GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ndege zimeingia anga ipi mkuuNa hapo ndipo wengi wasichokielewa hakuna kitu kibaya katika vita Kama mtu kuingiza ndege kwenye anga yako na akatoka na ndege zake zote zikiwa salama. Ni mtu aliyedharau mfumo wako wa anga
Bob hii ilikua zile balistic missile za iranHaya madude yanashuka bila kuzuiwa na chochote....
Unadanganywa wewe 🤣Yote tisa ile Air defence iko Fasta ajabu sio iron donne ving'ora viingi makelele tu. Kitu cha muajemi kinafanya intercept za double double bila kelele hapo mzayuni keshaelewa alizani pako uchi kama gaza. Inabidi arudi darasani kusoma notisi upya na babake, lakiri leo ajawahi kuona system kama ile
Tehran ndege 140Hizo ndege zimeingia anga ipi mkuu
Hakuna ndege imeingia anga la Iran, wame lunch kutokea km 100 katika boda ya iraqHizo ndege zimeingia anga ipi mkuu
Kama nilivyo pokeaPole kale urojo na tende za msaada toka Iran maana dah umemtetea kweli kweli.
Hapa inamake senseKama nilivyo pokea
Naibu Kamanda wa Jeshi la Wanahewa la Russia, Meja Jenerali Anatoly Konovalov Ndege za Israel zilizoshiriki katika shambulizi dhidi ya Iran zinakadiriwa kuwa takriban ndege 25 za kivita, zikiwemo ndege 10 za kivita za Marekani zilizotoa msongamano wa rada za Iran ni aina mpya ya ndege inayojulikana kama ndege wa kivita na msongamano wa kielektroniki wa EC-37B Compass Call.
Syria Kuna kambi ya marekani inayolinda kampuni ya marekani iibayo mafuta Syria,na Iraq ni failed state,kila mtu anafanya lake,kukiwa na base za USANa inakuwaje waarab wanaruhusu anga lao kutumika na myahudi? pamoja na kuombwa sana tena kwa huruma na waziri wa mambo ya nchi za nje Irani kuwa wasimruhusu myahudi lakini bado wamemruhusu?
Mhh huyo anatory wa bongo kakundanganya nawe umeingia king kuwa ni mrusi😂🤣😁😄😀😆Kama nilivyo pokea
Naibu Kamanda wa Jeshi la Wanahewa la Russia, Meja Jenerali Anatoly Konovalov Ndege za Israel zilizoshiriki katika shambulizi dhidi ya Iran zinakadiriwa kuwa takriban ndege 25 za kivita, zikiwemo ndege 10 za kivita za Marekani zilizotoa msongamano wa rada za Iran ni aina mpya ya ndege inayojulikana kama ndege wa kivita na msongamano wa kielektroniki wa EC-37B Compass Call.