Mifuko ya UTT AMIS kuanzia Januari 2024 mpaka Desemba 30 2024

Mifuko ya UTT AMIS kuanzia Januari 2024 mpaka Desemba 30 2024

PeeWee

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
410
Reaction score
1,118
Habari wana JF, nitangulize salamu zangu za Kheli ya mwaka mpya kwenu nyote.

Kama ilivyo ada kuanza mwaka na malengo mbalimbali ya kimaisha hasa katika eneo la uchumi, hivyo nikajipa assignment kidogo ya kupitia na kuangalia huu uwekezaji kupitia mifuko ya UTT kama ambavyo mada nyingi zimewekwa hapa jukwaani na members mbalimbali.

Assignment yangu ilijikita hasa kutaka kujua hii mifuko imeweza kuongezekaje kwa maana ya kiasi kutoka Jan 2024 mpaka leo Dec 30 2024.

Haya ndio niliyoyapata katika assignment hiyo

Umoja Fund:


January sell price ilikuwa 984.7629 na December 30 sell price ni 1099.6090.
Hivyo kuna ongezeko la 114.8461.
January buy price ilikuwa 974.9151 na December 30 buy price ni 1088.6129. Hivyo ongezeko ni 113.6978.

Wekeza Maisha

January sell price ilikuwa 866.8293 na December 30 sell price ni 970.5164.
Ongezeko ni 103.6871.

Halikadhalika buy price kwa January ilikuwa 849.4927 na kwa December 30 ni 951.1061. Hivyo kuna ongezeko la 101.6134.

Jikimu

Mwezi January sell price ilikuwa 167.7714 na December 30 imefika 183.7034. Ikiwa ni ongezeko la 15.932.

Kwa upande wa buy price January ilikuwa 164.1025 na December imefika 180.0293. Ikiwa ni ongezeko la 15.9268.

Watoto

Mwezi January ililkuwa na sell price ya 635.2639 na mwezi wa December sell price ni 715.2556. Ongezeko la 79.9917. Wakati huo buy price January ilikuwa 628.9112 na mwezi December imefika 708.1030 ikiwa na ongezeko la 79.1918.

Liquid

Mfuko huu wenyewe sell price na buy price zinalingana.

Mwezi January bei ya kipande ilikuwa 383.4302 na mpaka December 30 bei yake ni 433.8699. Hivyo kuna ongezeko la 50.4397.

Bond

Mfuko huu pia price zake zinalingana. Mwezi January ilikuwa 115.7412 na mwezi December imefika 119.5716. Ikiwa ni ongezeko la 3.8304.

Hivyo basi kufuatia maelezo hapo juu, naomba kupata mwongozo wa JF members na wataalamu wa aina hii ya uwekezaji kuweza kutambua kama huu uwekaji kwenye hii mifuko mbalimbali una tija. Asanteni na karibuni kwa michango yenu.
 
Tuambie Toka JANUARY Hadi DECEMBER umewekeza pesa kiasi gani na faida uliyopata ni kiasi gani..?
Tuanzie hapo sasa
Of course sijawekeza chochote lakini as tunaanza mwaka mpya ni moja ya lengo la kuwekeza. Hivyo hapa ni kutafuta taarifa ili kufanya maamuzi based on good and reliable information
 
Faida kiduchu kivipi hebu fafanua maana kwa mujibu wa UTT mwaka ulioisha Hakuna mfuko uliokuwa chini ya 13% faida hata mwaka 2023 walikuwa around 12%.

Na declare interest mimi niko UTT mifuko yote kasoro Watoto
 
Faida kiduchu kivipi hebu fafanua maana kwa mujibu wa UTT mwaka ulioisha Hakuna mfuko uliokuwa chini ya 13% faida hata mwaka 2023 walikuwa around 12%.

Na declare interest mimi niko UTT mifuko yote kasoro Watoto
Mkuu uko kama mimi,

Nimejiunga UTT mwaka huu mwezi wa sita tarehe 09, nlianza na mfuko mmoja wa Liquid fund, ila mpaka sasa nna account mifuko yote kasoro WATOTO FUND,kwavile bado sina family
 
Mkuu uko kama mimi,

Nimejiunga UTT mwaka huu mwezi wa sita tarehe 09, nlianza na mfuko mmoja wa Liquid fund, ila mpaka sasa nna account mifuko yote kasoro WATOTO FUND,kwavile bado sina family
Hongera kaka
 
Faida kiduchu kivipi hebu fafanua maana kwa mujibu wa UTT mwaka ulioisha Hakuna mfuko uliokuwa chini ya 13% faida hata mwaka 2023 walikuwa around 12%.

