mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,581
- 462
- Thread starter
-
- #41
ππππSindano hapo
Nenda hospital na uelezee tatizo lako kwa wataalamu wakati wa kukupangia dawa shauriana nao wakuandikie sindano na sio dawa za kupaka polee sana mkuu inatokeaga
Ila we jamaa πYani usiweke dawa kwenye pumbu kama unavyoweka kwenye mswaki. Unatoa maambukiz kwenda kwenye mdomo wa chupa ya dawa. Hivyo mwambie hata mtu kama mkeo akuminyie mkononi ndio upake. .
π€£π€£π€£π€£π€£wale wadudu wanapenda joto. Ukijamba tu unawaongezea nguvu. Vaa nguo nyepesi upate hewa
Duh, hiyo fungal infection ipo kwa damu. Unatibu nje. Halafu mnasemaga mmenda hospital kumbe mmenda duka la dawa. Papaa wahi hospitali za uhakika, pasije puputika huko.Ndugu zangu habari za Wakati , polen na majukumu ya kujenga Nchi n.k.
Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja ,Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu ,Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm ni Kawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.
Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi .
Nimepaka sana dawa za tube na kuneza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona , napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.
Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.
Nawasilisha.
Kuwashwa.Mshahara wa dhambi ni .........!
Usitombe hata karibia miezi sita ujue maji ya K wanayapenda sana. Yan yale maji yana sukari sana
Ww ulikua na muwasho ulivo jinga unakaa tu kuendelea kutembea Hilo gono kwa wadada wengine wajinga.Ndugu zangu habari za Wakati , polen na majukumu ya kujenga Nchi n.k.
Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo.
Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja ,Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu ,Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm ni Kawa naona kawaida maana ulikuwa muwasho usiotisha ni kajua patakuja kuacha kuwasha.
Ndugu zanguni mwaka huu muwasho ukaongezeka, na kuanza kuonesha Hali ya uwekundu ktk pumbu na uume ikabidi niende hospital wakaniambia ni Fangasi .
Nimepaka sana dawa za tube na kuneza dawa hasa fluconazo, pamoia na Drox ila bado kupona , napata nafuu TU kawaida na wekundu kupungua TU ila Siyo kupona.
Ni miezi sita sasa natumia dawa ila kupona no, naombeni ushauri wakuu.
Nawasilisha.
Unajua hapo zamani kipimo cha sukari ilikuwa unaweka mkojo kwenye kibebeo kidogo kisha unaweka sehemu ukiona sisimizi wanalamba ule mkojo basi ujue huyu mtu ana kisukari. .Leo inabidi uiambie jamii hii ya jf ulijuaje maji ya K ya SUKARI??
Unajua hapo zamani kipimo cha sukari ilikuwa unaweka mkojo kwenye kibebeo kidogo kisha unaweka sehemu ukiona sisimizi wanalamba ule mkojo basi ujue huyu mtu ana kisukari. .
Evidence ya kwanza:
Kuna siku nilimpiga demu katerero sasa yale maji kumbe yalipenya chini ya godoro yakawa uvunguni mwa kitanda. Asubuhi nikaona msafara wa sisimizi nikastaajabu kwa sababu sina desturi ya kulia chumbani. Briefly nilifanya uchunguzo nikajua wanaenda kulamba maji ya K na wako foleni π tena mistari miwili mmoja wa kwenda mwingine wa kurudi
Evidence ya pili:
Nilipataga binti wa kitanga. Yule dada alikuwa na kisimi kama zile simu za anten za phillips au Siemens ( za kitambo kidogo).....
Acha niishie hapo itaendelea π
Asilimia 100 π― percentUna uhakika kwamba maji ya aina zote anazofyonza sisimizi ni lazima yawe na sukari??
Asilimia 100 π― percent
πna hilo ndilo unalotaka nisemeHivi ukisema hayo maji uliyaonja unadhani utapelekwa mahakamani??!
πna hilo ndilo unalotaka niseme
Weee ulishaonj Sheikh Mokaze π tukutane kule kweny nyuzi za dini huku hakukufaiMimi sikulazimishi useme hivyo isipokuwa ninakuondoa khofu kama ulionja na ukagundua utamu wa hayo maji basi sema tu kwani hakutakuwa na lawama wala mashitaka dhidi yako kwani kionjeo cha ladha mbalimbali ni ndimi zetu alizotujalia Mungu, mbona wapo watu huko "mahali" wanapaita chumvini we unadhani walijuaje huko kwamba ni chumvini??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angalia usijekuwa kama afande si kwa weusi ule kaaaa
Tafuta tube za corticosteroids, zipi nyingi tu madukani,, pia usiwe unakuna,, vaginal candida zinaweza kukusumbua miaka hata kumi usipokua makiniLimao unafanyaje mkuu