Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

Kuna sehemu nimepata mushkeli kidogo kwa uwezo wa huyu jama... Pale alipowaambia team mates wake wasinywe kahawa na wahakikishe wanalala kwa masaa 10. Hapo jamaa alifikiri nini hasa juu ya hivi vitu viwili????
 
intel..jpg
intel3.jpg
intel2.jpg
 
Danny Cooper, Albert Spaggiari, Natorbartolo na Carl Gugasian... Hawa jamaa wote wamepiga matukio miaka ya tisini kurudi nyuma.... Hivi kwa karne yetu hii ni kwamba watu kama hawa wameisha au sasa ni cyber theft ndo imeshika kasi?? Na kama ni hivyo mbona hatusikii matukio makubwa ya aina hii???
Ofcoz kwa sasa uhalifu umehamia kwenye mitandao zaidi lakini pia yapo matukio kama haya ya Spaggiari yaliyotokea miaka ya hivi karibuni. Mfano wale jamaa walioiba 'juzi juzi' tu hapa benki kuu ya Brazil nao walitumia njia hii ya kuchimba tunnel, pia wako watu wanajiita 'Pink Panthers' hawa ni kiboko kwa kuiba kwenye vault za kuhifadhi almasi na wanafanya matukio kila Mara mpaka kesho..
 
[emoji41] wewe pia unatakiwaufanyiwe uchunguzi na ukamatwe mara moja, haiwekani storry zako ziwe na mrengo huu huu mmoja.
Inawezekana ukawa gaidi.

[emoji120] ila asante kwa kutuletea hadithi murua.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahahahahaha!! Mkuu hujasoma simulizi iliyopita 'Geranimo EKIA', haikuhusu ujambazi..
 
Dah mkuu The Bold ahsante kwa uzi maridadi, story inasisimua kweli...vp hawajaitengenezea movie yake?
 
The Bold umetishaa kwa kuleta story kali.
Nashawishika pia kuamini kuna uhusika wa inner circle ktk tukio hilo, sababu je mpango wa AS kutoroka ulipangwa na nani!
 
Back
Top Bottom