Na declare interest mimi niko UTT mifuko yote kasoro Watoto
Ongezeko la dhamani ya kipande ndio inazungumziwa hapo
 
Habari wana JF, nitangulize salamu zangu za Kheli ya mwaka mpya kwenu nyote.
Kama ilivyo ada kuanza mwaka na malengo mbalimbali ya kimaisha hasa katika eneo la uchumi, hivyo nikajipa assignment kidogo ya kupitia na kuangalia huu uwekezaji kupitia mifuko ya UTT kama ambavyo mada nyingi zimewekwa hapa jukwaani na members mbalimbali.
Assignment yangu ilijikita hasa kutaka kujua hii mifuko imeweza kuongezekaje kwa maana ya kiasi kutoka Jan 2024 mpaka leo Dec 30 2024.
Haya ndio niliyoyapata katika assignment hiyo
Umoja Fund:
January sell price ilikuwa 984.7629 na December 30 sell price ni 1099.6090.
Hivyo kuna ongezeko la 114.8461.
January buy price ilikuwa 974.9151 na December 30 buy price ni 1088.6129. Hivyo ongezeko ni 113.6978.

Wekeza Maisha
January sell price ilikuwa 866.8293 na December 30 sell price ni 970.5164.
Ongezeko ni 103.6871.
Halikadhalika buy price kwa January ilikuwa 849.4927 na kwa December 30 ni 951.1061. Hivyo kuna ongezeko la 101.6134.

Jikimu
Mwezi January sell price ilikuwa 167.7714 na December 30 imefika 183.7034. Ikiwa ni ongezeko la 15.932.
Kwa upande wa buy price January ilikuwa 164.1025 na December imefika 180.0293. Ikiwa ni ongezeko la 15.9268.

Watoto
Mwezi January ililkuwa na sell price ya 635.2639 na mwezi wa December sell price ni 715.2556. Ongezeko la 79.9917. Wakati huo buy price January ilikuwa 628.9112 na mwezi December imefika 708.1030 ikiwa na ongezeko la 79.1918.

Liquid
Mfuko huu wenyewe sell price na buy price zinalingana.
Mwezi January bei ya kipande ilikuwa 383.4302 na mpaka December 30 bei yake ni 433.8699. Hivyo kuna ongezeko la 50.4397.

Bond
Mfuko huu pia price zake zinalingana. Mwezi January ilikuwa 115.7412 na mwezi December imefika 119.5716. Ikiwa ni ongezeko la 3.8304.

Hivyo basi kufuatia maelezo hapo juu, naomba kupata mwongozo wa JF members na wataalamu wa aina hii ya uwekezaji kuweza kutambua kama huu uwekaji kwenye hii mifuko mbalimbali una tija. Asanteni na karibuni kwa michango yenu

Habari wana JF, nitangulize salamu zangu za Kheli ya mwaka mpya kwenu nyote.
Kama ilivyo ada kuanza mwaka na malengo mbalimbali ya kimaisha hasa katika eneo la uchumi, hivyo nikajipa assignment kidogo ya kupitia na kuangalia huu uwekezaji kupitia mifuko ya UTT kama ambavyo mada nyingi zimewekwa hapa jukwaani na members mbalimbali.
Assignment yangu ilijikita hasa kutaka kujua hii mifuko imeweza kuongezekaje kwa maana ya kiasi kutoka Jan 2024 mpaka leo Dec 30 2024.
Haya ndio niliyoyapata katika assignment hiyo
Umoja Fund:
January sell price ilikuwa 984.7629 na December 30 sell price ni 1099.6090.
Hivyo kuna ongezeko la 114.8461.
January buy price ilikuwa 974.9151 na December 30 buy price ni 1088.6129. Hivyo ongezeko ni 113.6978.

