Mifumo ya malipo Tanzania inaongeza watu kuwa wavivu makazini

Mifumo ya malipo Tanzania inaongeza watu kuwa wavivu makazini

sindano butu

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
518
Reaction score
181
Mtu anaenda safari analipwa 250000 kwa siku lakini mtu anayekesha na kazi mahali fulani analipwa chini ya 60000. Kwa hiyo mtu anayesafiri sana ndo anafanya kazi na sijui serikali ya mama samia imechukua kigezo gani.
Kwa kweli hili halijakaa sawa maana linaendekeza nchi kuwa na wavivu wanaopenda kusafiri kikazi kuliko kukaa kutulia kufanya kazi.
Matokeo yake watu watasusia kufanya kazi na kutafuta vinafasi fulani kuweza kupata hicho kiasi kikubwa.


MAONI KWA SERIKALI ingeongeza wanaofanya kazi muda wa ziada walipwe karibu sawa na wanaoenda safarini maana matokeo yake sehemu mbalimbali ambako ni mahospitali , mashule itachangia kupoteza wataalamu either wataalamu kwenda shuleni au kuhama. Sio siri upungufu wa wataalamu sehemu mbalimbali imechangia kudhorola kwa huduma na kuwa mbovu.

Serikali ikae itafakari na kuwaza kwa upana na sio kuwaza kwa sehemu ndogo. Hili tatizo la upungufu wa watumishi sehemu mbalimbali limechangiwa na mfumo wa malipo ambao unamnyonga anayefanya sana kazi.

Naelewa serikali imeweka mfumo wa mtu anayesafiri alipwe kiasi kikubwa sababu either inawagusa wao viongozi kwa faida binafsi au kwa faida ya ndugu zao ambao wako wameajiliwa kwenye taasisi mbalimbali.
 
Una hoja nzuri sana mkuu. Hiyo motisha ya posho ni kwa wao tu wenye LSC ( leaders salary scale ) na sio watumishi wa ngazi za chini kabisa kama makarani, walimu, watendaji ya vijiji nk. Bora hata manesi wao watapata extra duty.

Mimi kama Mwalimu hili nipate hizo posho sijui litokee jambo gani ??

Madhara ya hii kitu ni watu wa chini wengi kuacha kazi au kwenda kusoma ili na wao wafike huko kunono.

NAIMANI NIA NI NZURI ILA IPO KIMATABAKA ZAIDI.
 
Ndio maana enzi za mr role model wetu mawaziri walikuwa wanapishana angani kumbe kuna kujikipa kinono.

Sasa tutarajie safari nyingi feki na halali ili mradi tu per diem iingie tena kwa kujimegea
 
Una hoja nzuri sana mkuu. Hiyo motisha ya posho ni kwa wao tu wenye LSC ( leaders salary scale ) na sio watumishi wa ngazi za chini kabisa kama makarani, walimu, watendaji ya vijiji nk. Bora hata manesi wao watapata extra duty.

Mimi kama Mwalimu hili nipate hizo posho sijui litokee jambo gani ??

Madhara ya hii kitu ni watu wa chini wengi kuacha kazi au kwenda kusoma ili na wao wafike huko kunono.

NAIMANI NIA NI NZURI ILA IPO KIMATABAKA ZAIDI.
Na ajabu utasikia wabunge wakilia hawana watumishi mbalimbali. Kwa nini serikali isiamke ikaboresha masilahi ya watumishi wote ili iondoe tamaa ya watumishi kuacha kazi, kwenda shule, kuhama kwa vigezo maZingira magumu.
 
Una hoja nzuri sana mkuu. Hiyo motisha ya posho ni kwa wao tu wenye LSC ( leaders salary scale ) na sio watumishi wa ngazi za chini kabisa kama makarani, walimu, watendaji ya vijiji nk. Bora hata manesi wao watapata extra duty.

Mimi kama Mwalimu hili nipate hizo posho sijui litokee jambo gani ??

Madhara ya hii kitu ni watu wa chini wengi kuacha kazi au kwenda kusoma ili na wao wafike huko kunono.

NAIMANI NIA NI NZURI ILA IPO KIMATABAKA ZAIDI.
Kweli kabisa hizi posho za juu hazina mantiki yoyote
 
Mtu anaenda safari analipwa 250000 kwa siku lakini mtu anayekesha na kazi mahali fulani analipwa chini ya 60000. Kwa hiyo mtu anayesafiri sana ndo anafanya kazi na sijui serikali ya mama samia imechukua kigezo gani.
Kwa kweli hili halijakaa sawa maana linaendekeza nchi kuwa na wavivu wanaopenda kusafiri kikazi kuliko kukaa kutulia kufanya kazi.
Matokeo yake watu watasusia kufanya kazi na kutafuta vinafasi fulani kuweza kupata hicho kiasi kikubwa.


MAONI KWA SERIKALI ingeongeza wanaofanya kazi muda wa ziada walipwe karibu sawa na wanaoenda safarini maana matokeo yake sehemu mbalimbali ambako ni mahospitali , mashule itachangia kupoteza wataalamu either wataalamu kwenda shuleni au kuhama. Sio siri upungufu wa wataalamu sehemu mbalimbali imechangia kudhorola kwa huduma na kuwa mbovu.

