Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Yani AA guns iwe ina speed ya namna ile kwenye interception na kwa umbali ule!??
Mkuu taratibu bana!
Embu katizame ule umbali na kasi ya ule udunguaji na umbali wake.
Halafu Iran walivyo wahuni walikua hawadungui mbali sana walikua wanazitegea zikikaribia zaidi karibu ndio zinapigwa faster kama 30 seconds hivi
 
Sikiliza mwenyewe the extent ya uharibifu uliotokea Iran kufuatia shambulizi la Israel. Take note that, hiyo ni kama trailer tu. Movie yenyewe yaja mara iran wako watakapo jichanganya tena kurusha makombora.
I can see UTAWALA WA MAAYATOLLAH HUO UNAENDA KUPOTEA. Wewe ngoja
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa hiyo ukisikiliza mara million moja ndo maongezi yanakuwa ya kweli au mtu anapiga blaa blaa tumepiga tumepiga wakiulizwa mlichopiga hamkionyeshi
 
Imeshangaza kwa kuliwa kwa makamanda wa irani wa 4 na raia 7. Endeleeni kujitia dola kisha kunusa
 
Huo mfumo wa ulinzi ulikuwa unafanya nini wakati ndege zinatamba ndani ya anga la Iran? Nimesikiliza mahali nokamvulia kofta Myahudi. Kumbe walirusha kwanza makombora feki mifumo ya Iran ikawa bize kutungua maboya na ndege zikaingia na kupiga maeneo ya kijeshi!
 
Hio ni Simulation usitupange Mzee hivyo vigemu vya mchongo hata wewe unaweza kutengeneza na kuviweka X
 
Hahaha kiiiichekesho kichekesho kumtaza Chura kiiiichekesho kichekesho kumtaza Chura
 
Sema Israel na Iran hawadharaurian kama tunavyowaza.Ila mwenye data za kutosho za adui yake yamkini atashinda.
Wako pale angani na aridhini,utawala wa khomein
unatolewa soon
Kwanini?
Ni kufadhili haya makundi ya kigaidi.
kesho tuate results.
.
 
 
 
Hawa jamaa watu propaganda Sana je tuna uhakika gani kwamba Hawa jamaa walienda Iran kwa kutumia ndege 100 mwenye ushahidi tagadhal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…