Wekeza Maisha
January sell price ilikuwa 866.8293 na December 30 sell price ni 970.5164.
Ongezeko ni 103.6871.
Halikadhalika buy price kwa January ilikuwa 849.4927 na kwa December 30 ni 951.1061. Hivyo kuna ongezeko la 101.6134.

Jikimu
Mwezi January sell price ilikuwa 167.7714 na December 30 imefika 183.7034. Ikiwa ni ongezeko la 15.932.
Kwa upande wa buy price January ilikuwa 164.1025 na December imefika 180.0293. Ikiwa ni ongezeko la 15.9268.

Watoto
Mwezi January ililkuwa na sell price ya 635.2639 na mwezi wa December sell price ni 715.2556. Ongezeko la 79.9917. Wakati huo buy price January ilikuwa 628.9112 na mwezi December imefika 708.1030 ikiwa na ongezeko la 79.1918.

Liquid
Mfuko huu wenyewe sell price na buy price zinalingana.
Mwezi January bei ya kipande ilikuwa 383.4302 na mpaka December 30 bei yake ni 433.8699. Hivyo kuna ongezeko la 50.4397.

Bond
Mfuko huu pia price zake zinalingana. Mwezi January ilikuwa 115.7412 na mwezi December imefika 119.5716. Ikiwa ni ongezeko la 3.8304.

Hivyo basi kufuatia maelezo hapo juu, naomba kupata mwongozo wa JF members na wataalamu wa aina hii ya uwekezaji kuweza kutambua kama huu uwekaji kwenye hii mifuko mbalimbali una tija. Asanteni na karibuni kwa michango
Habari wana JF, nitangulize salamu zangu za Kheli ya mwaka mpya kwenu nyote.
Kama ilivyo ada kuanza mwaka na malengo mbalimbali ya kimaisha hasa katika eneo la uchumi, hivyo nikajipa assignment kidogo ya kupitia na kuangalia huu uwekezaji kupitia mifuko ya UTT kama ambavyo mada nyingi zimewekwa hapa jukwaani na members mbalimbali.
Assignment yangu ilijikita hasa kutaka kujua hii mifuko imeweza kuongezekaje kwa maana ya kiasi kutoka Jan 2024 mpaka leo Dec 30 2024.
Haya ndio niliyoyapata katika assignment hiyo
Umoja Fund:
January sell price ilikuwa 984.7629 na December 30 sell price ni 1099.6090.
Hivyo kuna ongezeko la 114.8461.
January buy price ilikuwa 974.9151 na December 30 buy price ni 1088.6129. Hivyo ongezeko ni 113.6978.

Wekeza Maisha
January sell price ilikuwa 866.8293 na December 30 sell price ni 970.5164.
Ongezeko ni 103.6871.
Halikadhalika buy price kwa January ilikuwa 849.4927 na kwa December 30 ni 951.1061. Hivyo kuna ongezeko la 101.6134.

Jikimu
Mwezi January sell price ilikuwa 167.7714 na December 30 imefika 183.7034. Ikiwa ni ongezeko la 15.932.
Kwa upande wa buy price January ilikuwa 164.1025 na December imefika 180.0293. Ikiwa ni ongezeko la 15.9268.

Watoto
Mwezi January ililkuwa na sell price ya 635.2639 na mwezi wa December sell price ni 715.2556. Ongezeko la 79.9917. Wakati huo buy price January ilikuwa 628.9112 na mwezi December imefika 708.1030 ikiwa na ongezeko la 79.1918.

Liquid
Mfuko huu wenyewe sell price na buy price zinalingana.
Mwezi January bei ya kipande ilikuwa 383.4302 na mpaka December 30 bei yake ni 433.8699. Hivyo kuna ongezeko la 50.4397.

Bond
Mfuko huu pia price zake zinalingana. Mwezi January ilikuwa 115.7412 na mwezi December imefika 119.5716. Ikiwa ni ongezeko la 3.8304.

