Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

1000293915.jpg
 
Yote tisa ile Air defence iko Fasta ajabu sio iron donne ving'ora viingi makelele tu. Kitu cha muajemi kinafanya intercept za double double bila kelele hapo mzayuni keshaelewa alizani pako uchi kama gaza. Inabidi arudi darasani kusoma notisi upya na babake, kakiri leo ajawahi kuona system kama ile
1000293915.jpg
 
Wewe ni
Nani kasema zimetumika ndege 100?
Nilikua nadhani wewe ni mbobevu wa masuala ya kijeshi i was wrong kumbe ni Muangaliaji movie tu huna unalojua ,haufatilii taarifa unangoja zipostiwe humu JF .

Israel imetumia 100 fighter jet kushambilia Iran kupitia inchi jiran zake (zilitoa permission kutumika anga zao ) haikuingia ndani ya anga la Iran, ndege 100 ni airstrike kubwa haiitaji kukongaja siku mbili wala satellite images kujua madhara, Israel imefeli maandalizi makubwa impact zero ..


View: https://youtu.be/SGlkJERPmwo?si=qUyZUjNrUhp-qdZc
 
Usiku wa leo, jeshi la anga la Israel lilifanya mashambulio kwenye maeneo mbalimbali hasa maeneo ya kijeshi yakiwa ndiyo lengo kuu.Zaidi ya ndege mia moja (100) zinadaiwa kutumika kwenye mashambulio hayo!

Mara baada ya mashambulizi hayo kumalizika,taarifa mbalimbali zimeanza kutoka kupitia vyanzo mbalimbali!

Ukweli nguvu iliyotumika na madhara yake ni tofauti na ilivyotarajiwa na wengi! Madhara ni madogo mno kulinganisha maandalizi na nguvu kubwa iliyotumika! Hii imewashangaza zaidi wataalamu wa masuala ya kijeshi!

Iran ilisema mfumo wake wa ulinzi wa anga ulifanikiwa kukabiliana na mashambulizi ya Israeli kwenye maeneo yake ya kijeshi katika majimbo ya Tehran, Khuzestan, na Ilam, na kusababisha "uharibifu mdogo" katika baadhi ya maeneo.



View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1850047504559091900

Wenyewe wametoa visingizio kama hiki kimoja wapo!

Afisa mwandamizi wa Marekani alisema kuwa Rais Joe Biden na timu yake ya usalama wamekuwa wakishirikiana na Waisraeli katika wiki za hivi karibuni kuhimiza Israel kufanya mashambulizi yenye hatari ndogo kwa raia na hicho ndicho hasa kilichotokea jioni ya leo.

Source: Reuters

Kuitegemea Iran ikiri kuwa kulikuwa na madhara kutokana na haya mashambulizi ni sawa na "kutegemea serikali ya chura kiziwi ikiri kuwa Tanzagiza Kuna utekaji na uuaji"
 
Kwa kweli Defensive systems za Iran zimefanyakazi kubwa!
Mifumo ime engage na missiles za Israel kikamilifu.
Makombora mengi yamedunguliwa!
Lakini hata hivyo airspace ya Iran iko wazi! Kama ndege za Israel zimeingia na kutoka bado Iran haiwezi kujivuna sana.
Ndege hazikuingia ndani ya Iran ninyi watu.
Zilipiga kutumia anga la Iraq.
 
Waambie Iran waonyeshe wreckages za hayo makombora ya Israel. Huwezi pata matokeo sasa hivi subiri siku mbili au tatu tuone satellite images maana Israel imeshambulia military targets na hakuna raia au waandishi wa habari wanaweza rekodi.

Iran inazuia missiles kwa AA guns kama tupo vita ya pili ya dunia. Iran hawana mfumo wa kuzuia makombora sawa hilo tunajua, vipi hizo ndege za Israel walizodungua ziko wapi?
Usijiaibishe mkuu haifai.
Iran wana Bavar-373 missile interceptors.
Sasa wewe unakuja kutudanganya kuwa wanatumia AA guns!?
Hata aibu huoni mkuu!?
 
Usijiaibishe mkuu haifai.
Iran wana Bavar-373 missile interceptors.
Sasa wewe unakuja kutudanganya kuwa wanatumia AA guns!?
Hata aibu huoni mkuu!?
Video clip za AA guns anga la Iran hujaziona?

Bavar-373 wana batteries ngapi na Iran ina ukubwa gani? Au unahisi ukishakuwa na AD system chache tiyari umetosheleza mahitaji ya nchi.
Mpaka leo Urusi haijawahi jitosheleza na AD systems na inazo maelfu kuliko nchi yoyote duniani na inaunda tokea miaka ya 1970s uko, we unaisema Bavar na vimifumo vingine vya miaka ya juzi.
 
