Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Unajua tumefikaje hapa?

1. Ongezeko la wanaume kuwa na nyumba ndogo na kuisahau familia, mke anakosa option anaanza kutoka kufanya jukumu la mwanaume wake. Huko nje anakutana na wenzake, wanajiongeza, vinaundwa vikoba, vikundi, mabank yanaona fursa, yanatoa mikopo mwishowe wanaibuka malkia wa nguvu.

2. Ongezeko la vijana wala kimasihara. Binti kashika mimba, kijana kakimbia, binti kaacha shule kulea mimba, kijana kaendelea na shule, kijana kamaliza shule, kachukua binti mwingine. Wazazi wa binti wamepewa jukumu la kulea binti na mjukuu. Jamii inaona, inajifunza kuwa binti anaweza kutelekezwa inapambana kumwinua, binti anaiunuka, malkia wa nguvu anaibuka.

3. Ongezeko la wanaume maboss waroho. Vijana na mabinti wamemaliza chuo, wameomba kazi, mabinti ni warembo, boss anavutiwa nao, anawapa ajira, mishahara mizuri vijana wanabaki mtaani. Malkia wa nguvu malaya wanaibuka.
Huko vyuoni kuna degree zinaitwa za chupi.
4. Ongezeko la wanaume six pac na gym ila mariooo. Obvious hapa mwanmke atahitaji kumlisha, kumvisha n.k

5. Uwepo wanaume wapenzi wa jinsia moja. Hapa sina la kusema.

KWA UFUPI, MWANAMKE KAINUKA BAADA YA MWANAUME KUMPA SABABU YA KUINUKA. OTHERWISE HAKUKUWA NA SABABU YA MWANAMKE KUTAKA KUWA MWANAUME. MWANAMKE NATURE TU ILIVYOMUUMBA ANAFURAHIA KUWA NA MUME ANAYEMHUDUMIA NA YEYE AMTUNZE YEYE NA WATOTO.
Mkuu hayo yote yanafahamika.
Huko sie hatupingi,tunapopapinga sisi ni wanawake kujitegeza na kuplay victim kisa wao wamepewa kipaumbele.
Embu mchukulie mfano mke wa Ashraf Hakimi,hakuna sababu ya kudai talaka kadai talaka na kutaka mgawanyo wa mali.
Mwanamke kisa yeye kapewa kipaumbele ya kutetewa basi ule utetezi huutumia vibaya.
Kuna kisa kimoja ngojea nikupe kusadikisha hili.

Kuna siku nilienda serikali za mitaa Kigamboni Kisiwani nikakuta kesi ya dawati la jinsia.Yule binti akikua anadai mwanaume kamzalisha na hamuhudumii yeye na mtoto,jamaa aliitwa hakubishana akakubali kutoa matumizi kila siku akipeleka 10k ya matumizi.

Jamaa chumba alimuachia mwanamke maana maelewano yalikatika akarudi kwa mamaake.
Binti kuona kaachiwa chumba akaanza kuishi na bwana wake mwingine huku bado akidai matumizi.
Jamaa akaona hapana sio kweli,aliamua awe anamchukua mtoto anampeleka kwa mama ake anashinda na kula kesha anamrudisha kwa yule binti akiwa na 3k ya chai tu asubuhi.
Binti karudi dawati la jinsia akidai mwanaume haleti matumizi anamuacha mtoto na njaa ilhali hapo hapo KAACHIWA CHUMBA AKAAMUA KULETA BWANA NDANI.
Hii wewe unaichukuliaje???

Achana na hiyo,kuna jamaa alisafiri kurudi akakuta mkewe kaingiza mchepuko.Jamaa kapaniki na kuanzisha varangati,mkewe imagine mkewe kamuitia jamaa mwizi watu wakaanza kumpiga tena vingunguti,bahati nzuri wakatokea wanaomjua na kusema huyo anaepigwa ndio mume halisi sio mwizi.
Ukitizama hii mifano miwili utakuja kugundua WANAWAKE MASHEITWANI YA KUKUBUHU.
TENA YANAWEZA KUKUANGAMIZA HUKU YANACHEKA KWA KUJIFICHA NYUMA YA MGONGO WA HAKI SAWA KWA WOTE.
Yani hata kama mkosaji ni yeye akienda kulia mahakamani umemuonea BABA HAUSIKILIZWI UNAHUKUMIWA DIRECTLY.

