Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Kwa kweli Defensive systems za Iran zimefanyakazi kubwa!
Mifumo ime engage na missiles za Israel kikamilifu.
Makombora mengi yamedunguliwa!
Lakini hata hivyo airspace ya Iran iko wazi! Kama ndege za Israel zimeingia na kutoka bado Iran haiwezi kujivuna sana.
Na hapo ndipo wengi wasichokielewa hakuna kitu kibaya katika vita Kama mtu kuingiza ndege kwenye anga yako na akatoka na ndege zake zote zikiwa salama. Ni mtu aliyedharau mfumo wako wa anga
 
Daaaa mkenya kajivua nguo mbele zawatu yani kakosa picha ya kujifariji adi akachukue ile ya kobaz akimnyoosha mungu wao Israel daa ndio sisi tukiwaambia uyo jamaa yenu media ndio zinambeba amtuamini mm nilisema Israel atoweza kutupa kitu live kama cha Iran zaid itakuwa picha picha zq kusumbua akili tofaut na Iraa lkn japo tuwapongeze wameweza nawao kurusha viuma kutaaa unyonge aiwezekani mtu upigwe mala2 afu vikao vikao japo nayeye leo kafanya kitu. Ongela kwake Israel lkn T armata nini maoni yako mbona Iran alitupia viuma live lkn Israel katupia lkn sisi wamatumbi atukuona live na ww tena unatuambiwa adi tusubili siku 2 au 3 ili tujue kilichotea uhoni kuwa Iran kajizolea sifa dunian kiasi mfuasi wako w kibela kaambuka kutumia picha ya Iran kama ushaid hii inaleta maana kuwa ata wafuasi wa jehova muziki w ki Iran wameuwelewa ila ndio ushabiki tu😀😀😀😀😀😀
 
Wapewe mauwayao waIsrael jqpo nguvu awana kwa Iran lkn awakukubali kuonewa malq mbili nawao japo wamerusha kwa muonezi wao yani Israel imekuwa kamq hamas nguvu sina kama ww lkn sifi kibwege tutakufa na watu wako. leo Israel kashazika askari kibao kama hamas asingekomaa Israel asingejua saman ya vita vyake leo akiona makaburi yao vijana wao wamelala milele ndio akili zitawakaa sawa.
 
Usiku wa leo, jeshi la anga la Israel lilifanya mashambulio kwenye maeneo mbalimbali hasa maeneo ya kijeshi yakiwa ndiyo lengo kuu.Zaidi ya ndege mia moja (100) zinadaiwa kutumika kwenye mashambulio hayo!

Mara baada ya mashambulizi hayo kumalizika,taarifa mbalimbali zimeanza kutoka kupitia vyanzo mbalimbali!

Ukweli nguvu iliyotumika na madhara yake ni tofauti na ilivyotarajiwa na wengi! Madhara ni madogo mno kulinganisha maandalizi na nguvu kubwa iliyotumika! Hii imewashangaza zaidi wataalamu wa masuala ya kijeshi!

Iran ilisema mfumo wake wa ulinzi wa anga ulifanikiwa kukabiliana na mashambulizi ya Israeli kwenye maeneo yake ya kijeshi katika majimbo ya Tehran, Khuzestan, na Ilam, na kusababisha "uharibifu mdogo" katika baadhi ya maeneo.



View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1850047504559091900

Wenyewe wametoa visingizio kama hiki kimoja wapo!

Afisa mwandamizi wa Marekani alisema kuwa Rais Joe Biden na timu yake ya usalama wamekuwa wakishirikiana na Waisraeli katika wiki za hivi karibuni kuhimiza Israel kufanya mashambulizi yenye hatari ndogo kwa raia na hicho ndicho hasa kilichotokea jioni ya leo.

Source: Reuters

Mmeanza kubadili mada nyie kobasi..simlikuwa mnasema ooh mtoa roho hawezi kujaribu kuipiga Iran, cjui ninini haya Leo Iran katunguliwa kibinda mnaanza, tena ooh cjui madhara nimadogo lakini nawakikishia madhara nimakubwa kwaupande wa Iran silaha nyingi zimeteketea
 
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Umemaliza kila kitu Yesu wa mbinguni akubariki..
 
Mmeanza kubadili mada nyie kobasi..simlikuwa mnasema ooh mtoa roho hawezi kujaribu kuipiga Iran, cjui ninini haya Leo Iran katunguliwa kibinda mnaanza, tena ooh cjui madhara nimadogo lakini nawakikishia madhara nimakubwa kwaupande wa Iran silaha nyingi zimeteketea
Hao ni US,UK na Germany hawakuweza kuthubutu kabla Blinken hajafika telviv
 
Umesoma kilicho andikwa Israel alimuambia Iran wapi atapiga na hicho kibanda hakuna impact yeyote ile kapiga mabati juu 😄
pole mtumwa mweusi wa kipalestina toka makunduchi wairani watatu leo wamewahishwa kuzimu leo. Wairan wamekiri kupata madhara baada ya kipigo cha myahudi.
 
pole mtumwa mweusi wa kipalestina toka makunduchi wairani watatu leo wamewahishwa kuzimu leo. Wairan wamekiri kupata madhara baada ya kipigo cha myahudi.
Pole mtumwa mweusi wakiyahudi hakuna madhara yeyote zaid ya kibanda kimoja na yakufa kuna wengine wanasema hakuna aliye kufa ni Iran anataka kumchapa Israel kwa kisingizio kuwa wa Iran wamekufa .

Nchi 18 ziliambiwa zimpa tarifa Iran wapi Israel watapiga nchi mmoja wapo ni ya kiarabu Sa zinamzuia Iran asimpige Israel sababu kosa litakuwa lake kama kuna mtu kafa, sababu walisha ambiwa watoe askari zao.

Israel hakupiga Nuclear plant, visima vya mafuta, Air ports., Bandar au sehemu za Missiles au za kutengeneza silaha zingine.
 
Yote tisa ile Air defence iko Fasta ajabu sio iron donne ving'ora viingi makelele tu. Kitu cha muajemi kinafanya intercept za double double bila kelele hapo mzayuni keshaelewa alizani pako uchi kama gaza. Inabidi arudi darasani kusoma notisi upya na babake, kakiri leo ajawahi kuona system kama ile
 
Back
Top Bottom