tulio mtaani na sio nyie wanyonga tai
Nakuunga mkono endelea kupiga spanaWewe ni mjinga sana na hujui unachoongea,nakupa mfano maeneo 2 tuu ,
1.Maelfu ya miradi ya maji Nchi nzima alikuwa anamalizia wapi...
Hama nchi kama kweli una hasiraMleta mada ni taahira
Ukiona uzi mrefu ujue wewe sio target market. Kwani usibaki MMU tu mkuu ili huku tubaki great thinkers? Mbona ni suala rahisi sana kufanyaUzi wako ni mrefu kama mkojo wa asubuhi.
SWALI: Unadhani ni kwa nini yule muhalifu mmoja aliyesulubiwa pamoja na Yesu pale Golgota,alipoomba akumbukwe kwenye ufalme,tena siku ya mwisho baada ya kufanya uhalifu mwingi,aliahidiwa kuuona huo ufalme wa mbinguni?Tuliza akili na uelewe swali.
Amen mkuu, nashukuru kunikumbusha hilo sijui kwanini nimesahau hilo la FDI.. ngoja nilitafutie takwimu zake nitaliweka pia... ThanksUmesahau sekta ya muhimu sana ya Uwekezaji wa mitaji yaani FDI na Sekta ya Kilimo.
Mathalani mikopo Mingi iloyotolewa na mabenki ya biashara imekwenda kwenye sekta ya Kilimo.
Usiwe "short-sighted" kimawazo.Kuandika kwamba uzi ni mrefu hakukunizuia kuusoma wote.Ukiona uzi mrefu ujue wewe sio target market. Kwani usibaki MMU tu mkuu ili huku tubaki great thinkers? Mbona ni suala rahisi sana kufanya
Mi naona ungesema yote uliyonayo... naona unaongea kwa mafumbo na kuficha ficha maneno.. kwani unauza bangi?Rudia kusoma, usikurupuke!!!
Nimesema pesa/Fedha ni Mtu, Mtu huyo ameficha dollar!!!
Uliza tena nikujibu Fedha ni Mtu kivipi!!!
Ni maoni yangu mkuu, kama wewe unasema issue ya bandari kwako hajakwama pia ni maoni yakoKwanza nani kasema amekwama kwenye bandari? Kama mahakama imeidhinisha mradi unasemaje amekwama?