mwanzo h
mwanzo kabisa alivouliwa nasralah iran walikanusha kwamba hajafa na yuko safe location...israel walivoconform iran wakanyamaza
Tofautisha kuthibitisha na kudai uhakika haupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanzo h
mwanzo kabisa alivouliwa nasralah iran walikanusha kwamba hajafa na yuko safe location...israel walivoconform iran wakanyamaza
Wasilazimisha kufanya conclusion wasubiri waoneView attachment 3135923
Si keshasema harudii Tena? Ya kuwa yale ya surprise, lethal and intense Kumbe zilikuwa mbwembwe kama za wale wa jangwani kariakoo tu?
Iran ana silaha za kugeuza miji yako magofuBila ushabiki, kuna namna mataifa ya west wanaiogopa Iran.
Na hapo ndipo wengi wasichokielewa hakuna kitu kibaya katika vita Kama mtu kuingiza ndege kwenye anga yako na akatoka na ndege zake zote zikiwa salama. Ni mtu aliyedharau mfumo wako wa angaKwa kweli Defensive systems za Iran zimefanyakazi kubwa!
Mifumo ime engage na missiles za Israel kikamilifu.
Makombora mengi yamedunguliwa!
Lakini hata hivyo airspace ya Iran iko wazi! Kama ndege za Israel zimeingia na kutoka bado Iran haiwezi kujivuna sana.
Mkuu urusi alishasema aliweka mfumo wa ulinzi wa anga kwenye vita ya Syria na bado Israel akapiga.Ndege 100 zipo kwenye anga lako na umeshindwa kudondosha hata moja na unasifia mifumo ya ulinzi ya Urusi
wanakua hawana uwezo wa kukanusha sababu israel wanakua wameshaconfirmTofautisha kuthibitisha na kudai uhakika haupo
Mkuu achana nao hao jamaa asili yao ni UONGO UZUSHI NA UNAFIKINani kasema zimetumika ndege 100?
Usiku wa leo, jeshi la anga la Israel lilifanya mashambulio kwenye maeneo mbalimbali hasa maeneo ya kijeshi yakiwa ndiyo lengo kuu.Zaidi ya ndege mia moja (100) zinadaiwa kutumika kwenye mashambulio hayo!
Mara baada ya mashambulizi hayo kumalizika,taarifa mbalimbali zimeanza kutoka kupitia vyanzo mbalimbali!
Ukweli nguvu iliyotumika na madhara yake ni tofauti na ilivyotarajiwa na wengi! Madhara ni madogo mno kulinganisha maandalizi na nguvu kubwa iliyotumika! Hii imewashangaza zaidi wataalamu wa masuala ya kijeshi!
Iran ilisema mfumo wake wa ulinzi wa anga ulifanikiwa kukabiliana na mashambulizi ya Israeli kwenye maeneo yake ya kijeshi katika majimbo ya Tehran, Khuzestan, na Ilam, na kusababisha "uharibifu mdogo" katika baadhi ya maeneo.
View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1850047504559091900
Wenyewe wametoa visingizio kama hiki kimoja wapo!
Afisa mwandamizi wa Marekani alisema kuwa Rais Joe Biden na timu yake ya usalama wamekuwa wakishirikiana na Waisraeli katika wiki za hivi karibuni kuhimiza Israel kufanya mashambulizi yenye hatari ndogo kwa raia na hicho ndicho hasa kilichotokea jioni ya leo.
Source: Reuters
Kufa unaweza kufa umelala sa ajabu ipo wapi wakifa, hivi wewe hauta kufa?Unathamini nzi kuliko wanajeshi waliopoteza Maisha? Wavaa kobazi mnashangaza sana
Umemaliza kila kitu Yesu wa mbinguni akubariki..Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Umesoma kilicho andikwa Israel alimuambia Iran wapi atapiga na hicho kibanda hakuna impact yeyote ile kapiga mabati juu 😄Jionee mwenyewe iran ilivyoharibiwa ewe mtumwa mweusi wa kipalestina wa makunduchi
View: https://x.com/AlarabyTV/status/1850069191380042175?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1850069191380042175%7Ctwgr%5E3f713819aef2ce35b77b8899abadc9f8970aa56b%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.timesofisrael.com%2Firan-says-it-has-duty-to-defend-itself-after-israeli-strikes-2-soldiers-killed%2F
Hao ni US,UK na Germany hawakuweza kuthubutu kabla Blinken hajafika telvivMmeanza kubadili mada nyie kobasi..simlikuwa mnasema ooh mtoa roho hawezi kujaribu kuipiga Iran, cjui ninini haya Leo Iran katunguliwa kibinda mnaanza, tena ooh cjui madhara nimadogo lakini nawakikishia madhara nimakubwa kwaupande wa Iran silaha nyingi zimeteketea
pole mtumwa mweusi wa kipalestina toka makunduchi wairani watatu leo wamewahishwa kuzimu leo. Wairan wamekiri kupata madhara baada ya kipigo cha myahudi.Umesoma kilicho andikwa Israel alimuambia Iran wapi atapiga na hicho kibanda hakuna impact yeyote ile kapiga mabati juu 😄
Pole mtumwa mweusi wakiyahudi hakuna madhara yeyote zaid ya kibanda kimoja na yakufa kuna wengine wanasema hakuna aliye kufa ni Iran anataka kumchapa Israel kwa kisingizio kuwa wa Iran wamekufa .pole mtumwa mweusi wa kipalestina toka makunduchi wairani watatu leo wamewahishwa kuzimu leo. Wairan wamekiri kupata madhara baada ya kipigo cha myahudi.
Israel hajaingiza ndege hata moja Iran,katumia anga la Syria na Iraq ambako bwanaake marekani yupoNa hapo ndipo wengi wasichokielewa hakuna kitu kibaya katika vita Kama mtu kuingiza ndege kwenye anga yako na akatoka na ndege zake zote zikiwa salama. Ni mtu aliyedharau mfumo wako wa anga