Ndio maana mimi nimekosa huruma kwa hawa viumbe,waliokutana na mimi wanajuta kunifanyia ujinga maana NILIWASULUBU KWA KUWAACHIA KOVU LA MAISHA.
 
Kaka tulia ndiyo maana robot za kike zimekuja
Sheria haitubani bali sisi ndio tunaojibana mfano mzuri mimi ni wazazi wangu baba anapaswa awe na mali yake mwenyewe yaani mwanaume vitu vyote usipeleke nyumbani kabisa gawa ina laki hamsini weka mfukoni hamsini mama na watoto wagawane hutosumbuka mama anajua una nyumba moja kumbe unazo tatu mtagawana hiyo moja mbili zinabaki kwako tatizo letu vijana tunajitoa mazima kwa wapenzi wetu
MKUU 💯 shida ni wanaume kujitoa kupita maelezo ndiyo ina pelekea anguko letu.
 
Mimi naona dunia imemsikiliza mwanaume kwa muda mrefu imefika pahala acha sasa imsikilize na mwanamke kwa sababu mfumo dume umemkandamiza mwanamke vya kutosha, wake walipokuwa wanavumilia kukandamizwa miaka yote hiyo ilionekana sawa sasa wameamka baada ya kuchoka na kukataa kukandamizwa wanaume mnaanza kulalamika na mnaona kama mnaonewa, wanawake wamechoka kulalamika wameamua kujibu mapigo kwahiyo tulieni tu dawa iwaingie mpaka pale siku mtakapoongea nao lugha moja
Bro ukatili wa mwanaume uko wazi na unaeleweka na pia wanaume wamewajibishwa ipasavyo.
Pia tunafurahi mwanamke kutetewa na kupewa kipaumbele na mfumo dume kupigwa vita.
Ila hiyo nafasi ambayo mwanamke anapewa aitumie vizuri basi,asitumie kufanya ujinga na uzandiki kisa eti anasikilizwa.
Yani wanawake wa sasahivi ni sawa na kiongozi anayetumia madaraka vibaya(dictator).

-Yani kisa mwanamke eti akizaa nje kitanda hakizai haram mie nilee??
Mbona sie wanaume tukizalisha nje tunaitwa WAHUNI,MALAYA,WALETA MAGONJWA n.k n.k?
-Haki sawa kwa wote mbona tukitalikiana mali ya mwanamke marufuku kugawanywa ila ya mwanaume lazima kugawanywa hata kama mali mwanaume katafuta peke yake??
Ukiuliza eti sababu mke alikua akikufunulia chupi,kwani raha akiwa hapati nikiwa napata pekeangu?
Ukiuliza eti alikua anahudumu familia nyumbani wewe ukawa wapata utulivu,ilhali WANAWAKE WA SIKU HIZI WANAKWAMBIA "MIE MKE SIO HOUSEGIRL UTAFUTE HOUSEGIRL HUNIFANYISHI MIKAZI YA NYUMBANI".
-Kisa yeye mwanamke kwanini aplay victim ya ukandamizaji??
Bro leo hii mpandishie sauti kidogo mkeo akienda polisi akishtaki akidai umempiga aisee hatopimwa wala kudaiwa ushahidi utaswekwa ndani na virungu juu ilhali hujamfanya chochote.
Kuna jamaa yangu mkewe ndio kamkosea kumfokea mke akaondoka kilio na kusema jamaa kamuomba ndogo mke kakataa jamaa kampiga.Jamaa hakusikilizwa kawekwa ndani na kipigo na faini juu.

KUNA MAHALI MWANAUME ALIWAHI PLAY VICTIM?????
MWANAMKE NI SHETANI ANAEONEKANA NARUDIA TENA MWANAMKE NI SHETANI ANAEONEKANA.
 
