Mifuko ya UTT AMIS kuanzia Januari 2024 mpaka Desemba 30 2024

Mifuko ya UTT AMIS kuanzia Januari 2024 mpaka Desemba 30 2024

Hivi faida hua inaingia kwenye akaunti yako kila mwezi na unaiona? Unaweza kuiaccess? Mfano kama.huyo wa 1m
9750 yake inaingia kwenye akaunti
Faida yako ya UTT inaingia kwenye account yako ya UTT kila siku, na kwavile wana app, unakua unaiona,
kwa mfano ukishaweka hiyo 1m, siku ya kwanza utaona ongezeko la 325 approximately kesho yake hivyo hivyo mpaka end of the monthly ndo unakuta imefika 9750 roughly inaweza pungua kidogo au ikaongezeka kidogo

Note: ukitaka uone faida ya UTT inabidi uweke mpunga mrefu, Ila pia kama unaweka kwa ajili ya saving ni mfuko mzuri
 
130,000/-

130,000/= ni nyingi,fanya 1m around 100k. ~= 10%.

Hiyo 13% ni kubwa sana ,kiasi ambacho nadhani ni zaidi ya T/Bill na T/Bond. Kwa sababu nao wanafanya investment mahali pengine na kupata faida na kutoa operation cost.Kuweka Hela UTT ni kutunza hela bila kupoteza thamani yake.Nadhani ukitaka kuendelea kwa haraka zaidi na let say una M100, fanya biashara nyingine,yenye faida ndogo sana ila ina stock turnover kubwa(mzunguko mkubwa).Labda kila siku unauza kwa jumla jumla carton za maji 1000,ila kila carton faida ni sh 300.utapata gross ya sh.300,000 daily.mara 25(kwa mwezi) 7,500,000 less 40% kodi na other operation cost.unabaki na around 4.5mio/month ambayo ni average return ya 4.5%/month.

Naona jamaa mmoja haoo anasema carton 1000 kwa siku haiwezekani.hapo tunazungumzia average yq vinywaji vyote vya take aways zote.i.e. fursana,maji aina zote azam cola,pepsi,cola tunazungumzia.Pia tafuta yale mafriji heavy duty unaweka cortons za maji zinapoa hao watu wanaouzaga barabarani wanakuja kununua vya baridi

NOTE:Golini simama mwenyewe au mkeo full stop.
 
Naona bond fund bado ina faida kiduchu. Kweli low risk low return. Wananunua Bond BOT ya miaka 7 ambayo faida yake ni 9.48% kwa mwaka. Nataka nitoe hela huku. Niangalie cha kufanya kwingine
Kama una hela nyingi buna sababu ya kuwekeza kwenye bond ya UTT, wekeza moja kwa moja kwenye bond bot.

Return inakua ndogo kwa sababu wao wanawekeza kwa labda 10%, wakitoa operating cost labda 2% wewe unapewa 8%.

Ila ukiwekeza wewe mwenyewe kupitia wakala bot, kama return ni 10% utapata hiyo hiyo 10% lakini pia utakua na maamuzi uwekeze bond ipi.

Sasa ushauri wangu hapo juu unategemeana na wewe mwenyewe, kama una ufahamu mzuri juu ya uwekezaji wa hati fungani, basi wekeza wewe mwenyewe maana bot inaruhusi uwekezaji wa kuanzia milioni 1. Ila kama huna ufahamu wa kutosha basi wapelekee UTT wafanye kwa ajili yako.
 
Kama una hela nyingi buna sababu ya kuwekeza kwenye bond ya UTT, wekeza moja kwa moja kwenye bond bot.

Return inakua ndogo kwa sababu wao wanawekeza kwa labda 10%, wakitoa operating cost labda 2% wewe unapewa 8%.

Ila ukiwekeza wewe mwenyewe kupitia wakala bot, kama return ni 10% utapata hiyo hiyo 10% lakini pia utakua na maamuzi uwekeze bond ipi.

Sasa ushauri wangu hapo juu unategemeana na wewe mwenyewe, kama una ufahamu mzuri juu ya uwekezaji wa hati fungani, basi wekeza wewe mwenyewe maana bot inaruhusi uwekezaji wa kuanzia milioni 1. Ila kama huna ufahamu wa kutosha basi wapelekee UTT wafanye kwa ajili yako.
Nina ufahamu wa kutosha kuhusiana na bond zote mbili za BOT na UTT, overlong run bond ya UTT inafaida kubwa kuliko BOT kutokana na kuwa compound interest. Nimetumia calculator zao wote na nimeona kama unataka hela ya fasta ni BOT ila kama unataka hela nyingi ni UTT. Nafuatilia magawio yangu na naona sifiki asilimia 1 kwa mwezi.
 
asee mm ata sielewe hawa UTT nliwekeza milion tano mwaka jana ambapo faida ilitakiwa kuwa laki 6 , Lakin naona muda haujafika na laki 6 ishatimia sjui wamejisahau bado mwez mmoja lakn bado faida inazd makadrio kwa mwaka
 
asee mm ata sielewe hawa UTT nliwekeza milion tano mwaka jana ambapo faida ilitakiwa kuwa laki 6 , Lakin naona muda haujafika na laki 6 ishatimia sjui wamejisahau bado mwez mmoja lakn bado faida inazd makadrio kwa mwaka
Dhamani ya vipande imepanda
 
Dhamani ya vipande imepanda
asee mm ata sielewe hawa UTT nliwekeza milion tano mwaka jana ambapo faida ilitakiwa kuwa laki 6 , Lakin naona muda haujafika na laki 6 ishatimia sjui wamejisahau bado mwez mmoja lakn bado faida inazd makadrio kwa mwaka
Hapana kuna siku huwa inapanda mara sana kama kwa mwaka ulio pita kina siku ilikongezeka elf 90 kwa wenye 10M vipande
 
Ukiaanza kuwekeza UTT katika ya mwaka let say June, je mwaka unapokuwa umeisha ile compound interest wanatumia kiasi kilichopo wakati huo wa mwezi June au watasubiri mpaka utimize miezi 12 kabisa ndo wanafanya compound interest?
Au compound interest ni kila siku pesa yako inapokuwa itaongezeka.
Mfano leo nimeweka 1 million, kesho nikapata total ya 1 million na elfu kumi, je siku inafuata hesabu itaanzia kwenye million moja pekee au 1 million na elfu kumi?
 
Ukiaanza kuwekeza UTT katika ya mwaka let say June, je mwaka unapokuwa umeisha ile compound interest wanatumia kiasi kilichopo wakati huo wa mwezi June au watasubiri mpaka utimize miezi 12 kabisa ndo wanafanya compound interest?
Au compound interest ni kila siku pesa yako inapokuwa itaongezeka.
Mfano leo nimeweka 1 million, kesho nikapata total ya 1 million na elfu kumi, je siku inafuata hesabu itaanzia kwenye million moja pekee au 1 million na elfu kumi?
Kila siku
 
Tuambie Toka JANUARY Hadi DECEMBER umewekeza pesa kiasi gani na faida uliyopata ni kiasi gani..?
Tuanzie hapo sasa
20241128_154703.jpg
 
asee mm ata sielewe hawa UTT nliwekeza milion tano mwaka jana ambapo faida ilitakiwa kuwa laki 6 , Lakin naona muda haujafika na laki 6 ishatimia sjui wamejisahau bado mwez mmoja lakn bado faida inazd makadrio kwa mwaka
Mfuko gani huo mkuu
 
Back
Top Bottom