Nickson francis
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 700
- 1,306
Yaani tukuamini weweMifumo ya Urusi haijaanza kutumika hii ya Jana na locally made
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani tukuamini weweMifumo ya Urusi haijaanza kutumika hii ya Jana na locally made
Dah poleni sana wairani wa mbwinde wanne huko wamejifia kwa kipondo cha myahudiKama nilivyo pokea
Naibu Kamanda wa Jeshi la Wanahewa la Russia, Meja Jenerali Anatoly Konovalov Ndege za Israel zilizoshiriki katika shambulizi dhidi ya Iran zinakadiriwa kuwa takriban ndege 25 za kivita, zikiwemo ndege 10 za kivita za Marekani zilizotoa msongamano wa rada za Iran ni aina mpya ya ndege inayojulikana kama ndege wa kivita na msongamano wa kielektroniki wa EC-37B Compass Call.
Ndo ujue jamaa kichwani wamejaa usaha hizo video ni za Israeli akibondwa wao wanajua ni za IsraelMmechanganyikiwa mpaka mnatuma video ambazo mlipewa kichapo na Iran
Mzozo ukiwa nkubwa ndo uhuru wa nchi kama palestina utapatikanaShambulio lilikuwa very limited, kwa hiyo ni busara kwa Iran kutojibu shambulizi lingine lolote ili kunusuru mashariki ya kati kuwa katika mzozo mkubwa.
Na wanajeshi wanne wa Iran mpaka sasa wamefyekelewa mbali na huenda idadi ikazidi ila shura ya maimam walinaz wa JF wanakaza mafuvuIran imesema Kuna sehemu za jeshi katika mikoa mitatu ikiwemo Tehran zimepata madhala makubwa alafu aliye kimbiji anabisha na kukataa
Usiku wa leo, jeshi la anga la Israel lilifanya mashambulio kwenye maeneo mbalimbali hasa maeneo ya kijeshi yakiwa ndiyo lengo kuu.Zaidi ya ndege mia moja (100) zinadaiwa kutumika kwenye mashambulio hayo!
Mara baada ya mashambulizi hayo kumalizika,taarifa mbalimbali zimeanza kutoka kupitia vyanzo mbalimbali!
Ukweli nguvu iliyotumika na madhara yake ni tofauti na ilivyotarajiwa na wengi! Madhara ni madogo mno kulinganisha maandalizi na nguvu kubwa iliyotumika! Hii imewashangaza zaidi wataalamu wa masuala ya kijeshi!
Iran ilisema mfumo wake wa ulinzi wa anga ulifanikiwa kukabiliana na mashambulizi ya Israeli kwenye maeneo yake ya kijeshi katika majimbo ya Tehran, Khuzestan, na Ilam, na kusababisha "uharibifu mdogo" katika baadhi ya maeneo.
View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1850047504559091900
Wenyewe wametoa visingizio kama hiki kimoja wapo!
Afisa mwandamizi wa Marekani alisema kuwa Rais Joe Biden na timu yake ya usalama wamekuwa wakishirikiana na Waisraeli katika wiki za hivi karibuni kuhimiza Israel kufanya mashambulizi yenye hatari ndogo kwa raia na hicho ndicho hasa kilichotokea jioni ya leo.
Source: Reuters
Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti waamini wairan usiniamini mimiYaani tukuamini wewe
Palestine wapate uhuru afu iweje?Mzozo ukiwa nkubwa ndo uhuru wa nchi kama palestina utapatikana
Tumia akili basi au ndiyo mahaba! Punguza jazba!Hapo na mm nashangaa ndege zimeingia na kupiga afu zinatoka salama.tunashangaaje sisi kama sio kuona iran hewa tu
Punguza uchizi kidogo!Umeona israel na iran wakisema kiasi cha uharibifu. .?
wanakua hawana uwezo wa kukanusha sababu israel wanakua wameshaconfirm
Israhell na marekani magaidiZifutwe kwa misingi gani wakati wao ndio wanawanyoosha magaid
Miunfombinu ya kijeshi imepigwa hadi viwanda vya kutengeneza makombora na drones. Ingekua Iran ina uhuru wa habari ungeona vizuri tu. Naona Iran nao wanataka kujitutumua walipize mapigo.Asa ndege zote 100 alafu matokea yake nn.
Kwani hizo ndege zilienda kutalii ?
Hadi wanapeleka ndege 100 hapo walitegemea kulipua maeneo mengi na kuleta mazara makubwa
Aibu waliopata heri wangepeleka vindenge viwili hata
Unajua tunashindwa kuwaelewa nyie em nenda basi kaokoteze ata satellite image kamoja tu yaan kamoja tu tuone vilivyopigwa hizo story mbona kila mtu anaweza kusema tuMiunfombinu ya kijeshi imepigwa hadi viwanda vya kutengeneza makombora na drones. Ingekua Iran ina uhuru wa habari ungeona vizuri tu. Naona Iran nao wanataka kujitutumua walipize mapigo.
Tuashum ndege mia ziko kweli kwenye anga la Iran halafu kila ndege kwa uchache tu ziachie missiles 4 hapo inakuja hesabu missiles 400 na ndege 100 jumla 500 na huna sapoti ya nchi yeyote uko mwenyewe je system zako zitalipua ndege ambayo itajiondokea baada ya kurusha au utalipua missiles kupunguza damage? Jaribu kuweka missiles 8 alafu jibu usinipe mimi Baki naloMifumo ya ulinzi ya Iran au ya Urusi, alafu sijaona Cha ajabu kwenye hiyo mifumo, ndege 100 zipo kwenye anga lako na umeshindwa kudondosha hata Moja? Aibu gani hii