Hivyo basi kufuatia maelezo hapo juu, naomba kupata mwongozo wa JF members na wataalamu wa aina hii ya uwekezaji kuweza kutambua kama huu uwekaji kwenye hii mifuko mbalimbali una tija. Asanteni na karibuni kwa michango yenu.
Kwanza unahiji kufahamu UTT AMIS ni taasisi ya uwekezaji lakini sio aina ya uwekezaji ambayo unaweza kupata faida kwa haraka kama biashara zingine hama hisa, kikubwa kama unataka kufungua account UTT basi fungua kwa ajili ya kutunza fedha zako ambazo zinazaa taratibu na kukuza mtaji wako. Ninaweza kukupa mfano mdogo Tu , kama ungekuwa umeweka laki 2 mpka 3 mwaka huu mwezi wa 8 katika mfuko wa Ukwasi basi mpaka mwezi huu ungekuwa umetengeneza kati ya 9,000 mpaka 10,000 ambayo ni faida ndogo sana kulinganisha na hiyo hela ungeizungusha kwenye biashara. Ila unaweza ukapata rate kubwa kulingana pesa uliyowekeza na hii hipo kwa watu wenye mitaji mikubwa mfano ukiweka 1Bl kwenye mfuko wa wekeza maisha basi rate yako itarange 10 M na sio chini ya 9 M kwa mwezi kwaiyo kwa mwaka atakuwa na rate ya 120 M zidisha kwa miaka 10 utaona Ana kiasi gani. Lakini watu tunaejitafuta fanya sehemu yako ya kutunza fedha na kukuza mtaji tu na sio kupata faida kubwa wakati unaendelea kufanya biashara zingine. Asante☝️
 
Habari wana JF, nitangulize salamu zangu za Kheli ya mwaka mpya kwenu nyote.
Kama ilivyo ada kuanza mwaka na malengo mbalimbali ya kimaisha hasa katika eneo la uchumi, hivyo nikajipa assignment kidogo ya kupitia na kuangalia huu uwekezaji kupitia mifuko ya UTT kama ambavyo mada nyingi zimewekwa hapa jukwaani na members mbalimbali.
Assignment yangu ilijikita hasa kutaka kujua hii mifuko imeweza kuongezekaje kwa maana ya kiasi kutoka Jan 2024 mpaka leo Dec 30 2024.
Haya ndio niliyoyapata katika assignment hiyo
Umoja Fund:
January sell price ilikuwa 984.7629 na December 30 sell price ni 1099.6090.
Hivyo kuna ongezeko la 114.8461.
January buy price ilikuwa 974.9151 na December 30 buy price ni 1088.6129. Hivyo ongezeko ni 113.6978.

Wekeza Maisha
January sell price ilikuwa 866.8293 na December 30 sell price ni 970.5164.
Ongezeko ni 103.6871.
Halikadhalika buy price kwa January ilikuwa 849.4927 na kwa December 30 ni 951.1061. Hivyo kuna ongezeko la 101.6134.

Jikimu
Mwezi January sell price ilikuwa 167.7714 na December 30 imefika 183.7034. Ikiwa ni ongezeko la 15.932.
Kwa upande wa buy price January ilikuwa 164.1025 na December imefika 180.0293. Ikiwa ni ongezeko la 15.9268.

Watoto
Mwezi January ililkuwa na sell price ya 635.2639 na mwezi wa December sell price ni 715.2556. Ongezeko la 79.9917. Wakati huo buy price January ilikuwa 628.9112 na mwezi December imefika 708.1030 ikiwa na ongezeko la 79.1918.

Liquid
Mfuko huu wenyewe sell price na buy price zinalingana.
Mwezi January bei ya kipande ilikuwa 383.4302 na mpaka December 30 bei yake ni 433.8699. Hivyo kuna ongezeko la 50.4397.

Bond
Mfuko huu pia price zake zinalingana. Mwezi January ilikuwa 115.7412 na mwezi December imefika 119.5716. Ikiwa ni ongezeko la 3.8304.

Hivyo basi kufuatia maelezo hapo juu, naomba kupata mwongozo wa JF members na wataalamu wa aina hii ya uwekezaji kuweza kutambua kama huu uwekaji kwenye hii mifuko mbalimbali una tija. Asanteni na karibuni kwa michango yenu.
Una tija kulingana na maono na malengo yako...Uwekezaji ni kama akiba sio kazi kwahio tunapowekeza huku ni kama tunahifadhi kwa malengo ya kipindi fulani...La muhimu jua uNataka nn ,umejipangaje na unaufahamu ganii nje ya Takwimu ulizoweka hapo juu
 
Back
Top Bottom