Hii ni karma ya wale babu zetu walikokua wanawanyanyasa wanawake, nature huwa inatunza kumbukumbu na kulipa kwa wakati ,wanawake na nao wasipo utumia huu wakati kwa hekima baadae na wao watakuja lalama tena .
 
Wanawake wa mwanzo waanzilishi wa kudai haki za wanawake walielewa kuwa mabadiliko hayahitaji lelemama, wakatengeneza platform ya kusikika, kwa kuanza wakaanza na hatua kubwa sana yakuweka mkutano Beijing, wapaze sauti wapate kusikika ulimwenguni. Hata hivyo haikuwa rahisi wakapewa majina ya kila aina.

Now, mabadiliko ya hizo sheria hamuwezi kuyapata kwa kuandika JF, Y’all need to act, mtumie mifumo kumanipulate changes etc etc. Ni wakati wenu sasa wa kudai usawa, if at all mnaona mnaonewa.
Akuna anae onewa zaidi ya mtoa mada mkuu.
 
Zamani kulikuwa na tatizo ni Kweli, lakini kutatua tatizo siyo kuleta tatizo tena juu ya tatizo. Mfano ume gundua tatizo lilikuwa kusikiliza upande mmoja, sasa kutatua ni kusikiliza pande mbili na kutoa haki kwa usawa, na siyo kusikiliza upande mmoja kama zamani sababu tayari zamani ulisikiliza upande mmoja sasa huoni kama una rudia tatizo ulilo lifanya zamani ?!
Tatizo imeshaonekana haiwezekani kusikiliza pande zote mbili kwa sababu kila upande unataka lake, lakini ukiangalia hali halisi kuna upande ambao ni kweli unaonewa na kuna upande ambao wenyewe unaona ni haki yao kufanya makosa, kikubwa ni kutenda haki na kuhakikisha kila upande unakuwa na furaha na siyo upande mmoja ulazimishwe kusacrifice furaha yake kwa ajili ya furaha ya upande mwingine
 
Utafika muda na mwanaume atachoka nae atajibu mapigo, na hii haipo mbali, mjadala huu ni ishara kuwa wanaume wameanza kuelewa lengo sio 50/50 ila ni kumzalilisha mwanaume.
Wala hakuna anayewadhalilisha ila ni inferiority complex yenu au naweza kusema mnajidhalilisha wenyewe tu yani haiwezekani kosa ni lako halafu unayemkosea akichoka kuvumilia unamlaumu, kama unajua kusoma alama za nyakati basi utagundua njia wanayoitumia wanawake kujibu mapigo ni kutafuta namna ya kuwa na furaha bila ndoa, sasa ninyi mtakapojibu mapigo sijajua mtakuwa mnamkomoa nani hapo maana zile fimbo zote mlizokuwa mnawachapia wanawake taratibu wameanza kuzikata
 
Bro ukatili wa mwanaume uko wazi na unaeleweka na pia wanaume wamewajibishwa ipasavyo.
Pia tunafurahi mwanamke kutetewa na kupewa kipaumbele na mfumo dume kupigwa vita.
Ila hiyo nafasi ambayo mwanamke anapewa aitumie vizuri basi,asitumie kufanya ujinga na uzandiki kisa eti anasikilizwa.
Yani wanawake wa sasahivi ni sawa na kiongozi anayetumia madaraka vibaya(dictator).

-Yani kisa mwanamke eti akizaa nje kitanda hakizai haram mie nilee??
Mbona sie wanaume tukizalisha nje tunaitwa WAHUNI,MALAYA,WALETA MAGONJWA n.k n.k?
-Haki sawa kwa wote mbona tukitalikiana mali ya mwanamke marufuku kugawanywa ila ya mwanaume lazima kugawanywa hata kama mali mwanaume katafuta peke yake??
Ukiuliza eti sababu mke alikua akikufunulia chupi,kwani raha akiwa hapati nikiwa napata pekeangu?
Ukiuliza eti alikua anahudumu familia nyumbani wewe ukawa wapata utulivu,ilhali WANAWAKE WA SIKU HIZI WANAKWAMBIA "MIE MKE SIO HOUSEGIRL UTAFUTE HOUSEGIRL HUNIFANYISHI MIKAZI YA NYUMBANI".
-Kisa yeye mwanamke kwanini aplay victim ya ukandamizaji??
Bro leo hii mpandishie sauti kidogo mkeo akienda polisi akishtaki akidai umempiga aisee hatopimwa wala kudaiwa ushahidi utaswekwa ndani na virungu juu ilhali hujamfanya chochote.
Kuna jamaa yangu mkewe ndio kamkosea kumfokea mke akaondoka kilio na kusema jamaa kamuomba ndogo mke kakataa jamaa kampiga.Jamaa hakusikilizwa kawekwa ndani na kipigo na faini juu.

