mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,581
- 462
- Thread starter
-
- #21
Sante mkuu, na sindano sijawahi kutumia nahisi hivi na mimi.Sindano hapo
Nenda hospital na uelezee tatizo lako kwa wataalamu wakati wa kukupangia dawa shauriana nao wakuandikie sindano na sio dawa za kupaka polee sana mkuu inatokeaga
Sante mkuu, je unaweza paka limao pasipo ndimu au ni mpaka vyote kwa pamojaUnapaka utomvu na maji yake sehemu yenye tatizo.
Siku sita tu inatosha na ili kuepuka kurudi kila mwezi unai-update tenga siku sita unarudia kupaka fungus unazisahau mwisho zingatia usafi hasa wa nguo za ndani maana nazo huwa zinalea tatizo
Nilimaanisha kimoja wapo mkuu either limao au ndimu but as for me limao is the best.Sante mkuu , je unaweza paka limao pasipo ndimu au ni mpaka vyote Kwa pamoja
Kende Erossion π€£π€£π€£ usiombe hio utapiga gitaa 24/7Ndugu zangu habari za Wakati , polen na majukumu ya kujenga Nchi n.k.
Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja ,Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu ,Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm ni Kawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.
Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi .
Nimepaka sana dawa za tube na kuneza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona , napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.
Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.
Nawasilisha.
Umetumia tube ganNdugu zangu habari za Wakati , polen na majukumu ya kujenga Nchi n.k.
Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja ,Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu ,Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm ni Kawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.
Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi .
Nimepaka sana dawa za tube na kuneza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona , napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.
Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.
Nawasilisha.
Kuanzia sonaderm yaani nyingi tuUmetumia tube gan
Duh, Siku nikipona, nikipata mwanamke nitakuwa namuanzishia doz kwanza ya UTI na fangas maana naishi bila amanSiku hizi ukila demu bila kupata fangasi shukuru.
Zimetapakaa Kila kona plus UTI ni kazeze
Nilimaanisha kimoja wapo mkuu either limao au ndimu but as for me limao is the beskak
Nilimaanisha kimoja wapo mkuu either limao au ndimu but as for me limao is the best.
Santee Sana apa hii yenyewe naanza soonNilimaanisha kimoja wapo mkuu either limao au ndimu but as for me limao is the best.
Fangasi zinataka usafi wa Hali ya juu ukiwa mchafu haziondoki
Kama unaoga mara moja Anza kuoga mara mbili, badili boxer Kila wakati
Kama utazifua na sabuni zipige pasi hasa kama ni cotton.
Ogea maedicated soap kama family au rungu. Au detol
Usifanye ngono hadi upone na usije loweka tena
π€π€π€Kende Erossion π€£π€£π€£ usiombe hio utapiga gitaa 24/7
Pmbu erosion atakwangua mpk kibaki kipisi cha sigaraKende Erossion π€£π€£π€£ usiombe hio utapiga gitaa 24/7
Huu ushauri utakuja kunishukuru mkuuπ€Atumie Fluconazole na cream sambamba mpk ugonjwa uishe na asikatize dozi
Santee Kwa ushauri kakaAtumie Fluconazole na cream sambamba mpk ugonjwa uishe na asikatize dozi
ππππππππHuu ushauri utakuja kunishukuru mkuuπ€
Wew kijana acha ujuaji hao fangas kwa demu hawan madhara ni protector na ushaanza kumix na UTI kwenye Fungiπ ,bilogically kuna STI/D na UTI, STI utakutana na gono(kaswende), kisonono, pangusa, Hiv etcDuh, Siku nikipona , nikipata mwanamke nitakuwa namuanzishia doz kwanza ya UTI na fangas maana naishi bila aman
Yani usiweke dawa kwenye pumbu kama unavyoweka kwenye mswaki. Unatoa maambukiz kwenda kwenye mdomo wa chupa ya dawa. Hivyo mwambie hata mtu kama mkeo akuminyie mkononi ndio upake. .Duh, sante sana, apo sijaelewa nipake pembeni aje mkuu