Mifumo ya Rada ya Iran ilidukuliwa kabla ndege za Israel kufika, ndio maana walijipigia walivyotaka na kugeuza bila tatizo

Mifumo ya Rada ya Iran ilidukuliwa kabla ndege za Israel kufika, ndio maana walijipigia walivyotaka na kugeuza bila tatizo

Ila ukweli ck zote unauma.

Ila ukweli ck zote unauma.

Bila shaka imekuingia vilivyo:

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg


Kwamba, imeenda hiyo!
 
Jifunze mijadala! Matusi ni dalili ya ulemavu wa uelewa.
Israel ilipopigwa tulionyeshwa vipandepande vya makombora ya iran yaliyopanguliwa na lile lililopiga mita 500 kandobya mossad headquarters tuonyeshwa na lishimo tuliliona, haya watupe ya iran Iliyopangua tuonyeshe vipandepande vya makombora ya Israel yaliopanguliwa
 
Israel ilipopigwa tulionyeshwa vipandepande vya makombora ya iran yaliyopanguliwa na lile lililopiga mita 500 kandobya mossad headquarters tuonyeshwa na lishimo tuliliona, haya watupe ya iran Iliyopangua tuonyeshe vipandepande vya makombora ya Israel yaliopanguliwa
Let's wait and see.
 
Na wewe ulivyo popoma umeletewa video Israel akipigwa ukajua ndio Iran anapigwa

Makondoo kazi mnayo
Sasa mume aletewe picha ya mkewe akikunjwa huko gest halafu mume huyo huyo anakuja kuisifia .ina maana hiyo video hawaifahama jamani
 
Back
Top Bottom