Miezi 30 ya Rais Samia madarakani: Pamoja na kujikwaa kwenye Bandari, bado ni Rais mwenye record bora ya kukuza uchumi wa Tanzania kwa kipindi kifupi

Mafuta yamepanda bei
Akiba ya dollar hakuna
Ajira hakuna

Huu uchumi umekua vipi
Sijakataa kuhusu mafuta kupanda bei

Ndio akiba ya dola inapungua, na nimegusia sababu na mwarobaini.

Unasema ajira hakuna, jiulize je unaajirika? Una vigezoo? Sawa hakuna za kutosha ila huwezi fananisha na kipindi kile cha uchumi kilema...
 
Umesahau kuweka namba ya simu mkuu
Sina sababu ya kufanya hivo... Sihitaji favor yoyote naridhika nilipo ndo maana unaona sijaweka namba ya simu, sijaweka jina langu na bado na enjoy kama hivi.

Unajua mind za watu zipo corrupted kudhani kwamba binadamu wote tumekaa kimaslahi.

Haipo hivo ndugu, kuna watu furaha yetu ni kuhubiri ukweli.
 
Ni kweli mkuu, hili naona ni tatizo kubwa sana... watu wanaongozwa na migemko zaidi kuliko uhalisia wa mambo ulivo kwenye ground
 
Uchumi wa Burkina Faso au uchumi huu unaoruhusu sisi tulio mtaani na sio nyie wanyonga tai
Kwa negative mindset ya namna hii, halafu unajiita mnyonga tai, wewe lazima usugue benchi sana tu... Hata marekani ajira bado ni za kutafuta, usitegemee ajira ikufuate hata kama uchumi unakuwa... Fight harder...

Kama akili yako tayari ipo negative usitegemee chochote positive.
 
Hilo la Bandari naamini amepokea maoni yanashughulikiwa,ila aachane na Machawa.Mama akimaliza uchaguzi ujao Kuna mawaziri walio hodhi nchi kama Yao watalia.Naona anahofia uchaguzi,awamu inayokuja Hana Cha kupoteza.Kp na timu yake plus madelu wakae mguu sawa.
 
Ukiona uzi mrefu ujue wewe sio target market. Kwani usibaki MMU tu mkuu ili huku tubaki great thinkers? Mbona ni suala rahisi sana kufanya
 
Umesahau sekta ya muhimu sana ya Uwekezaji wa mitaji yaani FDI na Sekta ya Kilimo.

Mathalani mikopo Mingi iloyotolewa na mabenki ya biashara imekwenda kwenye sekta ya Kilimo.
Amen mkuu, nashukuru kunikumbusha hilo sijui kwanini nimesahau hilo la FDI.. ngoja nilitafutie takwimu zake nitaliweka pia... Thanks
 
Ukiona uzi mrefu ujue wewe sio target market. Kwani usibaki MMU tu mkuu ili huku tubaki great thinkers? Mbona ni suala rahisi sana kufanya
Usiwe "short-sighted" kimawazo.Kuandika kwamba uzi ni mrefu hakukunizuia kuusoma wote.
KWA HIYO:Usijivunie unayoyaona kwamba mengi ni mema wakati huohuo hukumbuki moja lililo baya linaharibu yote.
PIA:Yule mwizi aliwatesa Wayahudi kwa miaka mingi kwa dhambi chungu-tele.Lakini,muda mfupi alioangikwa msalabani pembeni mwa Yesu kulitosha kutubu na kuiona mbingu.
ELEWA JIBU.
 
Rudia kusoma, usikurupuke!!!

Nimesema pesa/Fedha ni Mtu, Mtu huyo ameficha dollar!!!

Uliza tena nikujibu Fedha ni Mtu kivipi!!!
Mi naona ungesema yote uliyonayo... naona unaongea kwa mafumbo na kuficha ficha maneno.. kwani unauza bangi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…