Mkuu hayo yote yanafahamika.Unajua tumefikaje hapa?
1. Ongezeko la wanaume kuwa na nyumba ndogo na kuisahau familia, mke anakosa option anaanza kutoka kufanya jukumu la mwanaume wake. Huko nje anakutana na wenzake, wanajiongeza, vinaundwa vikoba, vikundi, mabank yanaona fursa, yanatoa mikopo mwishowe wanaibuka malkia wa nguvu.
2. Ongezeko la vijana wala kimasihara. Binti kashika mimba, kijana kakimbia, binti kaacha shule kulea mimba, kijana kaendelea na shule, kijana kamaliza shule, kachukua binti mwingine. Wazazi wa binti wamepewa jukumu la kulea binti na mjukuu. Jamii inaona, inajifunza kuwa binti anaweza kutelekezwa inapambana kumwinua, binti anaiunuka, malkia wa nguvu anaibuka.
3. Ongezeko la wanaume maboss waroho. Vijana na mabinti wamemaliza chuo, wameomba kazi, mabinti ni warembo, boss anavutiwa nao, anawapa ajira, mishahara mizuri vijana wanabaki mtaani. Malkia wa nguvu malaya wanaibuka.
Huko vyuoni kuna degree zinaitwa za chupi.
4. Ongezeko la wanaume six pac na gym ila mariooo. Obvious hapa mwanmke atahitaji kumlisha, kumvisha n.k
5. Uwepo wanaume wapenzi wa jinsia moja. Hapa sina la kusema.
KWA UFUPI, MWANAMKE KAINUKA BAADA YA MWANAUME KUMPA SABABU YA KUINUKA. OTHERWISE HAKUKUWA NA SABABU YA MWANAMKE KUTAKA KUWA MWANAUME. MWANAMKE NATURE TU ILIVYOMUUMBA ANAFURAHIA KUWA NA MUME ANAYEMHUDUMIA NA YEYE AMTUNZE YEYE NA WATOTO.
Huko sie hatupingi,tunapopapinga sisi ni wanawake kujitegeza na kuplay victim kisa wao wamepewa kipaumbele.
Embu mchukulie mfano mke wa Ashraf Hakimi,hakuna sababu ya kudai talaka kadai talaka na kutaka mgawanyo wa mali.
Mwanamke kisa yeye kapewa kipaumbele ya kutetewa basi ule utetezi huutumia vibaya.
Kuna kisa kimoja ngojea nikupe kusadikisha hili.
Kuna siku nilienda serikali za mitaa Kigamboni Kisiwani nikakuta kesi ya dawati la jinsia.Yule binti akikua anadai mwanaume kamzalisha na hamuhudumii yeye na mtoto,jamaa aliitwa hakubishana akakubali kutoa matumizi kila siku akipeleka 10k ya matumizi.
Jamaa chumba alimuachia mwanamke maana maelewano yalikatika akarudi kwa mamaake.
Binti kuona kaachiwa chumba akaanza kuishi na bwana wake mwingine huku bado akidai matumizi.
Jamaa akaona hapana sio kweli,aliamua awe anamchukua mtoto anampeleka kwa mama ake anashinda na kula kesha anamrudisha kwa yule binti akiwa na 3k ya chai tu asubuhi.
Binti karudi dawati la jinsia akidai mwanaume haleti matumizi anamuacha mtoto na njaa ilhali hapo hapo KAACHIWA CHUMBA AKAAMUA KULETA BWANA NDANI.
Hii wewe unaichukuliaje???
Achana na hiyo,kuna jamaa alisafiri kurudi akakuta mkewe kaingiza mchepuko.Jamaa kapaniki na kuanzisha varangati,mkewe imagine mkewe kamuitia jamaa mwizi watu wakaanza kumpiga tena vingunguti,bahati nzuri wakatokea wanaomjua na kusema huyo anaepigwa ndio mume halisi sio mwizi.
Ukitizama hii mifano miwili utakuja kugundua WANAWAKE MASHEITWANI YA KUKUBUHU.
TENA YANAWEZA KUKUANGAMIZA HUKU YANACHEKA KWA KUJIFICHA NYUMA YA MGONGO WA HAKI SAWA KWA WOTE.
Yani hata kama mkosaji ni yeye akienda kulia mahakamani umemuonea BABA HAUSIKILIZWI UNAHUKUMIWA DIRECTLY.
Ndio maana mimi nimekosa huruma kwa hawa viumbe,waliokutana na mimi wanajuta kunifanyia ujinga maana NILIWASULUBU KWA KUWAACHIA KOVU LA MAISHA.