Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Nikiangalia comments za "wanaume"(siwezi kuwa na uhakika cz ni ID feki) kwenye huu uzi nasema Mungu Alhamdulillah. Kwanza kwa kutokuwa mwanaume, pili kwa kutopata mwanaume wa kunishushia kipigo hadi hapa nilipofika.

In short kupiga mwanamke kwa wanaume wa Tanzania sio kosa. Kosa analo mwanamke kwamba alisababisha vipi apigwe. Kwa kipigo hiki, huyu Mihayo anaweza kubaka, anaweza kuua na vyote vibaya hapa duniani. HANA HURUMA HATA CHEMBE!

Ilikuwa short break karibuni muendelee kumfanyia Nackitia character assasination na kujustify matendo ya mwanaume anayempiga mkewe mambata na kumgaragaza chini watoto wake wawili wakishuhudia kisha anaenda public na kusema yeye ndo alikuwa victim kwenye ndoa yake.
 
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.

Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.
Said it well,siungi magomvi ya kupigana kwa wanandoa ila wanawake wengi wanaopigwa ukifuatilia kwa makini utagunudua kuwa kilichomponza ni mdomo wake kutoutumia vizuri,ukimkuta mwanume anakwambia mimi siwezi kumpiga mke wangu ujue huyo hajakutana na mwanamke mwenye maneno ya hovyo,ni ngumu kwakweli kuvumilia,inahitaji sana kumuomba Mungu akupe hekima hasa inapotokea kuwa umegundua mkeo ni wa aina hiyo......
 
Bila shaka wewe ni mkurya,haiwezekani ukatetea mwanamke kupigwa namna hiyo

Mkuu banah usijaji mambo hivyo utapotoka, nenda kwenye content niliyoeleza hapo, mimi sio wa kabila hilo, wanaume hatujazaliwa kwaajili ya kuwapiga wanawake ila tu kuwapenda maana ni maua ya dunia, ila pia nikukumbushe kuna wanawake wanamdomo sana yani wanatia hasira kuliko unavyofikiri, mimi sina mkono wa kupiga ila napenda mwanamke aniheshimu kama navyomuheshimu yeye
 
Huyu jamaa ni mtu mmoja poa sana. IT & Marketing genius fulani.
Kilimcost sana kuoa huyo dada yake le mutuz kwa mama yake wa kambo .

Mihayo yuko very focused lakini alipata mke ambaye anapenda starehe za town mtoto wa Kinondoni matokeo yake akawa anapigia hesabu mali za mchizi.

Na kumpeleka resi sana mchizi anarudi kula bata late mke wa mtu hata kama ndio uzungu huu ulipitiliza . Sema kwa hiyo clip nimeamini binadamu uki mpush kwenye edge anaweza akaua mtu bila kutarajia. Lazima kuna sababu kwanini demu kala kipondo kile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongelea kupigwa mbele ya watoto wake tu?Ongelea pia demu/mke kurudi usiku wa manane akiwa bwax huku akshushwa kwenye gari na mchepuko wake na watoto wake wakiona.

Mzee baba ulibugi big tym kuoa demu anaeshinda pale hyatt anachokifanya hata hakieleweki,ila kwny kichapo nakupa kongole nyingi saana.


Nikiangalia comments za "wanaume"(siwezi kuwa na uhakika cz ni ID feki) kwenye huu uzi nasema Mungu Alhamdulillah. Kwanza kwa kutokuwa mwanaume, pili kwa kutopata mwanaume wa kunishushia kipigo hadi hapa nilipofika.

In short kupiga mwanamke kwa wanaume wa Tanzania sio kosa. Kosa analo mwanamke kwamba alisababisha vipi apigwe. Kwa kipigo hiki, huyu Mihayo anaweza kubaka, anaweza kuua na vyote vibaya hapa duniani. HANA HURUMA HATA CHEMBE!

Ilikuwa short break karibuni muendelee kumfanyia Nackitia character assasination na kujustify matendo ya mwanaume anayempiga mkewe mambata na kumgaragaza chini watoto wake wawili wakishuhudia kisha anaenda public na kusema yeye ndo alikuwa victim kwenye ndoa yake.



dodge
 
Nikiangalia comments za "wanaume"(siwezi kuwa na uhakika cz ni ID feki) kwenye huu uzi nasema Mungu Alhamdulillah. Kwanza kwa kutokuwa mwanaume, pili kwa kutopata mwanaume wa kunishushia kipigo hadi hapa nilipofika.

In short kupiga mwanamke kwa wanaume wa Tanzania sio kosa. Kosa analo mwanamke kwamba alisababisha vipi apigwe. Kwa kipigo hiki, huyu Mihayo anaweza kubaka, anaweza kuua na vyote vibaya hapa duniani. HANA HURUMA HATA CHEMBE!

Ilikuwa short break karibuni muendelee kumfanyia Nackitia character assasination na kujustify matendo ya mwanaume anayempiga mkewe mambata na kumgaragaza chini watoto wake wawili wakishuhudia kisha anaenda public na kusema yeye ndo alikuwa victim kwenye ndoa yake.
ni hivi..... chunga sana mdomo wako la sivyo kipigo kitakuhusu tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongelea kupigwa mbele ya watoto wake tu?Ongelea pia demu/mke kurudi usiku wa manane akiwa bwax huku akshushwa kwenye gari na mchepuko wake na watoto wake wakiona.

Mzee baba ulibugi big tym kuoa demu anaeshinda pale hyatt anachokifanya hata hakieleweki,ila kwny kichapo nakupa kongole nyingi saana.






dodge
Mungu akubariki mkuu kwa kusema ukweli, wanawake wengi sana wanatesa wanaume tena wanachepuka mpaka mchepuko wake analeta dharau kwa mume lakini hili jamii haisemi, kuna yule mtanzania aliua mke huko Marekani sababu mke alirudi kalewa na kumletea dharau, alifanya vibaya sana kuua lakini hakuna kitu kinaamsha hasira ya mwanaume kama kudharauliwa na mkewe tena mbele ya jamii na watoto ndio maana biblia imeandika wake watiini waume zenu. Ila sasa wengi wanachukulia upande mmoja tu kuwa mwanaume kwa sababu ana nguvu basi anaonea.
 
Watoto wanahuzunisha sana yaani ningekuwa mimi kwa jinsi walivyokuwa wanahangaika nguvu za kuendelea kuhangaika na huyo mke zingeisha.

Ila huyo jamaa aliyekuwa nyuma hata kutoa msaada na yeye akachapa mwendo badala ya kuamulia hawa watu ndiyo yakitokea madhara huwa wanakuwa kimbelembele kuongea wakati hawakusaidia kwa lolote
Hovyo kabisa, kwa madai hayamhusu; ila likishatokea lakutokea ndio wale wa kutoa breaking news
 
Ila nkiangalia ilikuwa 2015, ililetwa tujikumbushie ama
 
Daah anampiga demu mwenye msambwanda huo kwa ngumi? kwanini asimpige kwa Muhogo wa jang'ombe?
Kaka mwanamke mzurinwa mwenzako akiwa wakwako na ushamzoea basi kila kitu kwake unakiona cha kawaida tu.Hakuna maajabu plys kero za kifamilia hasa hawa watoto wa ushuani basi siku akizingua ukachoka ndio kama hayo sasa tunayaona hapa
 
Back
Top Bottom