Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Ila ukweli ck zote unauma.Bila shaka mdukuzi mkuu ukukuwa hapo sokoni Gikomba ukiuza nyanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ukweli ck zote unauma.Bila shaka mdukuzi mkuu ukukuwa hapo sokoni Gikomba ukiuza nyanya
Ila ukweli ck zote unauma.
Israel ilipopigwa tulionyeshwa vipandepande vya makombora ya iran yaliyopanguliwa na lile lililopiga mita 500 kandobya mossad headquarters tuonyeshwa na lishimo tuliliona, haya watupe ya iran Iliyopangua tuonyeshe vipandepande vya makombora ya Israel yaliopanguliwaJifunze mijadala! Matusi ni dalili ya ulemavu wa uelewa.
Let's wait and see.Israel ilipopigwa tulionyeshwa vipandepande vya makombora ya iran yaliyopanguliwa na lile lililopiga mita 500 kandobya mossad headquarters tuonyeshwa na lishimo tuliliona, haya watupe ya iran Iliyopangua tuonyeshe vipandepande vya makombora ya Israel yaliopanguliwa
Sikujua huyu jamaa M255 ni mjinga kiasi hikiNakupa video kabisa mlivyopokea kipigo, huyu Iran ndiye alikua tegemeo lenu, sasa hamna lingine, mtawezaje kufanikisha lile agizo mliloachiwa kwenye maandiko la kufuta Wayahudi
View attachment 3137463
Sasa mume aletewe picha ya mkewe akikunjwa huko gest halafu mume huyo huyo anakuja kuisifia .ina maana hiyo video hawaifahama jamaniNa wewe ulivyo popoma umeletewa video Israel akipigwa ukajua ndio Iran anapigwa
Makondoo kazi mnayo