Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Huyu jamaa ni mtu mmoja poa sana. IT & Marketing genius fulani.
Kilimcost sana kuoa huyo dada yake le mutuz kwa mama yake wa kambo .

Mihayo yuko very focused lakini alipata mke ambaye anapenda starehe za town mtoto wa Kinondoni matokeo yake akawa anapigia hesabu mali za mchizi.

Na kumpeleka resi sana mchizi anarudi kula bata late mke wa mtu hata kama ndio uzungu huu ulipitiliza . Sema kwa hiyo clip nimeamini binadamu uki mpush kwenye edge anaweza akaua mtu bila kutarajia. Lazima kuna sababu kwanini demu kala kipondo kile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu jamaa ana undugu na jaji mstaafu mihayo?
 
Mkuu watoto wa kinonondoni ni wachakarikaji wanapenda maisha mazuri hata kwa njia fupi.

Hawa kilichowaponza ni haraka ya kuoana. Mihayo hakumjua vizuri yule binti na binti hakumjua vizuri mihayo. Mambo ya kukutana batani manpendana then ndoa. Sio wanawake wote wazuri ni wa kuolewa wengine ni bora waishi single ili watimize ndoto zao. Lakini huwa wanaolewa sababu ya kupata kitu fulani au kianzio na watoto then maisha yanaendelea.

Kuna watu ni bora waishi single kuliko kuungana na mwezie ambaye hawezi kumuelewa matendo yake. Kuna watu anataka ale bata mpaka alfajiri, huyo hawezi kuishi ndani ya ndoa. Ataolewa ili atoe gundu tuu na watu wasimseme
Watoto wa kinondoni wamefanyaje tena
??

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hana undugu na jaji mihayo.

Huyu ni mnyamwezi wa Tabora na Black American. Ana uraia wa marekani sababu Baba yake marehemu alikuwa ni African American. Dogo kapiga shule Mtoni na yuko super smart kichwani. Ana maadili pia ya kiafrika na heshima na mtu wa watu sana hajisikii.

Yuko njema cribs tatu nne za maana, Mandinga ndio kama yote ya maana halagu janki mdogo. Ana proffessional network ya kufa mtu duniani. Yukovizuri Us embassy inamtambua na inampa fursa sana kama kijana smart
Mkuu huyu jamaa ana undugu na jaji mstaafu mihayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu watoto wa kinonondoni ni wachakarikaji wanapenda maisha mazuri hata kwa njia fupi.

Hawa kilichowaponza ni haraka ya kuoana. Mihayo hakumjua vizuri yule binti na binti hakumjua vizuri mihayo. Mambo ya kukutana batani manpendana then ndoa. Sio wanawake wote wazuri ni wa kuolewa wengine ni bora waishi single ili watimize ndoto zao. Lakini huwa wanaolewa sababu ya kupata kitu fulani au kianzio na watoto then maisha yanaendelea.

Kuna watu ni bora waishi single kuliko kuungana na mwezie ambaye hawezi kumuelewa matendo yake. Kuna watu anataka ale bata mpaka alfajiri, huyo hawezi kuishi ndani ya ndoa. Ataolewa ili atoe gundu tuu na watu wasimseme

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Dada anaitwa Nani?
Amekulia kinondoni sehemu gani?
Kama ni Dada wa mjini na jamaa alibabaika na shepu basi kapotea
Maana Kuna wadada wale kutwa kshinda saloon za bei, Sim kubwa, Gari zuri, kila siku party
Disign hyo ni shida

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume oa mwanamke wa level yako...or else utaishia jela mara umepiga mara umeua ...nimesikiliza intavyuu ya jamaa nimemuona bogus kweli...siku zote ataekufanya mwanaume uendelee ni mwanamke. mwanamke wako akiwa anataka ghorofa utafight kujenga ghorofa..mwanamke wako akiwa anataka range utafight kupata range....sasa wewe kama unaona unaonewa kwa yeye kukwaambia tunahitaji kuishi namna hii tutoke hapa jua huyo sio level yako ...na mwanamke ambae unaishi Chumba kimoja na yeye karidhika hakusumbui jua hamtafika kokote bro..ni hayo tu

Huyu jamaa ni mtu mmoja poa sana. IT & Marketing genius fulani.
Kilimcost sana kuoa huyo dada yake le mutuz kwa mama yake wa kambo .

Mihayo yuko very focused lakini alipata mke ambaye anapenda starehe za town mtoto wa Kinondoni matokeo yake akawa anapigia hesabu mali za mchizi.