KUNA MAHALI MWANAUME ALIWAHI PLAY VICTIM?????
MWANAMKE NI SHETANI ANAEONEKANA NARUDIA TENA MWANAMKE NI SHETANI ANAEONEKANA.
Mkuu hivi kwa kuangalia uhalisia tu toka enzi na enzi kati ya mwanaume na mwanamke ni nani anayetumia nafasi aliyopewa vibaya, je siyo ninyi mnaowasaliti na kuwanyanyasa wake zenu kwa kisingizio kwamba mnawahudumia na huku ikionekana ni kawaida kwa wanaume, hebu soma tena ulichoandika hivi leo hii mwanaume na mwanamke wakichepuka au wakichelewa kuingia kwenye ndoa au wakiachika kwenye ndoa au wakipata watoto nje ya ndoa nani anayeitwa malaya
 
Wala hakuna anayewadhalilisha ila ni inferiority complex yenu au naweza kusema mnajidhalilisha wenyewe tu yani haiwezekani kosa ni lako halafu unayemkosea akichoka kuvumilia unamlaumu, kama unajua kusoma alama za nyakati basi utagundua njia wanayoitumia wanawake kujibu mapigo ni kutafuta namna ya kuwa na furaha bila ndoa, sasa ninyi mtakapojibu mapigo sijajua mtakuwa mnamkomoa nani hapo maana zile fimbo zote mlizokuwa mnawachapia wanawake taratibu wameanza kuzikata
Mkuu unaenda nje ya mada aisee.
HIlo halipingiki usemalo.
Kiufupi ni wanawake ku play victim.
Labda nikuulize maswali matatu:
1)Hivi ni sahihi mwanamke akipata mtoto wa nje mwanaume kwake afunike kombe mwanaharam apite(kitanda hakizai haram),wakati huo huo mwanaume akizaa nje ya ndoa anaitwa MZINZI,MVUNJA FAMILIA NA MLETA MARADHI NA MALAYA??Je hii ni sahihi??
2)Kuna age or era yeyote wanaume tuliwahi play victim na kuwa wazandiki?
3)Je ni sahihi kumhukumu mwanaume directly kwa kusikia malalamiko ya mwanamke pasi na kuthibitisha??

Kama ni 50/50 haki itendeke kote na wanawake waache ku play victim.
Mwanaume mfumo dume wake ulikua directly na easy to tackle,ila mwanamke sawa na sumu baridi yani anakufanyia unyama akidai kuwa ni haki.

Hii mada ya leo imenifanya niongee kimihemko sana kwasababu hawa viumbe hawa aisee basi tuu.
Wanaweza kukuharibia maisha kwa namna ambayo huwenda usiinuke tena maisha yako yote.
 
Mkuu hivi kwa kuangalia uhalisia tu toka enzi na enzi kati ya mwanaume na mwanamke ni nani anayetumia nafasi aliyopewa vibaya, je siyo ninyi mnaowasaliti na kuwanyanyasa wake zenu kwa kisingizio kwamba mnawahudumia na huku ikionekana ni kawaida kwa wanaume, hebu soma tena ulichoandika hivi leo hii mwanaume na mwanamke wakichepuka au wakichelewa kuingia kwenye ndoa au wakiachika kwenye ndoa au wakipata watoto nje ya ndoa nani anayeitwa malaya
Hujapata point yangu.
Mwanaume akifanya kosa huwa directly hufikiwa na kushurutishwa.
Mwanaume akipata mtoto nje ya ndoa kipindi ana mke ataitwa malaya,sio muaminifu tena hata ukimshitaki na kuhukumiwa anaweza hukumiwa.
Ila KWANINI mwanamke akizaa nje amafanyiwa cover up na kudai kitanda hakizai haram??
Kwanini hii kitanda hakizai haram na mwanaume asitafutiwe favor??
Mwanamke kulea mtoto wa mwanamke mwenzake unyanyasaji na dharau ila mwanaume kulea mtoto wa mwanaume mwenzake sawa??

Mwanaume toka enzi sawa katumia mabavu ila kawajibika kwa kila maamuzi.
Ila mwanamke anajitegeza sanaaa.Hayajakukuta bro ndio maana unaongea.Violence ya mwanaume inaeleweka mabavu ama utumiaji nguvu.Ila mwanamke anaweza kukufanyia jambo ukilitafakari unajiuliza awali yake nini.
Unaweza kuniambia bro sababu ya Mke wa Hakimi kudai talaka na kutaka mgawanyo wa mali pasu kwa pasu ilhali kamkuta Hakimi mali kajitafutia mwenyewe????
Hakuna sehemu mwanaume anakosa kuwajibishwa kwa makosa yake,ila cha ajabu mwanamke akitenda makosa ya mfanano huo HAWAJIBISHWI BALI ANATAFUTIWA HURUMA.
 
Mkuu unaenda nje ya mada aisee.
HIlo halipingiki usemalo.
Kiufupi ni wanawake ku play victim.
Labda nikuulize maswali matatu:
1)Hivi ni sahihi mwanamke akipata mtoto wa nje mwanaume kwake afunike kombe mwanaharam apite(kitanda hakizai haram),wakati huo huo mwanaume akizaa nje ya ndoa anaitwa MZINZI,MVUNJA FAMILIA NA MLETA MARADHI NA MALAYA??Je hii ni sahihi??
2)Kuna age or era yeyote wanaume tuliwahi play victim na kuwa wazandiki?
3)Je ni sahihi kumhukumu mwanaume directly kwa kusikia malalamiko ya mwanamke pasi na kuthibitisha??

Kama ni 50/50 haki itendeke kote na wanawake waache ku play victim.
Mwanaume mfumo dume wake ulikua directly na easy to tackle,ila mwanamke sawa na sumu baridi yani anakufanyia unyama akidai kuwa ni haki.

Hii mada ya leo imenifanya niongee kimihemko sana kwasababu hawa viumbe hawa aisee basi tuu.
Wanaweza kukuharibia maisha kwa namna ambayo huwenda usiinuke tena maisha yako yote.

Hujapata point yangu.
Mwanaume akifanya kosa huwa directly hufikiwa na kushurutishwa.
Mwanaume akipata mtoto nje ya ndoa kipindi ana mke ataitwa malaya,sio muaminifu tena hata ukimshitaki na kuhukumiwa anaweza hukumiwa.
Ila KWANINI mwanamke akizaa nje amafanyiwa cover up na kudai kitanda hakizai haram??
Kwanini hii kitanda hakizai haram na mwanaume asitafutiwe favor??
Mwanamke kulea mtoto wa mwanamke mwenzake unyanyasaji na dharau ila mwanaume kulea mtoto wa mwanaume mwenzake sawa??

Mwanaume toka enzi sawa katumia mabavu ila kawajibika kwa kila maamuzi.
Ila mwanamke anajitegeza sanaaa.Hayajakukuta bro ndio maana unaongea.Violence ya mwanaume inaeleweka mabavu ama utumiaji nguvu.Ila mwanamke anaweza kukufanyia jambo ukilitafakari unajiuliza awali yake nini.
Unaweza kuniambia bro sababu ya Mke wa Hakimi kudai talaka na kutaka mgawanyo wa mali pasu kwa pasu ilhali kamkuta Hakimi mali kajitafutia mwenyewe????
Hakuna sehemu mwanaume anakosa kuwajibishwa kwa makosa yake,ila cha ajabu mwanamke akitenda makosa ya mfanano huo HAWAJIBISHWI BALI ANATAFUTIWA HURUMA.
Mkuu mimi hata sielewi unaishi kwenye jamii gani hiyo ambayo kwenye mahusiano au ndoa mwanaume akifanya kosa anatukanwa ila mwanamke anapendelewa maana kwenye jamii za kiafrika vice versa ndio uhalisia

