Miezi sita sasa natumia dawa za fangas ila siponi

Miezi sita sasa natumia dawa za fangas ila siponi

Sindano hapo

Nenda hospital na uelezee tatizo lako kwa wataalamu wakati wa kukupangia dawa shauriana nao wakuandikie sindano na sio dawa za kupaka polee sana mkuu inatokeaga
👏👏👏👏
 
Ndugu zangu habari za Wakati , polen na majukumu ya kujenga Nchi n.k.

Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja ,Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu ,Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm ni Kawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.

Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi .
Nimepaka sana dawa za tube na kuneza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona , napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.
Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.

Nawasilisha.
Duh, hiyo fungal infection ipo kwa damu. Unatibu nje. Halafu mnasemaga mmenda hospital kumbe mmenda duka la dawa. Papaa wahi hospitali za uhakika, pasije puputika huko.
Kama una mpenzi ambaye unashiriki nae mara kwa mara acha, pateni tiba kwanza. Kiwanda kisije kupotea kumbuka hii nchi ya viwanda.
 
Ndugu zangu habari za Wakati , polen na majukumu ya kujenga Nchi n.k.

Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja ,Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu ,Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm ni Kawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.

Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi .
Nimepaka sana dawa za tube na kuneza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona , napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.
Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.

Nawasilisha.
Ww ulikua na muwasho ulivo jinga unakaa tu kuendelea kutembea Hilo gono kwa wadada wengine wajinga.
Choma hyo miboksa yako yote nunua mpya na suruali unazovaa na boksa make sure unaanika juani zinakauka vzuri kabisa. Na sawa endelea kutumia usifanye mapenzi hadi upone kabisa. Na ukipona badilisha dem mana ulonao wote wana hilo dubwasha.
 
 
Leo inabidi uiambie jamii hii ya jf ulijuaje maji ya K ya SUKARI??
Unajua hapo zamani kipimo cha sukari ilikuwa unaweka mkojo kwenye kibebeo kidogo kisha unaweka sehemu ukiona sisimizi wanalamba ule mkojo basi ujue huyu mtu ana kisukari. .

Evidence ya kwanza:
Kuna siku nilimpiga demu katerero sasa yale maji kumbe yalipenya chini ya godoro yakawa uvunguni mwa kitanda. Asubuhi nikaona msafara wa sisimizi nikastaajabu kwa sababu sina desturi ya kulia chumbani. Briefly nilifanya uchunguzo nikajua wanaenda kulamba maji ya K na wako foleni 😊 tena mistari miwili mmoja wa kwenda mwingine wa kurudi


Evidence ya pili:
Nilipataga binti wa kitanga. Yule dada alikuwa na kisimi kama zile simu za anten za phillips au Siemens ( za kitambo kidogo).....

Acha niishie hapo itaendelea 😃
 
Unajua hapo zamani kipimo cha sukari ilikuwa unaweka mkojo kwenye kibebeo kidogo kisha unaweka sehemu ukiona sisimizi wanalamba ule mkojo basi ujue huyu mtu ana kisukari. .

Evidence ya kwanza:
Kuna siku nilimpiga demu katerero sasa yale maji kumbe yalipenya chini ya godoro yakawa uvunguni mwa kitanda. Asubuhi nikaona msafara wa sisimizi nikastaajabu kwa sababu sina desturi ya kulia chumbani. Briefly nilifanya uchunguzo nikajua wanaenda kulamba maji ya K na wako foleni 😊 tena mistari miwili mmoja wa kwenda mwingine wa kurudi


Evidence ya pili:
Nilipataga binti wa kitanga. Yule dada alikuwa na kisimi kama zile simu za anten za phillips au Siemens ( za kitambo kidogo).....

Acha niishie hapo itaendelea 😃


Una uhakika kwamba maji ya aina zote anazofyonza sisimizi ni lazima yawe na sukari??
 
😃na hilo ndilo unalotaka niseme


Mimi sikulazimishi useme hivyo isipokuwa ninakuondoa khofu kama ulionja na ukagundua utamu wa hayo maji basi sema tu kwani hakutakuwa na lawama wala mashitaka dhidi yako kwani kionjeo cha ladha mbalimbali ni ndimi zetu alizotujalia Mungu, mbona wapo watu huko "mahali" wanapaita chumvini we unadhani walijuaje huko kwamba ni chumvini??
 
Mimi sikulazimishi useme hivyo isipokuwa ninakuondoa khofu kama ulionja na ukagundua utamu wa hayo maji basi sema tu kwani hakutakuwa na lawama wala mashitaka dhidi yako kwani kionjeo cha ladha mbalimbali ni ndimi zetu alizotujalia Mungu, mbona wapo watu huko "mahali" wanapaita chumvini we unadhani walijuaje huko kwamba ni chumvini??
Weee ulishaonj Sheikh Mokaze 😊 tukutane kule kweny nyuzi za dini huku hakukufai
 
Nitafute nikupe dawa yangu utakuja kuleta mrejesho hapa
 
Back
Top Bottom