Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,116
- 2,616
Unathamini nzi kuliko wanajeshi waliopoteza Maisha? Wavaa kobazi mnashangaza sanaNdege 100 halafu hujalenga hata nzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unathamini nzi kuliko wanajeshi waliopoteza Maisha? Wavaa kobazi mnashangaza sanaNdege 100 halafu hujalenga hata nzi
Maeneo yaliyopigwa ni restricted na ni strategic .Hakuna namna raia wa kawaida atafika na kupiga picha.Asa ndege zote 100 alafu matokea yake nn.
Kwani hizo ndege zilienda kutalii ?
Hadi wanapeleka ndege 100 hapo walitegemea kulipua maeneo mengi na kuleta mazara makubwa
Aibu waliopata heri wangepeleka vindenge viwili hata
View: https://youtu.be/JPJGv_mqrkE?si=rdif8prKj3RBL8X5
Iran Air defense inatisha hizo Air defense ndio zimetumika leo kuangusha Missiles na drone za Israel hazikufika hata kwenye target.
Ishu ni kutungua ndege au kutungua madhara yanayosababishwa na ndege?Ndege 100 zipo kwenye anga lako na umeshindwa kudondosha hata moja na unasifia mifumo ya ulinzi ya Urusi
Unathamini nzi kuliko wanajeshi waliopoteza Maisha? Wavaa kobazi mnashangaza sana
Bado wafuasi wa hyatollah hawataki kuamini kilichotokea na hili watakubishiaIran anasema wanajeshi 2 wameuawa!
Mpaka amekiri hivyo ujue kuna madhara makubwa sana huko
Sioni sababu ya Iran kurudisha kipigo sababu hakuna madhara, kipigo alicho wapiga 1st October ni tosha kabisa.
Bado wafuasi wa hyatollah hawataki kuamini kilichotokea na hili watakubishia
Kudhoofisha Proxies hajaanza leo je kafanikiwa vita sio nzuriUshanielewa.
Yes ana weaknes proxies kabla ya kumbaraza master mwenyewe, huo nio uoni wangu.
Tusubiri tuone, japo sifurahii vita kwa sababu zitatuathiri hadi sisi Dunia ya tatu
Rasmi sasa tumeamua kuzifanyia ushabiki roho za watu😭
Nyie tuwaombee Amani wenzetu
Wameuliwa wanajeshi 2 Iran keshakiri hadharaniNdege 100 halafu hujalenga hata nzi
Ili ugaidi uondoke israhell na marekani zifutweHaya mambo tayari yashakua na ushabiki.
okay Sawa, lakini Israel huyohuyo alishawahi kutungua makombora zaidi ya 300 ya Iran na wala hakujitapa. Yawezekana tunashabikia mifumo ya ulinzi ya haya mataifa lakini tusijekuleta utani na amani ya nchi yetu. Haya mambo yasikieni tu yanashusha uchumi balaa.
Naeaombea wafikie muafaka igaidi utokomezwe turudi kwenye amani.
Katumba ya Kwenda mwakaleli au😂😂S
Sawa muiran wa katumba
Mafuta sasa hivi kilio kitaanzaKudhoofisha Proxies hajaanza leo je kafanikiwa vita sio nzuri
Israel amerusha missiles ndege zikiwa anga la Iraq hakuweza ingia Iran muwe mnafatilia habari vizuri.na kulikuwa na refueling jets kwenye anga ya IraqMifumo ya ulinzi ya Iran au ya Urusi, alafu sijaona Cha ajabu kwenye hiyo mifumo, ndege 100 zipo kwenye anga lako na umeshindwa kudondosha hata Moja? Aibu gani hii
Wapigane sasa, kelele za nini.
Zifutwe kwa misingi gani wakati wao ndio wanawanyoosha magaidi.Ili ugaidi uondoke israhell na marekani zifutwe