Miezi sita sasa natumia dawa za fangas ila siponi

Miezi sita sasa natumia dawa za fangas ila siponi

dm5dcJlzY2_1024x1024.jpg
sio dawa rasmi lakini kwa ushuhuda wangu watu zaidi ya kumi walio paka hivi walipona kabisa fangasi za aina zote na za kila mahali.
Wakati utakapokua unapaka utapata maumivu makali sana ya muda mfupi ,kama sio mvumilivu unaweza kupiga ukunga.
Sijui madhara yake mengine kama yapo ,ila mimi katika shuguli zangu zaidi ya miaka kumi najihusisha nayo haijawahi kuniletaa madhara yoyote.

Unaweza kuzipata maduka ya hardware,au yanayo uza rangi.
Kwa kua unahitaji kiasi kidogo sana unaweza kutafuta kiasi kidogo kwa watu au maduka yanayouza vitu kwa kupima.
 
Unajua hapo zamani kipimo cha sukari ilikuwa unaweka mkojo kwenye kibebeo kidogo kisha unaweka sehemu ukiona sisimizi wanalamba ule mkojo basi ujue huyu mtu ana kisukari. .

Evidence ya kwanza:
Kuna siku nilimpiga demu katerero sasa yale maji kumbe yalipenya chini ya godoro yakawa uvunguni mwa kitanda. Asubuhi nikaona msafara wa sisimizi nikastaajabu kwa sababu sina desturi ya kulia chumbani. Briefly nilifanya uchunguzo nikajua wanaenda kulamba maji ya K na wako foleni 😊 tena mistari miwili mmoja wa kwenda mwingine wa kurudi


Evidence ya pili:
Nilipataga binti wa kitanga. Yule dada alikuwa na kisimi kama zile simu za anten za phillips au Siemens ( za kitambo kidogo).....

Acha niishie hapo itaendelea 😃
Dsaah! Asante kwa comment yako hoi! Nimecheka asubuhi yote hii kama mtoto.
 
Ndugu zangu habari za Wakati, poleni na majukumu ya kujenga Nchi n.k.

Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja, Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu, Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm nikawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.

Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi.

Nimepaka sana dawa za tube na kumeza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona, napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.

Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.

Nawasilisha.
Pole sana ndugu, fanya hivi kila baada ya kuoga paka mafuta ya nazi baada ya kujikausha vizuri then leta ushuhuda hapa
 
Unazingatia usafi lakina na je umeacha kufanya ngono na huyo mwenzio kipindi chote hicho au bado unaibia kupiga show pia mwenzako huyo amepata matibabu?
Sikujua kama ni fangas nilihisi ni swala la kawaida duh, maana naambiwa wengine wanapona haraka ila Mimi Sasa.
 
View attachment 2537736sio dawa rasmi lakini kwa ushuhuda wangu watu zaidi ya kumi walio paka hivi walipona kabisa fangasi za aina zote na za kila mahali.
Wakati utakapokua unapaka utapata maumivu makali sana ya muda mfupi ,kama sio mvumilivu unaweza kupiga ukunga.
Sijui madhara yake mengine kama yapo ,ila mimi katika shuguli zangu zaidi ya miaka kumi najihusisha nayo haijawahi kuniletaa madhara yoyote.

Unaweza kuzipata maduka ya hardware,au yanayo uza rangi.
Kwa kua unahitaji kiasi kidogo sana unaweza kutafuta kiasi kidogo kwa watu au maduka yanayouza vitu kwa kupima.
Kabla hajapaka hii kwenye pumbu ahakikishe walau ana mtoto hata wa kusingiziwa.

N katika kuchukua tahadhari tu kutokana na hizo chemical signs hapo kwenye container
 
Ndugu zangu habari za Wakati, poleni na majukumu ya kujenga Nchi n.k.

Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja, Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu, Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm nikawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.

Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi.

Nimepaka sana dawa za tube na kumeza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona, napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.

Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.

Nawasilisha.
Duuh CHAPUTa tunasalimika sana au vipi dronedrake watu wanahomga na bado wanajitibu na ma UTI 😂😂😂😂
 
Hadi leo hutumii condoms, kila siku tunapiga kelele hamsikii, uume utakatika na utakuwa tasa, kuna ugonjwa sugu wa kaswende ukikushika, utajutia, condoms ziko kibao ww unapekua.
 
Fangasi zinataka usafi wa Hali ya juu ukiwa mchafu haziondoki

Kama unaoga mara moja Anza kuoga mara mbili, badili boxer Kila wakati

Kama utazifua na sabuni zipige pasi hasa kama ni cotton.

Ogea maedicated soap kama family au rungu. Au detol

Usifanye ngono hadi upone na usije loweka tena
Hivi Family na Rungunni medicated Soap au zimeandikwa' medicated Soap!?
 
Kuna dawa moja inauzwa 3000 ya chupa nzito kama maziwa inaitwa BBE ukimaliza kuoga jiksushe vzur ninginza izo pumbu paka iyo dawa mpaka kwenye dudu unaweza ukaita jiran kuja kukupepea uo umoto utakao uskia lakn ndan ya wiki moja mpka mbil nakuakikishia fangas ztakua zmeisha jarbu iyo dawa n nzur sana mm mana muwasho ulkua unataman kuikunja kunja dudu na mbupu pamoja lkn nlpona
 

Attachments

  • EpLb7TLXIAAAdRo.jpg
    EpLb7TLXIAAAdRo.jpg
    37 KB · Views: 17
Ndugu zangu habari za Wakati, poleni na majukumu ya kujenga Nchi n.k.

Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.

Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja, Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu, Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm nikawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.

Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi.

Nimepaka sana dawa za tube na kumeza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona, napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.

Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.

Nawasilisha.
Pole mkuu.. Tafuta dawa hii inaitwa KIBIRITI UPELE.. 😀
Zingatia usafi, wa mwili, nguo hasa boxer na mashuka.. Jioni ukimaliza hekaheka zako chukua io dawa jipake vizuri alafu jiache wazi,, 😀
Hii dawa unapata kwa wale wanaotembeza au kuuza dawa ya sumu mende sijui viroboto, ukiulizia hao utaipata..
Soma maelekezo vizuri alafu tumia, inakua ni ya unga ila inachanganywa na mafuta ya mgando.. 👌
Nakutakia maendeleo mema.
 
Back
Top Bottom