Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Wanaume wengi busara zenu ni nguvu akili hamtumii.....ila ujue mwanamke akiamua awe mtulivu na mdomo wake usikukere pamoja na mabaya yako anaweza kukuua anakuchekea
Midomo hiyo ya kuwaambia wanaume "Akili hawatumii" ndio hupelekea kupigwa, na wewe ungekuwa mke wangu hapo ungepata kinachokustahili (kipigo), mmeagizwa na Mwenyezi Mungu kuwatii Waume, ukileta dharau kwa Mume kipigo halali yako.
 
Zurie, Okey miss

You know better lakini nimetoa mawazo yangu based na kile kitu ambacho nimekiona toka nikiwa mdogo. Sijakubaliana na alichokifanya ila kufikia hatua ya kupoteza control ya hisia zake siwezi kusema ilikuwa out of an ordinary situation...

Kingine reaction ya mtu haiwezi kuondoa yeye kuwa victim. Naamini ingekuwa ni mwanamke kamjeruhi mumewe baada ya manyanyaso. Feminists wangekuja na maneno laini
 
Nimeshuudia wanawake wa 5 wakipigwa live huyu hajapigwa jamani kapapaswa nyie kuna wanaume wanabonda aisee, kati ya hao watano kuna mmoja nilishindwa kuvumilia angeuwawa nikavaana na mumewe mpaka leo nina ngeu kwenye jicho sababu ya kuokoa asipasuliwe bandama mi pia na hasira ila siwezi kupiga mwanamke, yani mtu anakupa utamu unampiga?! Uuajiii??!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Kuna vipigo ukivishuhudia hadi mwili unasisimka. Nacholaumu ni hao watoto kuachwa wakishuhudia hicho kitu na bado wadogo plus mageti full time. Sidhani kama wana akili za kuweza handle hicho kitu
 
Sema nini bro mbona bwana mihayo ni tapeli no. 1....waulizeni crdb naomba toeni info za utapeli wa mihayo... na mbona mshkaji tulikua tunakula nae anamkejeli mkewe mpaka tukawa tunawaza huyu bro kwanini alioa...vibaya zaidi na yeye alikuwa na wanawake kede kede wengine tulikua tunamhifadhi..mbona ye hajapigwa
Na vitu kama hivi hutovisikia. Ushaambiwa ni mtu safi aliyekuwa provoked na umalaya wa mke. Wanaume hawanaga huruma kwenye vitu kama hivi mpaka anayepigwa awe mwanaye au dada yake na awe amepigwa hadi kukutwa na umauti.
 
Sijasema huyo Nacky ni mtakatifu. Issue hapa ni mwanaume kumpiga mwanamke. Yani hili la huyu jamaa kumbonda mkewe mbona mnalikwepesha kwepesha kwa hoja za makosa ya mke.

Kwamba nanyi mkichepuka na kutufanyia dharau tuwakodishie wakina Mwarabu Fighter wawabonde maana nguvu hatuna?
Kama ukizingua inabidi tu upate kipigo cha mbwa koko..kiddin tuaiangalie jamaa lipoandikia tucheki source chanzo chake...hizo nyengine ni reaction tu
 
HATA IWEJE HAKUNA UHALALI WOWOTE WA KUMPIGA MWANAMKE, KAMA MMESHINDWANA KUBALI YAISHE ENDELEA NA MAISHA YAKO, HATA KAMA AMELALA NA MTU MWINGINE NA UKAMMFUMANIA, HATA UKIMPIGA HAITABADILISHA CHOCHOTE, UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA AMESHALALA NA MWINGINE, HUTAWEZA KUBADILISHA HUO UKWELI
Wewe ni KE au ME? tuanzie hapo kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Midomo hiyo ya kuwaambia wanaume "Akili hawatumii" ndio hupelekea kupigwa, na wewe ungekuwa mke wangu hapo ungepata kinachokustahili (kipigo), mmeagizwa na Mwenyezi Mungu kuwatii Waume, ukileta dharau kwa Mume kipigo halali yako.
Naunga hoja mkono kwa 100%.

dodge
 
Before establishing Twigalpha, Mihayo was a founding partner of UmojaOne, the parent company of UhuruOne, SBB, and Telesis Tanzania which owns the Spectrum popularly known as Tigo 4G operated by Tigo Tanzania. His experience spans four continents; Africa, Europe, North and South America and has worked with leading brands such as Microsoft, Cisco, Alcatel, Celtel, Tigo, MTN, Zantel, Zain, Airtel and Unisys.
 
N

Nafika menopause hata ndoa hamna...feminiat bana..mnajua mnachokua mnakitafuta...dawa wewe ni kukuzalisha na ukakae kwa mamako ah ah
Kuzaa ni matunda ya umalaya ata ukifa unaacha alama zako duniani, unaacha wa kukuenzi
 
HATA IWEJE HAKUNA UHALALI WOWOTE WA KUMPIGA MWANAMKE, KAMA MMESHINDWANA KUBALI YAISHE ENDELEA NA MAISHA YAKO, HATA KAMA AMELALA NA MTU MWINGINE NA UKAMMFUMANIA, HATA UKIMPIGA HAITABADILISHA CHOCHOTE, UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA AMESHALALA NA MWINGINE, HUTAWEZA KUBADILISHA HUO UKWELI
Hao Wanaume/Baba hawapo katika sayari hii labda wa kwenye tamthilia za Wafilipino.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuzaa ni matunda ya umalaya ata ukifa unaacha alama zako duniani, unaacha wa kukuenzi
Hata sijakuelewa hivi kama ...nahisi hii kitu personal kwako we ndo huyo dada nini na video za 2015 huko..nasikia clouds mmeamua peleka majesh kabisa kuamsha waliolala
 
'Akili za kuambiwa changanya na zako. Angalia video hadi mwisho, huyu mwanamke si mara ya kwanza kupigwa. Unajua kwanini?

Anajua kabisa tabia za mpigaji wake. Ndo maana alipokuwa anaondoka alimfuata nyuma sababu anamjua akishacalm down so anajua kabisa hapa “session” imeisha.'

Hahah kweli wabongo tuna vipaji maalumu kutoka kwa Mungu, yaani umeangalia hio video isiyo na sauti na ukacheki hizo movement za huyo dada ukajua kabisa hio sio mara ya kwanza kupigwa?hahah tuna vipaji maalumu bongo.
Akili za kuambiwa changanya na zako. Angalia video hadi mwisho, huyu mwanamke si mara ya kwanza kupigwa. Unajua kwanini?

Anajua kabisa tabia za mpigaji wake. Ndo maana alipokuwa anaondoka alimfuata nyuma sababu anamjua akishacalm down so anajua kabisa hapa “session” imeisha. Halafu mpigaji wa mara moja angeacha watoto walipoanza kulia na kurandaranda hapo ila wala hajali anawafokea.

Halafu ukitenda kosa hata kama umekuwa provoked vipi huwezi kuwa victim. Ndo maana kuna kitu kiitwacho “SELF CONTROL”. Uanaume ni pamoja na kutoyumbishwa na mkeo na maneno yake na ndicho vitabu vya dini vilichomaanisha kusema “ishi na mwanamke kwa akili” au mnadhani ni kuweza tu kuficha michepuko na kujitetea ukikutwa na SMS za mahaba?

dodge
 
Back
Top Bottom