Tupe ushahidi

17:36 GMT

Israeli warplanes have
conducted attacks on Iran from Iraqi airspace, according to Iran’s mission to the United Nations. The mission has gone on to accuse the United States of being complicit in the incident.

“Iraqi airspace is under the occupation, command and control of the US military. Conclusion: The US complicity in this crime is certain,” the Iran UN mission says in a post on X.

Iran says Israeli jets struck Iran from Iraqi airspace, US therefore complicit​



Iranian Military Claims Israel Used Iraqi Airspace To Fire Missiles At Iran Targets​



 
Usiku wa leo, jeshi la anga la Israel lilifanya mashambulio kwenye maeneo mbalimbali hasa maeneo ya kijeshi yakiwa ndiyo lengo kuu.Zaidi ya ndege mia moja (100) zinadaiwa kutumika kwenye mashambulio hayo!

Mara baada ya mashambulizi hayo kumalizika,taarifa mbalimbali zimeanza kutoka kupitia vyanzo mbalimbali!

Ukweli nguvu iliyotumika na madhara yake ni tofauti na ilivyotarajiwa na wengi! Madhara ni madogo mno kulinganisha maandalizi na nguvu kubwa iliyotumika! Hii imewashangaza zaidi wataalamu wa masuala ya kijeshi!

Iran ilisema mfumo wake wa ulinzi wa anga ulifanikiwa kukabiliana na mashambulizi ya Israeli kwenye maeneo yake ya kijeshi katika majimbo ya Tehran, Khuzestan, na Ilam, na kusababisha "uharibifu mdogo" katika baadhi ya maeneo.



View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1850047504559091900

Wenyewe wametoa visingizio kama hiki kimoja wapo!

Afisa mwandamizi wa Marekani alisema kuwa Rais Joe Biden na timu yake ya usalama wamekuwa wakishirikiana na Waisraeli katika wiki za hivi karibuni kuhimiza Israel kufanya mashambulizi yenye hatari ndogo kwa raia na hicho ndicho hasa kilichotokea jioni ya leo.

Source: Reuters

Kwanza Haujavaa hijab wewe.
Sasa ni kwambie kitu? Wala haihitaji Degree ya juu kutambua kuwa Israel imefanikiwa kwenye hilo shambulizi. Ndege zote zimerudi salama. Ni suala la muda tu, maayatollah wako siku zao are numbered. Na walivyowajinga watajichanganya tu, baada ya uchaguzi wa USA kumalizika na hapo ndipo watamaliziwa
 
Wala haihitaji Degree ya juu kutambua kuwa Israel imefanikiwa kwenye hilo shambulizi. Ndege zote zimerudi salama.
Sasa ulitegemea zikiwa nje ya anga la Iran zisirudi salama?? Au unaamini ziliingia kwenye anga la Iran?? Punguza mahaba na tumia akili yako vizuri hata kama unayo ndogo!

Iranian Military Claims Israel Used Iraqi Airspace To Fire Missiles At Iran Targets |​



Israeli warplanes have conducted attacks on Iran from Iraqi airspace, according to Iran’s mission to the United Nations.

 
Wewe ni

Nilikua nadhani wewe ni mbobevu wa masuala ya kijeshi i was wrong kumbe ni Muangaliaji movie tu huna unalojua ,haufatilii taarifa unangoja zipostiwe humu JF .

Israel imetumia 100 fighter jet kushambilia Iran kupitia inchi jiran zake (zilitoa permission kutumika anga zao ) haikuingia ndani ya anga la Iran, ndege 100 ni airstrike kubwa haiitaji kukongaja siku mbili wala satellite images kujua madhara, Israel imefeli maandalizi makubwa impact zero ..


View: https://youtu.be/SGlkJERPmwo?si=qUyZUjNrUhp-qdZc

Naunga mkono hoja huyo mchafuzi anangojea satellite images eti kujua madhara ya ndege mia kwanza anajua ndege mia idadi yake israhell bure kabisa
 
Video clip za AA guns anga la Iran hujaziona?

Bavar-373 wana batteries ngapi na Iran ina ukubwa gani? Au unahisi ukishakuwa na AD system chache tiyari umetosheleza mahitaji ya nchi.
Mpaka leo Urusi haijawahi jitosheleza na AD systems na inazo maelfu kuliko nchi yoyote duniani na inaunda tokea miaka ya 1970s uko, we unaisema Bavar na vimifumo vingine vya miaka ya juzi.
Hakuna anga litakalo toshewa na mfumo wa anga hasa kama Russia kulingana na ukubwa wake vipi images za satellite hazijapatikana bado
 
Back
Top Bottom