Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Hakuna anayepigwa bila sababu, kama hutaki kupigwa usivuruge maisha ya mtu basi.

Sent using mazonge yamezidi
 
Mpigwe tu aisee 😅😅

Ingawa mimi sijawahi mpiga sababu anajiheshimu mnoo 🤗
 
Sawa..ni mtu mzuri bt why u posing ur friend like he did everything right...ye hajawahi mkosea mke?.

kukosea kuoa..what is he was a bad husband?.how sure are you the wife wasa bad wife
Am not sure kuhusu ya ndani
Wapi nimesema he did everything right?
 
tunaongelea kupiga sio kuua,mihayo kamtandika vibao na kaanza masiha yake mapya,eti sina jeuri ya kuanza upya , wakati wanawake wazuri wanazaliwa kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna jeuri hio
Kwanza hata kuoa mmoja tu ukammudu ndani umeshindwa..unakomaa na kumaliza sabuni tU
Pili kufikiria kupiga na magunia ya mkaa shows what kind of Man you are
Tatu Ngja nikuache ulale mana usije piga keyboard bureee
 
Wengine Wakatoliki, kutimua mpaka kibali cha Papa.

Pia ukishaanza kutotoa vitoto halafu unavichanganyia huyu mama huyu, huyu mama wa kambo etc, bila sababu ya msingi, unaharibu saikolojia za nyumba.
Bora uwaeleze Kaka Mkubwa mana watu wanachukulia ndoa poa sana

Aoe aone..km ye mwanaume kweli
 
Endelea kutumikia sabuni na wale wa kununua
ataaaa!!!,nadili nao hawa hawa wa mitaani,tena mbona hakuna tofauti kati ya wa mitaani na wanaojiuza.tena bora wanaojiuza unatoa hela unakula mzigo unasepa, kuliko hawa wengine mara utoe ya saluni,mara vocha mizinga kibao halafu show mbovu,bora wanaojiuza ni mafundi kitandani na hawana mizinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…