Je ni jamii hii hii ambayo mwanamke anaitwa single mother na kudhalilishwa na kuambiwa kuwa hafai kuolewa ila mwanaume haitwi single father na kwake ni sawa tu kuoa

Je ni jamii hii hii ambayo mwanaume kuwa na wanawake wengi inaonekana kawaida na tena unaambiwa kabisa hakuna mwanaume malaya ila mwanamke akiwa na wanaume wengi ndio malaya

Je ni jamii hii hii ambayo mwanaume akichelewa kuoa hata akifika miaka 50 hakuna anayemtukana ila mwanamke akifika miaka 30 tu bila ndoa anaonekana katumika sana na hafai kuolewa kabisa

Je ni jamii hii hii ambayo mwanaume na mwanamke wakiachana kwenye ndoa siku zote anayeonekana mbaya na ndio chanzo ni mwanamke huku mwanaume akionekana innocent

Wewe unasema wanaume hawajawahi kuplay victims kwani hiki mnachokifanya kwenye dunia ya leo ni nini kama siyo kuplay victims, siku hizi wanaume mnalalamika sana asee yani ni kama vile mmepokea mic kutoka kwa wanawake, na sasa ni zamu yenu ya kuchana mistari ya malalamiko

Hayo unayoyalalamikia wewe kwamba wanawake wanatetewa kuzaa nje ni mawazo tu ya watu binafsi siyo sheria kusema kwamba ni lazima mtu aifuate, ukiamua unaweza ukamuacha huyo mkeo na hakuna atakayekufanya kitu mbona watu wanaachana kila siku kwa sababu kama hizo, ni kama tu baadhi ya watu wanavyotetea wanaume kuchepuka na wengi husema kumuacha mume sababu ya kuchepuka ni sawa na kukimbia nchi sababu ya mvua
 
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.

Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.

Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.

Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.

Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.

Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.

Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.

Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.

Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.

Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.

Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.

Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.

Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.

Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Una akili sana, tuunde chama cha kimataifa cha kutetea haki za wanaume.
 
Wala hakuna anayewadhalilisha ila ni inferiority complex yenu au naweza kusema mnajidhalilisha wenyewe tu yani haiwezekani kosa ni lako halafu unayemkosea akichoka kuvumilia unamlaumu, kama unajua kusoma alama za nyakati basi utagundua njia wanayoitumia wanawake kujibu mapigo ni kutafuta namna ya kuwa na furaha bila ndoa, sasa ninyi mtakapojibu mapigo sijajua mtakuwa mnamkomoa nani hapo maana zile fimbo zote mlizokuwa mnawachapia wanawake taratibu wameanza kuzikata
Sasa kutafuta furaha kukataa ndoa ?!
Maana yake una enda kinyume na matakwa ya Mwenyezi Mungu aliye kuumba. Sijui kama ume elewa. Unaweza vipi tafuta furaha kwa kukataa ndoa ebu nijibu hapo ?!
 
Tatizo imeshaonekana haiwezekani kusikiliza pande zote mbili kwa sababu kila upande unataka lake, lakini ukiangalia hali halisi kuna upande ambao ni kweli unaonewa na kuna upande ambao wenyewe unaona ni haki yao kufanya makosa, kikubwa ni kutenda haki na kuhakikisha kila upande unakuwa na furaha na siyo upande mmoja ulazimishwe kusacrifice furaha yake kwa ajili ya furaha ya upande mwingine
"Tatizo imeshaonekana haiwezekani kusikiliza pande zote mbili."
Hivi ndivyo jinsi ulivyo andika, kwamba haiwezekani.

Sasa mbona hapa chini umenijibu tena kwamba lazima kutenda haki pande zote mbili

"kikubwa ni kutenda haki na kuhakikisha kila upande unakuwa na furaha na siyo upande mmoja ulazimishwe kusacrifice furaha yake kwa ajili ya furaha ya upande mwingine"
 
Back
Top Bottom