Serikali ikae itafakari na kuwaza kwa upana na sio kuwaza kwa sehemu ndogo. Hili tatizo la upungufu wa watumishi sehemu mbalimbali limechangiwa na mfumo wa malipo ambao unamnyonga anayefanya sana kazi.

Naelewa serikali imeweka mfumo wa mtu anayesafiri alipwe kiasi kikubwa sababu either inawagusa wao viongozi kwa faida binafsi au kwa faida ya ndugu zao ambao wako wameajiliwa kwenye taasisi mbalimbali.
Allowance imelenga kumsaidia mfanyakazi kujigharamia chakula, malazi, usafiri, mawasiliano, networking, motivation pamoja na dharura zitakazojitokeza.

Ukipewa per diem ya Tsh 250,000 uende Arusha au utoke mkoani uje Dar es salaam utajilipia malazi Tsh 40,000; nauli Tsh 50,000; usafiri wa ndani ya Dar es salaam au Arusha Tsh 50,000; networking au evening tea na wenzako Tsh 50,000; Mawasiliano Tsh 10,000; Chakula Tsh 30,000 na kadhalika.

Kwa kweli per diem sio pesa nyingi, sema tu wengi hamtumii kama mlivyopangiwa badala yake mnajibanabana guest House za Tsh 10,000 chakula cha Tsh 3,000 daladala Tsh 500 nk hivyo kuona pesa ya per diem ni nyingi.

Walioweka hizo bajeti wana maana zao. Kama umependa pesa basi zitafute utazipata na kuzifurahia..... 👍👍👍
 
Una hoja nzuri sana mkuu. Hiyo motisha ya posho ni kwa wao tu wenye LSC ( leaders salary scale ) na sio watumishi wa ngazi za chini kabisa kama makarani, walimu, watendaji ya vijiji nk. Bora hata manesi wao watapata extra duty.

Mimi kama Mwalimu hili nipate hizo posho sijui litokee jambo gani ??

Madhara ya hii kitu ni watu wa chini wengi kuacha kazi au kwenda kusoma ili na wao wafike huko kunono.

NAIMANI NIA NI NZURI ILA IPO KIMATABAKA ZAIDI.
Mwenye Kingi ameongezewa Tena
 
Allowance imelenga kumsaidia mfanyakazi kujigharamia chakula, malazi, usafiri, mawasiliano, networking, motivation pamoja na dharura zitakazojitokeza.

Ukipewa per diem ya Tsh 250,000 uende Arusha au utoke mkoani uje Dar es salaam utajilipia malazi Tsh 40,000; nauli Tsh 50,000; usafiri wa ndani ya Dar es salaam au Arusha Tsh 50,000; networking au evening tea na wenzako Tsh 50,000; Mawasiliano Tsh 10,000; Chakula Tsh 30,000 na kadhalika.

Kwa kweli per diem sio pesa nyingi, sema tu wengi hamtumii kama mlivyopangiwa badala yake mnajibanabana guest House za Tsh 10,000 chakula cha Tsh 3,000 daladala Tsh 500 nk hivyo kuona pesa ya per diem ni nyingi.

Walioweka hizo bajeti wana maana zao. Kama umependa pesa basi zitafute utazipata na kuzifurahia..... 👍👍👍
Mkuu najua unawatetea utakuwa ni mmoja wao hela wanayolipwa ni hela nyingi sana maana huwa wanalipwa na hela ya nauli au mafuta ambayo nitofauti na hiyo per diem. 250000 ni too much maana ukipiga mahesabu mpaka chakula huwa wanapewa bure.

Mimi lengo na hoja ni serikali ikae itafakari na kuwakumbuka hawa ambao wako mazingira magumu na hawana access ya safari kikazi ila unakuta wanapiga sana kazi na kudai overtime.


Hivi kweli mtu alipwe 30000 amekesha usiku kucha anafanya kazi na mtu ambaye anaenda safarini siku moja tuuh analipwa mara 2 ambaye jumla 500000.

Huu ni unyonyaji na njimaana nimeweka hoja mfumo wa malipo unawanyonya watu ambao wanateseka kufanya kazi na kuwapendelea viongozi
 
Mkuu najua unawatetea utakuwa ni mmoja wao hela wanayolipwa ni hela nyingi sana maana huwa wanalipwa na hela ya nauli au mafuta ambayo nitofauti na hiyo per diem. 250000 ni too much maana ukipiga mahesabu mpaka chakula huwa wanapewa bure.

Mimi lengo na hoja ni serikali ikae itafakari na kuwakumbuka hawa ambao wako mazingira magumu na hawana access ya safari kikazi ila unakuta wanapiga sana kazi na kudai overtime.


Hivi kweli mtu alipwe 30000 amekesha usiku kucha anafanya kazi na mtu ambaye anaenda safarini siku moja tuuh analipwa mara 2 ambaye jumla 500000.

Huu ni unyonyaji na njimaana nimeweka hoja mfumo wa malipo unawanyonya watu ambao wanateseka kufanya kazi na kuwapendelea viongozi
Wewe, hayo sio malipo bali ni pesa ya kujikimu ukiwa nje ya kituo chako cha kazi 🤣🤣🤣. By the way hata wewe ukijiendeleza na kushika nyadhifa utapata hizo stahiki. Kwa hiyo wewe hangaika kupanda na sio kuwashusha walio juu. Up your game 👍👍👍
 
Back
Top Bottom