Na kumpeleka resi sana mchizi anarudi kula bata late mke wa mtu hata kama ndio uzungu huu ulipitiliza . Sema kwa hiyo clip nimeamini binadamu uki mpush kwenye edge anaweza akaua mtu bila kutarajia. Lazima kuna sababu kwanini demu kala kipondo kile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna makabila wanawake wakipigwa ndiyo anaona anapendwa ,lakini turudi kwenye mada nitazungumzia mambo mawili moja ukiona mwanaume amefiki hatua ya kumpiga mwanamke ujue ana mapenzi ya dhati kabisa na amestik na mwanamke huyo huyo hana michepuko so huwa inauma kwa mwanaume kuwekeza akili na nguvu nyingi kimapenzi kwa mwanamke anaempenda haswa na akachezewa akili na huyo mwanamke, so likitokea jambo ameona mienendo ya huyo mwanamke inaenda ndivyo sivyo huwa inatia hasira na ni ngumu kujizuia kuparangana nae

Jambo lingine ni mdomo wa mwanamke, mwanaume akioa mwanamke mwenye mdomo ukweli ni kwamba atapigwa tu hakuna namna, na sio kwamba mwanaume ni hulka zetu kuwapiga wanawake sema ni midomo ya baadhi ya wanawake, kuna mwanamke anaweza akakusema yani hasira zikipanda kushuka ni mtihani,so maamuzi unakuta ni kupiga.
 
Huyu jamaa hana undugu na jaji mihayo.

Huyu ni mnyamwezi wa Tabora na Black American. Ana uraia wa marekani sababu Baba yake marehemu alikuwa ni African American. Dogo kapiga shule Mtoni na yuko super smart kichwani. Ana maadili pia ya kiafrika na heshima na mtu wa watu sana hajisikii.

Yuko njema cribs tatu nne za maana, Mandinga ndio kama yote ya maana halagu janki mdogo. Ana proffessional network ya kufa mtu duniani. Yukovizuri Us embassy inamtambua na inampa fursa sana kama kijana smart

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa sifa ulizozitaja hapo unafikiri Angemuua hyo Dada asingeenda jela
Kama mwanamke anamzingua aachane naye
Tena anampa hadi vikwazo vya uchumi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwa sifa ulizozitaja hapo unafikiri Angemuua hyo Dada asingeenda jela
Kama mwanamke anamzingua aachane naye
Tena anampa hadi vikwazo vya uchumi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app


Ukimpenda mwanamke inachukua muda sana kumuacha sio rahisi kama inavyofikiri ,wanaume huwa ni ngumu sana kumuacha mwanamke unayempenda utakachokifanya ni kumrekebisha na muda mwingine hupelekea hata kumuumiza kama hivi, isitoshe mwanamke ambae una watoto nae, waza nje box mkuu sio rahisi kama ilivyo kwako
 
Swali la kujiuliza kwanini nacky apigwe vile na kwanini clip itolewe sasa hivi

Mihayo VS Nacky. Mume alishinda kesi ya madai iliyofunguliwa na Nacky mkewe aliamuriwa amlipe mamilioni mia kadhaa kwa usumbufu na matatizo aliyoyasabisha. Demu alikuwa anataka mali ambazo zimemilikishwa watoto wao.

Demu kwa sasa hali ya kifedha yuko vibaya ndio maana kavujisha hii clip ili umma umuonee huruma.

Sababu ya huyu dada kupigwa ni kufumaniwa akitembea na rafiki wa karibu wa mumewe. Ambaye ni baller hapa town huyu jamaa. Vijana wa Tigo wanajua hii story.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu anayeuwawa kuna chanzo,kila mtu anayepotea kuna chanzo,kila kitu kina chanzo.
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.

Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimpenda mwanamke inachukua muda sana kumuacha sio rahisi kama inavyofikiri ,wanaume huwa ni ngumu sana kumuacha mwanamke unayempenda utakachokifanya ni kumrekebisha na muda mwingine hupelekea hata kumuumiza kama hivi, isitoshe mwanamke ambae una watoto nae, waza nje box mkuu sio rahisi kama ilivyo kwako
Mahusiano hayalazimishwi zaidi ya hapo mtakuja kuumizana tu au kwenda jela
Kama mwanamke Ana background ya ucheche hawezi a acha, Dawa ni kumpiga chini au mpigane chini Maisha yaendeleee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa picha hii waweza ona bigtimer wife alivyokuwa
DSCN0067.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali la kujiuliza kwanini nacky apigwe vile na kwanini clip itolewe sasa hivi

Mihayo VS Nacky. Mume alishinda kesi ya madai iliyofunguliwa na Nacky mkewe aliamuriwa amlipe mamilioni mia kadhaa kwa usumbufu na matatizo aliyoyasabisha. Demu alikuwa anataka mali ambazo zimemilikishwa watoto wao.

Demu kwa sasa hali ya kifedha yuko vibaya ndio maana kavujisha hii clip ili umma umuonee huruma.

Sababu ya huyu dada kupigwa ni kufumaniwa akitembea na rafiki wa karibu wa mumewe. Ambaye ni baller hapa town huyu jamaa. Vijana wa Tigo wanajua hii story.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wadada wa mjini pasuaaaaaa
Sanaaaaaa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom